Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kumsifu Mungu kwa sababu ya wokovu

        • “Yehova ni jabali langu” (2)

        • Yehova ni mshikamanifu kwa walio washikamanifu (25)

        • Njia ya Mungu ni kamilifu (30)

        • “Unyenyekevu wako hunifanya niwe mkuu” (35)

Zaburi 18:utangulizi

Marejeo

  • +2Sa 22:1

Zaburi 18:1

Marejeo

  • +Zb 18:32; Isa 12:2

Zaburi 18:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Au “mwokozi wangu mwenye nguvu.”

  • *

    Au “kilele changu salama.”

Marejeo

  • +Zb 3:3; 37:39, 40; 40:17
  • +Kum 32:4
  • +Mwa 15:1; 2Sa 22:2-4

Zaburi 18:3

Marejeo

  • +Zb 50:15

Zaburi 18:4

Marejeo

  • +1Sa 20:3; Zb 116:3
  • +2Sa 20:1; 22:5, 6; Zb 22:16

Zaburi 18:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mhu 9:12

Zaburi 18:6

Marejeo

  • +Zb 11:4
  • +2Sa 22:7; Zb 10:17; 34:15; 1Pe 3:12

Zaburi 18:7

Marejeo

  • +Amu 5:4
  • +2Sa 22:8-16; Zb 77:18

Zaburi 18:8

Marejeo

  • +Isa 30:27

Zaburi 18:9

Marejeo

  • +Zb 144:5; Isa 64:1
  • +2Sa 22:10

Zaburi 18:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “upepo.”

Marejeo

  • +Zb 99:1
  • +Zb 104:3; Ebr 1:7

Zaburi 18:11

Marejeo

  • +Zb 97:2
  • +Ayu 36:29

Zaburi 18:13

Marejeo

  • +1Sa 2:10; 7:10
  • +2Sa 22:14; Zb 29:3

Zaburi 18:14

Marejeo

  • +Isa 30:30
  • +Ayu 36:32; Zb 144:6

Zaburi 18:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mifereji ya maji ikaonekana.”

Marejeo

  • +Zb 74:15; 106:9; 114:1, 3
  • +Kut 15:8; 2Sa 22:16

Zaburi 18:16

Marejeo

  • +2Sa 22:17-20; Zb 124:2-4

Zaburi 18:17

Marejeo

  • +Zb 3:7
  • +Zb 35:10

Zaburi 18:18

Marejeo

  • +1Sa 19:11; 23:26

Zaburi 18:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mahali penye nafasi kubwa.”

Marejeo

  • +Zb 149:4

Zaburi 18:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukosefu wa hatia.”

Marejeo

  • +1Sa 26:23; 1Fa 8:32
  • +1Sa 24:11; 2Sa 22:21-25; Zb 24:3, 4

Zaburi 18:23

Marejeo

  • +Zb 84:11
  • +2Sa 22:24; Met 14:16

Zaburi 18:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukosefu wa hatia.”

Marejeo

  • +Isa 3:10; Ebr 11:6
  • +2Sa 22:25; Met 5:21

Zaburi 18:25

Marejeo

  • +Zb 97:10
  • +2Sa 22:26-31; Ayu 34:11; Yer 32:19

Zaburi 18:26

Marejeo

  • +Mt 5:8
  • +Zb 125:5

Zaburi 18:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaoteseka.”

  • *

    Tnn., “unayashusha macho ya kiburi.”

Marejeo

  • +Ayu 34:28
  • +Met 6:16, 17; Isa 2:11; Lu 18:14

Zaburi 18:28

Marejeo

  • +Zb 97:11; Isa 42:16

Zaburi 18:29

Marejeo

  • +2Sa 5:19; Ebr 11:32-34
  • +2Sa 22:30; Flp 4:13

Zaburi 18:30

Marejeo

  • +Kum 32:4; Da 4:37; Ufu 15:3
  • +Zb 12:6; 19:8
  • +Zb 18:2; 84:11

Zaburi 18:31

Marejeo

  • +Zb 86:8; Isa 45:5
  • +Kum 32:31; 1Sa 2:2; 2Sa 22:32-43

Zaburi 18:32

Marejeo

  • +Zb 84:5, 7
  • +Isa 26:7

Zaburi 18:33

Marejeo

  • +Hab 3:19

Zaburi 18:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hunidumisha.”

Marejeo

  • +Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 28:7
  • +2Sa 22:36; Zb 113:6-8

Zaburi 18:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Vifundo vya miguu yangu havitateleza.”

Marejeo

  • +Zb 17:5

Zaburi 18:38

Marejeo

  • +Zb 2:8, 9

Zaburi 18:39

Marejeo

  • +Zb 44:5

Zaburi 18:40

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Utanionyesha migongo ya maadui wangu.”

  • *

    Au “nitawanyamazisha.”

Marejeo

  • +2Sa 22:41; Zb 34:21

Zaburi 18:43

Marejeo

  • +1Sa 30:6
  • +2Sa 8:3; Zb 2:8
  • +2Sa 22:44-46

Zaburi 18:44

Marejeo

  • +Kum 33:29

Zaburi 18:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watafifia.”

Zaburi 18:46

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Kut 15:2; 2Sa 22:47-49

Zaburi 18:47

Marejeo

  • +Kum 32:35; Nah 1:2; Ro 12:19

Zaburi 18:48

Marejeo

  • +2Sa 7:9; Zb 59:1

Zaburi 18:49

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitalipigia muziki.”

Marejeo

  • +Kum 32:43; Zb 117:1; Isa 11:10
  • +2Sa 22:50, 51; 1Nya 16:9; Ro 15:9

Zaburi 18:50

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “humpa ushindi mkubwa mfalme wake.”

  • *

    Tnn., “mbegu yake.”

Marejeo

  • +Zb 2:6; 144:10
  • +2Sa 7:15-17; 1Fa 3:6
  • +Zb 89:20, 36; Isa 9:7; Lu 1:32, 33; Ufu 5:5

Jumla

Zab. 18:utangulizi2Sa 22:1
Zab. 18:1Zb 18:32; Isa 12:2
Zab. 18:2Zb 3:3; 37:39, 40; 40:17
Zab. 18:2Kum 32:4
Zab. 18:2Mwa 15:1; 2Sa 22:2-4
Zab. 18:3Zb 50:15
Zab. 18:41Sa 20:3; Zb 116:3
Zab. 18:42Sa 20:1; 22:5, 6; Zb 22:16
Zab. 18:5Mhu 9:12
Zab. 18:6Zb 11:4
Zab. 18:62Sa 22:7; Zb 10:17; 34:15; 1Pe 3:12
Zab. 18:7Amu 5:4
Zab. 18:72Sa 22:8-16; Zb 77:18
Zab. 18:8Isa 30:27
Zab. 18:9Zb 144:5; Isa 64:1
Zab. 18:92Sa 22:10
Zab. 18:10Zb 99:1
Zab. 18:10Zb 104:3; Ebr 1:7
Zab. 18:11Zb 97:2
Zab. 18:11Ayu 36:29
Zab. 18:131Sa 2:10; 7:10
Zab. 18:132Sa 22:14; Zb 29:3
Zab. 18:14Isa 30:30
Zab. 18:14Ayu 36:32; Zb 144:6
Zab. 18:15Zb 74:15; 106:9; 114:1, 3
Zab. 18:15Kut 15:8; 2Sa 22:16
Zab. 18:162Sa 22:17-20; Zb 124:2-4
Zab. 18:17Zb 3:7
Zab. 18:17Zb 35:10
Zab. 18:181Sa 19:11; 23:26
Zab. 18:19Zb 149:4
Zab. 18:201Sa 26:23; 1Fa 8:32
Zab. 18:201Sa 24:11; 2Sa 22:21-25; Zb 24:3, 4
Zab. 18:23Zb 84:11
Zab. 18:232Sa 22:24; Met 14:16
Zab. 18:24Isa 3:10; Ebr 11:6
Zab. 18:242Sa 22:25; Met 5:21
Zab. 18:25Zb 97:10
Zab. 18:252Sa 22:26-31; Ayu 34:11; Yer 32:19
Zab. 18:26Mt 5:8
Zab. 18:26Zb 125:5
Zab. 18:27Ayu 34:28
Zab. 18:27Met 6:16, 17; Isa 2:11; Lu 18:14
Zab. 18:28Zb 97:11; Isa 42:16
Zab. 18:292Sa 5:19; Ebr 11:32-34
Zab. 18:292Sa 22:30; Flp 4:13
Zab. 18:30Kum 32:4; Da 4:37; Ufu 15:3
Zab. 18:30Zb 12:6; 19:8
Zab. 18:30Zb 18:2; 84:11
Zab. 18:31Zb 86:8; Isa 45:5
Zab. 18:31Kum 32:31; 1Sa 2:2; 2Sa 22:32-43
Zab. 18:32Zb 84:5, 7
Zab. 18:32Isa 26:7
Zab. 18:33Hab 3:19
Zab. 18:35Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 28:7
Zab. 18:352Sa 22:36; Zb 113:6-8
Zab. 18:36Zb 17:5
Zab. 18:38Zb 2:8, 9
Zab. 18:39Zb 44:5
Zab. 18:402Sa 22:41; Zb 34:21
Zab. 18:431Sa 30:6
Zab. 18:432Sa 8:3; Zb 2:8
Zab. 18:432Sa 22:44-46
Zab. 18:44Kum 33:29
Zab. 18:46Kum 32:4
Zab. 18:46Kut 15:2; 2Sa 22:47-49
Zab. 18:47Kum 32:35; Nah 1:2; Ro 12:19
Zab. 18:482Sa 7:9; Zb 59:1
Zab. 18:49Kum 32:43; Zb 117:1; Isa 11:10
Zab. 18:492Sa 22:50, 51; 1Nya 16:9; Ro 15:9
Zab. 18:50Zb 2:6; 144:10
Zab. 18:502Sa 7:15-17; 1Fa 3:6
Zab. 18:50Zb 89:20, 36; Isa 9:7; Lu 1:32, 33; Ufu 5:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 18:1-50

Zaburi

Kwa kiongozi. Wa Daudi mtumishi wa Yehova, aliyemwambia Yehova maneno ya wimbo huu siku ambayo Yehova alimwokoa kutoka mikononi mwa maadui wake wote na kutoka mikononi mwa Sauli. Alisema:+

18 Ninakupenda, Ee Yehova, nguvu zangu.+

 2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+

Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,

Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+

 3 Ninamlilia Yehova, anayestahili kusifiwa,

Nami nitaokolewa kutoka kwa maadui wangu.+

 4 Kamba za kifo zilinizunguka;+

Mafuriko ya ghafla ya watu wasiofaa kitu yaliniogopesha.+

 5 Kamba za Kaburi* zilinizunguka;

Mitego ya kifo ilinikabili.+

 6 Katika taabu yangu nilimwita Yehova,

Niliendelea kumlilia Mungu wangu anisaidie.

Akiwa katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+

Na kilio changu cha kumwomba msaada kilifika masikioni mwake.+

 7 Kisha dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika;+

Misingi ya milima ikasukasuka

Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+

 8 Moshi ulipanda kutoka katika mianzi ya pua yake,

Na moto unaoteketeza kabisa ukatoka kinywani mwake;+

Makaa ya mawe yanayowaka moto mkali yakatoka kwake.

 9 Alizifanya mbingu zijikunje alipokuwa akishuka,+

Na giza zito lilikuwa chini ya miguu yake.+

10 Alipanda juu ya kerubi, akaja akiruka.+

Akashuka chini kwa ghafla juu ya mabawa ya kiumbe wa roho.*+

11 Kisha akajifunika giza,+

Pande zote kama banda,

Maji yenye giza na mawingu mazito.+

12 Kutoka katika mwangaza ulio mbele zake

Mvua ya mawe na makaa ya mawe yanayowaka moto yakapasua mawingu.

13 Kisha Yehova akaanza kunguruma mbinguni;+

Aliye Juu Zaidi aliifanya sauti yake isikike+

Kwa mvua ya mawe na makaa ya mawe yanayowaka moto.

14 Alipiga mishale yake akawatawanya;+

Alivurumisha radi yake akawavuruga.+

15 Sakafu za vijito zikaonekana;*+

Misingi ya nchi ikafunuliwa kwa kemeo lako, Ee Yehova,

Kwa mlipuko wa pumzi kutoka katika mianzi ya pua yako.+

16 Aliunyoosha mkono wake kutoka juu;

Alinishika na kunivuta kutoka katika maji yenye kina.+

17 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+

Kutoka kwa wale wanaonichukia, waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.+

18 Walinikabili katika siku ya msiba wangu,+

Lakini Yehova alikuwa tegemeo langu.

19 Alinitoa nje na kunileta mahali penye usalama;*

Aliniokoa kwa sababu alipendezwa nami.+

20 Yehova hunithawabisha kulingana na uadilifu wangu;+

Hunilipa kulingana na usafi* wa mikono yangu.+

21 Kwa maana nimezishika njia za Yehova,

Nami sijamwacha kwa uovu Mungu wangu.

22 Hukumu zake zote ziko mbele yangu;

Sitazipuuza sheria zake.

23 Nitabaki bila lawama mbele zake,+

Nami nitajiepusha na uovu.+

24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+

Kulingana na usafi* wa mikono yangu mbele zake.+

25 Kwa mtu mshikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+

Kwa mtu asiye na lawama unatenda bila lawama;+

26 Kwa walio safi unajidhihirisha mwenyewe kuwa safi,+

Lakini kwa waliopotoka unajidhihirisha mwenyewe kuwa mwenye busara.+

27 Kwa maana wewe huwaokoa watu wa hali ya chini*+

Lakini unawashusha wenye kiburi.*+

28 Kwa maana ni wewe unayeiwasha taa yangu, Ee Yehova,

Mungu wangu ambaye hulifanya giza langu liangaze.+

29 Kwa msaada wako ninaweza kukabiliana na kundi la wavamizi;+

Kwa nguvu za Mungu ninaweza kuupanda ukuta.+

30 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+

Neno la Yehova ni safi.+

Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+

31 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova?+

Na ni nani aliye mwamba isipokuwa Mungu wetu?+

32 Mungu wa kweli ndiye anayenivisha nguvu,+

Naye ataifanya njia yangu iwe kamilifu.+

33 Huifanya miguu yangu iwe kama ya paa;

Hunifanya nisimame mahali palipo juu.+

34 Huizoeza mikono yangu kupigana vita;

Mikono yangu inaweza kuukunja upinde wa shaba.

35 Wewe hunipa ngao yako ya wokovu,+

Mkono wako wa kuume hunitegemeza,*

Na unyenyekevu wako hunifanya niwe mkuu.+

36 Unapanua njia kwa ajili ya hatua zangu;

Miguu yangu haitateleza.*+

37 Nitawafuatia maadui wangu na kuwapita;

Sitarudi mpaka watakapoangamizwa kabisa.

38 Nitawaponda wasiweze kuinuka;+

Wataanguka chini ya miguu yangu.

39 Utanipa nguvu kwa ajili ya vita;

Utawafanya maadui wangu waanguke chini yangu.+

40 Utawafanya maadui wangu wanikimbie,*

Nami nitawakomesha* wale wanaonichukia.+

41 Wanalilia msaada, lakini hakuna mtu wa kuwaokoa;

Hata wanamlilia Yehova, lakini yeye hawajibu.

42 Nitawaponda wawe laini kama mavumbi katika upepo;

Nitawatupa nje kama matope barabarani.

43 Utaniokoa kutoka kwa watu wanaotafuta makosa.+

Utaniweka kuwa kiongozi wa mataifa.+

Watu ambao siwajui watanitumikia.+

44 Watanitii watakaposikia fununu tu;

Wageni watakuja wakijikunyata mbele zangu.+

45 Wageni watakosa ujasiri;*

Watakuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.

46 Yehova yuko hai! Mwamba wangu na asifiwe!+

Mungu wa wokovu wangu na akwezwe.+

47 Mungu wa kweli hunilipizia kisasi;+

Huyatiisha mataifa chini yangu.

48 Yeye huniokoa kutoka kwa maadui wangu wenye hasira;

Unaniinua juu ya wale wanaonishambulia;+

Unaniokoa kutoka kwa mtu mkatili.

49 Ndiyo sababu nitakutukuza wewe miongoni mwa mataifa, Ee Yehova,+

Nami nitaliimbia sifa* jina lako.+

50 Yeye hutenda matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake;*+

Humtendea mtiwa-mafuta wake kwa upendo mshikamanifu,+

Kwa Daudi na kwa uzao wake* milele.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki