- Habari za Kufanana na Zile
WAAMUZI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Ushindi wa Yuda na Simeoni (1-20)
Wayebusi wanaendelea kukaa Yerusalemu (21)
Yosefu anakamata Beteli (22-26)
Wakanaani hawakufukuzwa wote (27-36)
2
3
Yehova anajaribu Israeli (1-6)
Otnieli, muamuzi wa kwanza (7-11)
Muamuzi Ehudi anamuua Mufalme Egloni mwenye alikuwa munene (12-30)
Muamuzi Shamgari (31)
4
Mufalme Yabini wa Kanaani anakandamiza Israeli (1-3)
Nabii mwanamuke Debora na Muamuzi Baraka (4-16)
Yaeli anamuua Sisera mukubwa wa jeshi (17-24)
5
6
Wamidiani wanakandamiza Israeli (1-10)
Malaika anamuhakikishia Muamuzi Gideoni kuwa atapata musaada (11-24)
Gideoni anabomoa mazabahu ya Baali (25-32)
Roho ya Mungu inatenda juu ya Gideoni (33-35)
Jaribio la manyoya (36-40)
7
8
Waefraimu wanamulaumu Gideoni (1-3)
Wafalme Wamidiani wanafuatiliwa na kuuawa (4-21)
Gideoni anakataa kuwa mufalme (22-27)
Historia fupi ya maisha ya Gideoni (28-35)
9
Abimeleki anakuwa mufalme kule Shekemu (1-6)
Mufano wa Yotamu wa miti (7-21)
Abimeleki anatawala kwa jeuri (22-33)
Abimeleki anashambulia Shekemu (34-49)
Mwanamuke anamuumiza Abimeleki; Abimeleki anakufa (50-57)
10
Waamuzi Tola na Yairi (1-5)
Israeli wanaasi na wanatubu (6-16)
Waamoni wanataka kushambulia Israeli (17, 18)
11
Muamuzi Yefta anafukuzwa, kisha wakati fulani anafanywa kuwa kiongozi (1-11)
Yefta anazungumuza na mufalme wa Waamoni (12-28)
Naziri ya Yefta na binti yake (29-40)
12
Ugomvi na Waefraimu (1-7)
Waamuzi Ibzani, Eloni, na Abdoni (8-15)
13
14
Muamuzi Samsoni anatafuta bibi Mufilisti (1-4)
Roho ya Yehova inawezesha Samsoni kuua simba (5-9)
Kitendawili cha Samsoni kwenye karamu ya ndoa (10-19)
Mwanaume mwingine anapewa bibi ya Samsoni (20)
15
16
17
18
19
20
21