Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba mwongozo na msamaha

        • “Nifundishe vijia vyako” (4)

        • “Urafiki wa karibu pamoja na Yehova” (14)

        • “Unisamehe dhambi zangu zote” (18)

Zaburi 25:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nainua nafsi yangu kwako.”

Zaburi 25:2

Marejeo

  • +Isa 26:3
  • +Ro 10:11
  • +Zb 41:11

Zaburi 25:3

Marejeo

  • +Zb 69:6
  • +Zb 31:17

Zaburi 25:4

Marejeo

  • +Kut 33:13; Zb 86:11; 143:8
  • +Zb 27:11

Zaburi 25:5

Marejeo

  • +Zb 43:3

Zaburi 25:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ambazo ni za tangu nyakati za kale.”

Marejeo

  • +Kut 34:6; Isa 55:3
  • +Zb 103:17; 136:1

Zaburi 25:7

Marejeo

  • +Zb 6:4; 51:1
  • +Kut 33:19; Zb 27:13

Zaburi 25:8

Marejeo

  • +Zb 92:15; 119:68; 145:9; Mdo 14:17
  • +Zb 119:33; Isa 30:20; Mik 4:2

Zaburi 25:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika hukumu.”

Marejeo

  • +Sef 2:3
  • +Zb 32:8

Zaburi 25:10

Marejeo

  • +Kum 29:1
  • +Zb 19:7

Zaburi 25:11

Marejeo

  • +Zb 31:3; 79:9; 109:21; 143:11; Eze 36:22; Da 9:19; Mt 6:9

Zaburi 25:12

Marejeo

  • +Zb 111:10
  • +Zb 37:23

Zaburi 25:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yake itajionea.”

  • *

    Tnn., “mbegu yake itamiliki.”

Marejeo

  • +Zb 31:19
  • +Zb 37:11

Zaburi 25:14

Marejeo

  • +Met 3:32; Yoh 15:15
  • +Mwa 18:17; 22:17; Amo 3:7

Zaburi 25:15

Marejeo

  • +Zb 141:8
  • +Zb 91:3; 124:6-8

Zaburi 25:17

Marejeo

  • +Zb 73:21

Zaburi 25:18

Marejeo

  • +2Sa 16:12
  • +Zb 32:5; 51:9

Zaburi 25:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ilinde nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 17:8; 121:7

Zaburi 25:21

Marejeo

  • +Zb 41:12
  • +Zb 37:34

Zaburi 25:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkomboe.”

Jumla

Zab. 25:2Isa 26:3
Zab. 25:2Ro 10:11
Zab. 25:2Zb 41:11
Zab. 25:3Zb 69:6
Zab. 25:3Zb 31:17
Zab. 25:4Kut 33:13; Zb 86:11; 143:8
Zab. 25:4Zb 27:11
Zab. 25:5Zb 43:3
Zab. 25:6Kut 34:6; Isa 55:3
Zab. 25:6Zb 103:17; 136:1
Zab. 25:7Zb 6:4; 51:1
Zab. 25:7Kut 33:19; Zb 27:13
Zab. 25:8Zb 92:15; 119:68; 145:9; Mdo 14:17
Zab. 25:8Zb 119:33; Isa 30:20; Mik 4:2
Zab. 25:9Sef 2:3
Zab. 25:9Zb 32:8
Zab. 25:10Kum 29:1
Zab. 25:10Zb 19:7
Zab. 25:11Zb 31:3; 79:9; 109:21; 143:11; Eze 36:22; Da 9:19; Mt 6:9
Zab. 25:12Zb 111:10
Zab. 25:12Zb 37:23
Zab. 25:13Zb 31:19
Zab. 25:13Zb 37:11
Zab. 25:14Met 3:32; Yoh 15:15
Zab. 25:14Mwa 18:17; 22:17; Amo 3:7
Zab. 25:15Zb 141:8
Zab. 25:15Zb 91:3; 124:6-8
Zab. 25:17Zb 73:21
Zab. 25:182Sa 16:12
Zab. 25:18Zb 32:5; 51:9
Zab. 25:20Zb 17:8; 121:7
Zab. 25:21Zb 41:12
Zab. 25:21Zb 37:34
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 25:1-22

Zaburi

Wa Daudi.

א [Aleph]

25 Nakugeukia wewe,* Ee Yehova.

ב [Beth]

 2 Mungu wangu, ninakutumaini wewe;+

Usiruhusu niaibishwe.+

Usiruhusu maadui wangu wanicheke.+

ג [Gimel]

 3 Kwa hakika hakuna yeyote anayekutumaini atakayeaibishwa,+

Lakini aibu inawangoja wale wanaotenda kwa hila bila sababu.+

ד [Daleth]

 4 Nijulishe njia zako, Ee Yehova;+

Nifundishe vijia vyako.+

ה [He]

 5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+

Kwa maana wewe ni Mungu wa wokovu wangu.

ו [Waw]

Ninakutumaini mchana kutwa.

ז [Zayin]

 6 Kumbuka rehema zako, Ee Yehova, na upendo wako mshikamanifu,+

Ambazo umedhihirisha sikuzote.*+

ח [Heth]

 7 Usikumbuke dhambi na makosa niliyotenda nilipokuwa kijana.

Nikumbuke kulingana na upendo wako mshikamanifu,+

Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+

ט [Teth]

 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+

Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+

י [Yod]

 9 Atawaongoza wapole katika yaliyo sawa,*+

Naye atawafundisha wapole njia yake.+

כ [Kaph]

10 Njia zote za Yehova ni upendo mshikamanifu na uaminifu

Kwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+

ל [Lamed]

11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+

Nisamehe kosa langu, ingawa ni kubwa.

מ [Mem]

12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+

Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+

נ [Nun]

13 Atajionea* yaliyo mema,+

Na wazao wake wataimiliki* dunia.+

ס [Samekh]

14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+

Naye huwajulisha agano lake.+

ע [Ayin]

15 Macho yangu humtazama Yehova daima,+

Kwa maana ataiweka huru miguu yangu kutoka katika wavu.+

פ [Pe]

16 Nielekezee uso wako na kunionyesha kibali,

Kwa maana niko peke yangu na sina uwezo.

צ [Tsade]

17 Taabu za moyo wangu zimeongezeka;+

Niondolee maumivu yangu makali.

ר [Resh]

18 Yaone mateso yangu na shida yangu,+

Nawe unisamehe dhambi zangu zote.+

19 Tazama jinsi maadui wangu walivyo wengi

Na jinsi wanavyonichukia vikali.

ש [Shin]

20 Ulinde uhai wangu* na uniokoe.+

Usiruhusu niaibishwe, kwa maana nimekukimbilia wewe.

ת [Taw]

21 Utimilifu na unyoofu na vinilinde,+

Kwa maana ninakutumaini wewe.+

22 Ee Mungu, mwokoe* Israeli kutoka katika taabu zake zote.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki