Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kutoka—Yaliyomo

      • Musa na kichaka cha miiba kilichowaka moto (1-12)

      • Yehova aeleza maana ya jina Lake (13-15)

      • Yehova ampa Musa maagizo (16-22)

Kutoka 3:1

Marejeo

  • +Kut 2:16; 18:1
  • +Kut 24:12, 13; 1Fa 19:8, 9

Kutoka 3:2

Marejeo

  • +Mdo 7:30-34

Kutoka 3:6

Marejeo

  • +Mwa 17:1, 7
  • +Mwa 26:24
  • +Mwa 28:13; 32:9; Mt 22:32; Mdo 7:32

Kutoka 3:7

Marejeo

  • +Kut 1:11; Isa 63:9; Mdo 7:34

Kutoka 3:8

Marejeo

  • +Kut 12:51
  • +Hes 13:26, 27; Kum 27:3
  • +Mwa 10:15-17; Kut 33:1, 2; Kum 7:1; Yos 3:10; Ne 9:7, 8

Kutoka 3:9

Marejeo

  • +Kut 1:11

Kutoka 3:10

Marejeo

  • +Zb 105:26, 38; Mdo 7:34

Kutoka 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtaniabudu.”

Marejeo

  • +Kum 31:23; Yos 1:5; Isa 41:10; Ro 8:31; Flp 4:13
  • +Kut 19:2; Kum 4:11, 12

Kutoka 3:13

Marejeo

  • +Kut 15:3; Zb 96:8; 135:13; Ho. 12:5; Yoh 17:26; Ro 10:13

Kutoka 3:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ninachotaka.”

  • *

    Au “Nitathibitika Kuwa Kile Nitakachothibitika Kuwa.” Angalia Nyongeza A4.

Marejeo

  • +Ayu 23:13; Isa 14:27; Yoh 12:28
  • +Kut 6:3, 7; Ro 9:17

Kutoka 3:15

Marejeo

  • +Mwa 17:1, 7
  • +Mwa 26:24
  • +Mwa 28:13; Mt 22:32
  • +Zb 135:13

Kutoka 3:16

Marejeo

  • +Mwa 50:24; Kut 13:19

Kutoka 3:17

Marejeo

  • +Mwa 15:13, 14; Law 26:13
  • +Mwa 15:16
  • +Kut 23:23
  • +Hes 13:27; Kum 8:7-9

Kutoka 3:18

Marejeo

  • +Kut 4:31
  • +Mwa 14:13
  • +Kut 5:3; 10:25, 26

Kutoka 3:19

Marejeo

  • +Kut 5:2; 14:8; Ro 9:17

Kutoka 3:20

Marejeo

  • +Kut 7:3; 12:33; Kum 6:22

Kutoka 3:21

Marejeo

  • +Kut 11:2; 12:35, 36

Kutoka 3:22

Marejeo

  • +Mwa 15:13, 14; Kut 12:36

Jumla

Kut. 3:1Kut 2:16; 18:1
Kut. 3:1Kut 24:12, 13; 1Fa 19:8, 9
Kut. 3:2Mdo 7:30-34
Kut. 3:6Mwa 17:1, 7
Kut. 3:6Mwa 26:24
Kut. 3:6Mwa 28:13; 32:9; Mt 22:32; Mdo 7:32
Kut. 3:7Kut 1:11; Isa 63:9; Mdo 7:34
Kut. 3:8Kut 12:51
Kut. 3:8Hes 13:26, 27; Kum 27:3
Kut. 3:8Mwa 10:15-17; Kut 33:1, 2; Kum 7:1; Yos 3:10; Ne 9:7, 8
Kut. 3:9Kut 1:11
Kut. 3:10Zb 105:26, 38; Mdo 7:34
Kut. 3:12Kum 31:23; Yos 1:5; Isa 41:10; Ro 8:31; Flp 4:13
Kut. 3:12Kut 19:2; Kum 4:11, 12
Kut. 3:13Kut 15:3; Zb 96:8; 135:13; Ho. 12:5; Yoh 17:26; Ro 10:13
Kut. 3:14Ayu 23:13; Isa 14:27; Yoh 12:28
Kut. 3:14Kut 6:3, 7; Ro 9:17
Kut. 3:15Mwa 17:1, 7
Kut. 3:15Mwa 26:24
Kut. 3:15Mwa 28:13; Mt 22:32
Kut. 3:15Zb 135:13
Kut. 3:16Mwa 50:24; Kut 13:19
Kut. 3:17Mwa 15:13, 14; Law 26:13
Kut. 3:17Mwa 15:16
Kut. 3:17Kut 23:23
Kut. 3:17Hes 13:27; Kum 8:7-9
Kut. 3:18Kut 4:31
Kut. 3:18Mwa 14:13
Kut. 3:18Kut 5:3; 10:25, 26
Kut. 3:19Kut 5:2; 14:8; Ro 9:17
Kut. 3:20Kut 7:3; 12:33; Kum 6:22
Kut. 3:21Kut 11:2; 12:35, 36
Kut. 3:22Mwa 15:13, 14; Kut 12:36
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Kutoka 3:1-22

Kutoka

3 Musa akawa mchungaji wa kondoo wa Yethro,+ baba mkwe wake, kuhani wa Midiani. Alipokuwa akiwaongoza kondoo kuelekea upande wa magharibi wa nyika, hatimaye alifika kwenye mlima wa Mungu wa kweli ulioitwa Horebu.+ 2 Kisha malaika wa Yehova akamtokea katika mwali wa moto katikati ya kichaka cha miiba.+ Musa alipoendelea kutazama, aliona kwamba kichaka hicho cha miiba kilikuwa kikiwaka moto, lakini hakikuteketea. 3 Basi Musa akasema: “Nitaenda kuchunguza jambo hili la ajabu, nione kwa nini kichaka kile cha miiba hakiteketei.” 4 Yehova alipoona akienda kukitazama, Mungu akamwita kutoka katika kichaka cha miiba: “Musa! Musa!” naye akajibu: “Mimi hapa.” 5 Akamwambia: “Usikaribie zaidi. Vua viatu vyako, kwa sababu mahali unaposimama ni ardhi takatifu.”

6 Akaendelea kusema: “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka,+ na Mungu wa Yakobo.”+ Ndipo Musa akauficha uso wake, kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu wa kweli. 7 Kisha Yehova akasema: “Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; ninajua vema maumivu yao.+ 8 Nitashuka huko ili niwaokoe kutoka mikononi mwa Wamisri+ na kuwapandisha kutoka katika nchi hiyo na kuwapeleka katika nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ eneo la Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+ 9 Sasa tazama! Kilio cha Waisraeli kimenifikia, nami nimeona pia jinsi Wamisri wanavyowakandamiza kwa ukatili.+ 10 Sasa njoo, nitakutuma kwa Farao, nawe utawatoa watu wangu Waisraeli kutoka Misri.”+

11 Hata hivyo, Musa akamwambia Mungu wa kweli: “Mimi ni nani hata niende kwa Farao na kuwatoa Waisraeli nchini Misri?” 12 Mungu akamwambia: “Nitathibitika kuwa pamoja nawe,+ na hii ndiyo ishara itakayoonyesha kwamba ni mimi niliyekutuma: Baada ya kuwatoa Waisraeli nchini Misri, ninyi mtanitumikia* mimi, Mungu wa kweli, kwenye mlima huu.”+

13 Lakini Musa akamwambia Mungu wa kweli: “Tuseme niende kwa Waisraeli na kuwaambia, ‘Mungu wa mababu zenu amenituma kwenu,’ nao waniulize, ‘Jina lake ni nani?’+ Niwaambie nini?” 14 Basi Mungu akamwambia Musa: “Nitakuwa Kile Ninachochagua* Kuwa.”*+ Kisha akasema: “Hivi ndivyo unavyopaswa kuwaambia Waisraeli, ‘Nitakuwa amenituma kwenu.’”+ 15 Tena Mungu akamwambia Musa:

“Hivi ndivyo unavyopaswa kuwaambia Waisraeli, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka,+ na Mungu wa Yakobo,+ amenituma kwenu.’ Hilo ndilo jina langu milele,+ na hivyo ndivyo ninavyopaswa kukumbukwa kizazi baada ya kizazi. 16 Sasa nenda, uwakusanye wazee wa Israeli na kuwaambia, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu amenitokea, Mungu wa Abrahamu, Isaka, na Yakobo, naye alisema: “Hakika nimewatazama+ na nimeona mambo mnayotendewa nchini Misri. 17 Kwa hiyo ninasema, nitawatoa katika mateso+ mnayopata mikononi mwa Wamisri na kuwapeleka katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori,+ Waperizi,+ Wahivi, na Wayebusi, nchi inayotiririka maziwa na asali.”’+

18 “Hakika wataisikiliza sauti yako,+ nawe utaenda, wewe pamoja na wazee wa Israeli, kwa mfalme wa Misri, nanyi mnapaswa kumwambia: ‘Yehova Mungu wa Waebrania+ amewasiliana nasi. Kwa hiyo, tafadhali, turuhusu tusafiri kwa siku tatu nyikani ili tumtolee Yehova Mungu wetu dhabihu.’+ 19 Lakini mimi mwenyewe ninajua vema kwamba mfalme wa Misri hatawaruhusu kwenda asipolazimishwa kwa mkono wenye nguvu.+ 20 Kwa hiyo nitalazimika kuunyoosha mkono wangu na kuipiga Misri kwa matendo yangu yote ya ajabu nitakayofanya nchini humo, kisha atawaruhusu mwondoke.+ 21 Nami nitawafanya watu hawa wapate kibali machoni pa Wamisri, nanyi mtakapoondoka, hamtaondoka kamwe mikono mitupu.+ 22 Kila mwanamke anapaswa kumwomba jirani yake na mwanamke anayeishi nyumbani mwake vito vya fedha na vya dhahabu na pia mavazi, nanyi mtawavika wana wenu na mabinti wenu; nanyi mtachukua mali za Wamisri.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki