- Habari za Kufanana na Zile
 
			         
     
	    
            
			        
        
			
	
WAAMUZI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
-  1  - 
- Ushindi wa Yuda na Simeoni (1-20) 
- Wayebusi wanaendelea kukaa Yerusalemu (21) 
- Yosefu anakamata Beteli (22-26) 
- Wakanaani hawakufukuzwa wote (27-36) 
 
-  2  
-  3  - 
- Yehova anajaribu Israeli (1-6) 
- Otnieli, muamuzi wa kwanza (7-11) 
- Muamuzi Ehudi anamuua Mufalme Egloni mwenye alikuwa munene (12-30) 
- Muamuzi Shamgari (31) 
 
-  4  - 
- Mufalme Yabini wa Kanaani anakandamiza Israeli (1-3) 
- Nabii mwanamuke Debora na Muamuzi Baraka (4-16) 
- Yaeli anamuua Sisera mukubwa wa jeshi (17-24) 
 
-  5  
-  6  - 
- Wamidiani wanakandamiza Israeli (1-10) 
- Malaika anamuhakikishia Muamuzi Gideoni kuwa atapata musaada (11-24) 
- Gideoni anabomoa mazabahu ya Baali (25-32) 
- Roho ya Mungu inatenda juu ya Gideoni (33-35) 
- Jaribio la manyoya (36-40) 
 
-  7  
-  8  - 
- Waefraimu wanamulaumu Gideoni (1-3) 
- Wafalme Wamidiani wanafuatiliwa na kuuawa (4-21) 
- Gideoni anakataa kuwa mufalme (22-27) 
- Historia fupi ya maisha ya Gideoni (28-35) 
 
-  9  - 
- Abimeleki anakuwa mufalme kule Shekemu (1-6) 
- Mufano wa Yotamu wa miti (7-21) 
- Abimeleki anatawala kwa jeuri (22-33) 
- Abimeleki anashambulia Shekemu (34-49) 
- Mwanamuke anamuumiza Abimeleki; Abimeleki anakufa (50-57) 
 
- 10  - 
- Waamuzi Tola na Yairi (1-5) 
- Israeli wanaasi na wanatubu (6-16) 
- Waamoni wanataka kushambulia Israeli (17, 18) 
 
- 11  - 
- Muamuzi Yefta anafukuzwa, kisha wakati fulani anafanywa kuwa kiongozi (1-11) 
- Yefta anazungumuza na mufalme wa Waamoni (12-28) 
- Naziri ya Yefta na binti yake (29-40) 
 
- 12  - 
- Ugomvi na Waefraimu (1-7) 
- Waamuzi Ibzani, Eloni, na Abdoni (8-15) 
 
- 13  
- 14  - 
- Muamuzi Samsoni anatafuta bibi Mufilisti (1-4) 
- Roho ya Yehova inawezesha Samsoni kuua simba (5-9) 
- Kitendawili cha Samsoni kwenye karamu ya ndoa (10-19) 
- Mwanaume mwingine anapewa bibi ya Samsoni (20) 
 
- 15  
- 16  
- 17  
- 18  
- 19  
- 20  
- 21