Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Waamuzi WAAMUZI HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Ushindi wa Yuda na Simeoni (1-20) Wayebusi wanaendelea kukaa Yerusalemu (21) Yosefu anakamata Beteli (22-26) Wakanaani hawakufukuzwa wote (27-36) 2 Onyo la malaika wa Yehova (1-5) Kifo cha Yoshua (6-10) Mungu anainua waamuzi ili kuokoa Israeli (11-23) 3 Yehova anajaribu Israeli (1-6) Otnieli, muamuzi wa kwanza (7-11) Muamuzi Ehudi anamuua Mufalme Egloni mwenye alikuwa munene (12-30) Muamuzi Shamgari (31) 4 Mufalme Yabini wa Kanaani anakandamiza Israeli (1-3) Nabii mwanamuke Debora na Muamuzi Baraka (4-16) Yaeli anamuua Sisera mukubwa wa jeshi (17-24) 5 Wimbo wa ushindi wa Debora na Baraka (1-31) Nyota zinapigana na Sisera (20) Maji mengi ya Kishoni (21) Wenye kumupenda Yehova wako kama jua (31) 6 Wamidiani wanakandamiza Israeli (1-10) Malaika anamuhakikishia Muamuzi Gideoni kuwa atapata musaada (11-24) Gideoni anabomoa mazabahu ya Baali (25-32) Roho ya Mungu inatenda juu ya Gideoni (33-35) Jaribio la manyoya (36-40) 7 Gideoni na wanaume mia tatu (1-8) Jeshi la Gideoni linapata ushindi juu ya Midiani (9-25) “Upanga wa Yehova na wa Gideoni!” (20) Muvurugo katika kambi ya Midiani (21, 22) 8 Waefraimu wanamulaumu Gideoni (1-3) Wafalme Wamidiani wanafuatiliwa na kuuawa (4-21) Gideoni anakataa kuwa mufalme (22-27) Historia fupi ya maisha ya Gideoni (28-35) 9 Abimeleki anakuwa mufalme kule Shekemu (1-6) Mufano wa Yotamu wa miti (7-21) Abimeleki anatawala kwa jeuri (22-33) Abimeleki anashambulia Shekemu (34-49) Mwanamuke anamuumiza Abimeleki; Abimeleki anakufa (50-57) 10 Waamuzi Tola na Yairi (1-5) Israeli wanaasi na wanatubu (6-16) Waamoni wanataka kushambulia Israeli (17, 18) 11 Muamuzi Yefta anafukuzwa, kisha wakati fulani anafanywa kuwa kiongozi (1-11) Yefta anazungumuza na mufalme wa Waamoni (12-28) Naziri ya Yefta na binti yake (29-40) Binti ya Yefta anaishi bila kuolewa (38-40) 12 Ugomvi na Waefraimu (1-7) Jaribio la kusema neno Shiboleti (6) Waamuzi Ibzani, Eloni, na Abdoni (8-15) 13 Malaika anamutembelea Manoa na bibi yake (1-23) Samsoni anazaliwa (24, 25) 14 Muamuzi Samsoni anatafuta bibi Mufilisti (1-4) Roho ya Yehova inawezesha Samsoni kuua simba (5-9) Kitendawili cha Samsoni kwenye karamu ya ndoa (10-19) Mwanaume mwingine anapewa bibi ya Samsoni (20) 15 Kisasi cha Samsoni juu ya Wafilisti (1-20) 16 Samsoni katika Gaza (1-3) Samsoni na Delila (4-22) Kisasi cha Samsoni na kifo chake (23-31) 17 Sanamu za Mika na kuhani wake (1-13) 18 Wadani wanatafuta inchi (1-31) Kukamatwa kwa sanamu za Mika na kuhani wake (14-20) Muji wa Laishi unakamatwa na kupewa jina Dani (27-29) Ibada ya sanamu katika Dani (30, 31) 19 Wabenyamini wanafanya kosa kubwa la ngono katika Gibea (1-30) 20 Wabenyamini wanashambuliwa (1-48) 21 Kabila la Benyamini linaokolewa (1-25)