Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ufunuo—Yaliyomo

      • Aona maono ya Yehova mbinguni (1-11)

        • Yehova akiwa ameketi kwenye kiti chake cha ufalme (2)

        • Wazee 24 kwenye viti vya ufalme (4)

        • Viumbe hai wanne (6)

Ufunuo 4:2

Marejeo

  • +1Fa 22:19; Isa 6:1; Eze 1:26, 27; Da 7:9; Mdo 7:55

Ufunuo 4:3

Marejeo

  • +Ufu 21:10, 11
  • +1Yo 1:5

Ufunuo 4:4

Marejeo

  • +Ufu 4:10; 5:8; 11:16; 19:4

Ufunuo 4:5

Marejeo

  • +Eze 1:13
  • +Kut 19:16
  • +Ufu 1:4; 5:6

Ufunuo 4:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Katikati pamoja na kile kiti cha ufalme.”

Marejeo

  • +Kut 30:18; 1Fa 7:23
  • +Eze 1:5-10

Ufunuo 4:7

Marejeo

  • +Met 28:1; Isa 31:4
  • +Ayu 39:9-11; Ufu 6:3
  • +Ufu 6:5
  • +Ufu 6:7
  • +Ayu 39:27, 29; Eze 1:10

Ufunuo 4:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Eze 10:9, 12
  • +Isa 6:2, 3
  • +Ufu 1:4

Ufunuo 4:9

Marejeo

  • +Zb 90:2; Da 12:7

Ufunuo 4:10

Marejeo

  • +Ufu 5:8

Ufunuo 4:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Mt 5:16; Ufu 14:7
  • +Ufu 19:10
  • +Ufu 5:13; 7:12; 11:17; 12:10
  • +Ufu 10:6

Jumla

Ufu. 4:21Fa 22:19; Isa 6:1; Eze 1:26, 27; Da 7:9; Mdo 7:55
Ufu. 4:3Ufu 21:10, 11
Ufu. 4:31Yo 1:5
Ufu. 4:4Ufu 4:10; 5:8; 11:16; 19:4
Ufu. 4:5Eze 1:13
Ufu. 4:5Kut 19:16
Ufu. 4:5Ufu 1:4; 5:6
Ufu. 4:6Kut 30:18; 1Fa 7:23
Ufu. 4:6Eze 1:5-10
Ufu. 4:7Met 28:1; Isa 31:4
Ufu. 4:7Ayu 39:9-11; Ufu 6:3
Ufu. 4:7Ufu 6:5
Ufu. 4:7Ufu 6:7
Ufu. 4:7Ayu 39:27, 29; Eze 1:10
Ufu. 4:8Eze 10:9, 12
Ufu. 4:8Isa 6:2, 3
Ufu. 4:8Ufu 1:4
Ufu. 4:9Zb 90:2; Da 12:7
Ufu. 4:10Ufu 5:8
Ufu. 4:11Mt 5:16; Ufu 14:7
Ufu. 4:11Ufu 19:10
Ufu. 4:11Ufu 5:13; 7:12; 11:17; 12:10
Ufu. 4:11Ufu 10:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ufunuo 4:1-11

Ufunuo kwa Yohana

4 Baada ya hayo nikaona, na tazama! mlango uliofunguliwa mbinguni, na sauti ya kwanza niliyoisikia ikizungumza nami ilikuwa kama ya tarumbeta, ikisema: “Panda uje huku, nami nitakuonyesha mambo ambayo lazima yatendeke.” 2 Baada ya hayo mara moja nikawa katika nguvu za roho, na tazama! kiti cha ufalme kilikuwa mahali pake mbinguni, na kulikuwa na mtu aliyeketi kwenye kile kiti.+ 3 Na Yule aliyeketi alionekana kama jiwe la yaspi+ na jiwe jekundu lenye thamani, na kuzunguka kile kiti cha ufalme kulikuwa na upinde wa mvua ulioonekana kama zumaridi.+

4 Kuzunguka kile kiti cha ufalme kulikuwa na viti vya ufalme 24, na kwenye viti hivyo vya ufalme niliona wameketi wazee 24+ waliovaa mavazi meupe, na juu ya vichwa vyao mataji ya dhahabu. 5 Kwenye kile kiti cha ufalme kulitokea radi+ na sauti na ngurumo;+ na kulikuwa na taa saba za moto zikiwaka mbele ya kile kiti cha ufalme, ambazo zinamaanisha zile roho saba za Mungu.+ 6 Mbele ya kile kiti cha ufalme kulikuwa na kitu kinachofanana na bahari ya kioo,+ kama fuwele.

Katikati ya kile kiti cha ufalme* na kuzunguka kile kiti kulikuwa na viumbe hai wanne+ waliojaa macho mbele na nyuma. 7 Kiumbe hai wa kwanza alikuwa kama simba,+ na kiumbe hai wa pili alikuwa kama ng’ombe dume mchanga,+ na kiumbe hai wa tatu+ alikuwa na uso kama wa mwanadamu, na kiumbe hai wa nne+ alikuwa kama tai anayeruka.+ 8 Kuhusu wale viumbe hai wanne, kila mmoja wao alikuwa na mabawa sita; walikuwa na macho kila mahali pande zote na chini yao.+ Na mchana na usiku wanaendelea kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova*+ Mungu, Mweza-Yote, aliyekuwako na aliyeko na anayekuja.”+

9 Kila mara wale viumbe hai wanapompa utukufu na heshima na shukrani Yule anayeketi kwenye kile kiti cha ufalme, Yule anayeishi milele na milele,+ 10 wale wazee 24+ huanguka chini mbele za Yule anayeketi kwenye kile kiti cha ufalme na kumwabudu Yule anayeishi milele na milele, nao hutupa mataji yao mbele ya kile kiti wakisema: 11 “Unastahili, Ee Yehova* Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi yako vilitokea navyo vikaumbwa.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki