Zaburi
Wa Daudi.
א [Aleph]
25 Nakugeukia wewe,* Ee Yehova.
ב [Beth]
Usiruhusu maadui wangu wanicheke.+
ג [Gimel]
3 Kwa hakika hakuna yeyote anayekutumaini atakayeaibishwa,+
Lakini aibu inawangoja wale wanaotenda kwa hila bila sababu.+
ד [Daleth]
ה [He]
5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+
Kwa maana wewe ni Mungu wa wokovu wangu.
ו [Waw]
Ninakutumaini mchana kutwa.
ז [Zayin]
ח [Heth]
7 Usikumbuke dhambi na makosa niliyotenda nilipokuwa kijana.
ט [Teth]
8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+
Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+
י [Yod]
כ [Kaph]
10 Njia zote za Yehova ni upendo mshikamanifu na uaminifu
ל [Lamed]
11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+
Nisamehe kosa langu, ingawa ni kubwa.
מ [Mem]
12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+
Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+
נ [Nun]
ס [Samekh]
ע [Ayin]
פ [Pe]
16 Nielekezee uso wako na kunionyesha kibali,
Kwa maana niko peke yangu na sina uwezo.
צ [Tsade]
17 Taabu za moyo wangu zimeongezeka;+
Niondolee maumivu yangu makali.
ר [Resh]
19 Tazama jinsi maadui wangu walivyo wengi
Na jinsi wanavyonichukia vikali.
ש [Shin]
20 Ulinde uhai wangu* na uniokoe.+
Usiruhusu niaibishwe, kwa maana nimekukimbilia wewe.
ת [Taw]
22 Ee Mungu, mwokoe* Israeli kutoka katika taabu zake zote.