Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Zambi ya Yuda imetia mizizi (1-4)

      • Baraka za kutegemea Yehova (5-8)

      • Moyo wenye udanganyifu (9-11)

      • Yehova, tumaini la Israeli (12, 13)

      • Sala ya Yeremia (14-18)

      • Kuona Sabato kuwa takatifu (19-27)

Yeremia 17:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 3:7; 2Nya 24:18; 33:1, 3
  • +Isa 1:29; Eze 6:13

Yeremia 17:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:11, 13; Yer 15:13
  • +Law. 26:30; Eze 6:3

Yeremia 17:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Kwa maana umewashwa kama moto katika kasirani yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 5:2
  • +Kum 28:48; Yer 16:13
  • +Isa 5:25; Yer 15:14

Yeremia 17:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mutu mwenye nguvu.”

  • *

    Tnn., “anafanya mwili kuwa mukono wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 30:1, 2
  • +2 Fal. 16:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 10

Yeremia 17:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mutu mwenye nguvu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:8; 146:5; Isa 26:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 10

Yeremia 17:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 1:3; 92:12, 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2011, uku. 28

    15/3/2011, uku. 14

    1/3/2009, uku. 16-17

Yeremia 17:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “hauwezi kupona.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 6:5; 8:21; Mez. 28:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 43-45

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2004, uku. 10-11

    15/10/2001, uku. 25

    1/8/2001, uku. 9-10

    1/3/2000, uku. 30

Yeremia 17:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hisia za ndani kabisa.” Tnn., “figo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:7; 1Nya 28:9; Mez. 17:3; 21:2
  • +Rom. 2:6; Gal 6:7; Ufu 2:23; 22:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2013, uku. 9

Yeremia 17:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “lakini hapana kwa haki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 28:20; Isa 1:23; Yak 5:4

Yeremia 17:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 2:5; Isa 6:1

Yeremia 17:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wenye wananiasi mimi,” pengine maneno haya yanazungumuzia Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 73:27; Isa 1:28
  • +Yer 2:13; Ufu 22:1

Yeremia 17:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 15:20

Yeremia 17:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 5:19; 2 Pe. 3:4

Yeremia 17:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuwaharibu mara mbili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 15:15; 20:11
  • +Yer 18:23

Yeremia 17:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 7:2

Yeremia 17:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi zenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 13:19

Yeremia 17:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:9, 10; Law. 23:3
  • +Kut 31:13

Yeremia 17:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakafanya shingo zao kuwa ngumu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 48:4; Eze 20:13

Yeremia 17:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 5:12-14

Yeremia 17:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 132:11
  • +Yer 22:4

Yeremia 17:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kusini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 32:44
  • +Yer 33:13
  • +Law. 1:3
  • +Ezr 3:3
  • +Law. 2:1, 2
  • +Zab 107:22; 116:17; Yer 33:10, 11

Yeremia 17:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:9, 10; Yer 39:8
  • +2 Fal. 22:16, 17; Omb 4:11

Maandiko ingine

Yer. 17:2Amu 3:7; 2Nya 24:18; 33:1, 3
Yer. 17:2Isa 1:29; Eze 6:13
Yer. 17:32 Fal. 24:11, 13; Yer 15:13
Yer. 17:3Law. 26:30; Eze 6:3
Yer. 17:4Omb 5:2
Yer. 17:4Kum 28:48; Yer 16:13
Yer. 17:4Isa 5:25; Yer 15:14
Yer. 17:5Isa 30:1, 2
Yer. 17:52 Fal. 16:7
Yer. 17:7Zab 34:8; 146:5; Isa 26:3
Yer. 17:8Zab 1:3; 92:12, 13
Yer. 17:9Mwa 6:5; 8:21; Mez. 28:26
Yer. 17:101 Sa. 16:7; 1Nya 28:9; Mez. 17:3; 21:2
Yer. 17:10Rom. 2:6; Gal 6:7; Ufu 2:23; 22:12
Yer. 17:11Mez. 28:20; Isa 1:23; Yak 5:4
Yer. 17:122Nya 2:5; Isa 6:1
Yer. 17:13Zab 73:27; Isa 1:28
Yer. 17:13Yer 2:13; Ufu 22:1
Yer. 17:14Yer 15:20
Yer. 17:15Isa 5:19; 2 Pe. 3:4
Yer. 17:18Yer 15:15; 20:11
Yer. 17:18Yer 18:23
Yer. 17:19Yer 7:2
Yer. 17:21Ne 13:19
Yer. 17:22Kut 20:9, 10; Law. 23:3
Yer. 17:22Kut 31:13
Yer. 17:23Isa 48:4; Eze 20:13
Yer. 17:24Kum 5:12-14
Yer. 17:25Zab 132:11
Yer. 17:25Yer 22:4
Yer. 17:26Yer 32:44
Yer. 17:26Yer 33:13
Yer. 17:26Law. 1:3
Yer. 17:26Ezr 3:3
Yer. 17:26Law. 2:1, 2
Yer. 17:26Zab 107:22; 116:17; Yer 33:10, 11
Yer. 17:272 Fal. 25:9, 10; Yer 39:8
Yer. 17:272 Fal. 22:16, 17; Omb 4:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 17:1-27

Yeremia

17 “Zambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma.

Imechongwa kwa chongo ya almasi juu ya bamba la moyo wao

Na juu ya pembe za mazabahu zao,

 2 Wakati wana wao wanakumbuka mazabahu zao na miti yao mitakatifu*+

Pembeni ya muti wenye majani mengi, juu ya vilima virefu,+

 3 Juu ya milima katika eneo lenye kuwa wazi la mashamba.

Mali yako, hazina zako zote, nitazitoa ili zinyanganywe+

⁠—​Ndiyo, mahali pako pa juu kwa sababu ya zambi kila mahali katika maeneo yako.+

 4 Utaacha, kwa kupenda kwako mwenyewe, uriti wako wenye nilikupatia.+

Na nitakufanya utumikie maadui wako katika inchi yenye haujue,+

Kwa maana umewasha kasirani yangu kama moto.*+

Itawaka kwa wakati wote.”

 5 Yehova anasema hivi:

“Amelaaniwa mutu* mwenye anategemea wanadamu bure,+

Mwenye anategemea nguvu za mwanadamu,*+

Na mwenye moyo wake unageuka na kumuacha Yehova.

 6 Atakuwa kama muti wenye kuwa peke yake katika jangwa.

Hataona wakati mema yanakuja,

Lakini atakaa mahali kwenye kunakauka katika jangwa,

Katika inchi yenye chumvi yenye hakuna mutu mwenye anaweza kuishi ndani.

 7 Amebarikiwa mutu* mwenye anaweka tegemeo lake katika Yehova,

Mwenye uhakika wake uko katika Yehova.+

 8 Atakuwa kama muti wenye ulipandwa pembeni ya maji,

Wenye unapeleka mizizi yake kwenye muto mudogo.

Hatatambua wakati joto linakuja,

Lakini majani yake yatakuwa mengi sikuzote.+

Na katika mwaka wa ukame hatahangaika,

Wala hataacha kuzaa matunda.

 9 Moyo ni mudanganyifu kuliko kitu kingine chochote na uko hatari.*+

Ni nani anaweza kuujua?

10 Mimi, Yehova, ninachunguza moyo,+

Ninachunguza mawazo ya ndani kabisa,*

Ili kumupatia kila mumoja kulingana na njia zake,

Kulingana na matunda ya matendo yake.+

11 Kama kwale mwenye anakusanya kile chenye hakutaga

Ni vile mutu mwenye anapata utajiri kwa udanganyifu.*+

Huo utamuacha katikati ya maisha,

Na mwishowe ataonekana kuwa hana akili.”

12 Kiti cha ufalme chenye utukufu, chenye kiliinuliwa tangu mwanzo,

Ndipo mahali pa patakatifu petu.+

13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,

Wale wote wenye wanakuacha watapatishwa haya.

Wale wenye wanakuasi* wataandikwa katika mavumbi,+

Kwa sababu wamemuacha Yehova, chanzo cha maji ya uzima.+

14 Uniponyeshe, Ee Yehova, na nitapona.

Uniokoe, na nitaokoka,+

Kwa maana wewe ndiye ninasifu.

15 Angalia! Kuko wale wenye wananiambia:

“Neno la Yehova liko wapi?+

Likuje, tafazali!”

16 Lakini mimi, sikukimbia na kuacha kukufuata kama muchungaji,

Wala sikutamani siku ya musiba.

Unajua muzuri mambo yote yenye midomo yangu imesema;

Yote yalitendeka mbele ya uso wako!

17 Usikuwe kwangu kitu cha kuogopesha.

Wewe ni kimbilio langu katika siku ya musiba.

18 Uache wale wenye wananitesa wapatishwe haya,+

Lakini usiache mimi nipatishwe haya.

Uwaache waingiwe na woga,

Lakini usiache mimi niingiwe na woga.

Ulete siku ya musiba juu yao,+

Na uwaponde na kuwaharibu kabisa.*

19 Yehova aliniambia hivi: “Uende na usimame katika mulango mukubwa wa wana wa watu; mulango mukubwa wenye wafalme wa Yuda wanaingilia na kutokea, na katika milango yote mikubwa ya Yerusalemu.+ 20 Unapaswa kuwaambia, ‘Musikie neno la Yehova, ninyi wafalme wa Yuda, watu wote wa Yuda, na wakaaji wote wa Yerusalemu, wenye kuingia kupitia milango hii mikubwa. 21 Yehova anasema hivi: “Mukuwe waangalifu juu yenu wenyewe,* na musibebe muzigo wowote katika siku ya Sabato ao kuuingiza kupitia milango mikubwa ya Yerusalemu.+ 22 Hamupaswe kutosha muzigo wowote katika nyumba zenu katika siku ya Sabato; na hamupaswe kufanya kazi yoyote.+ Mutakase siku ya Sabato, kama vile niliamuru mababu zenu.+ 23 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao, na kwa kichwa-nguvu wakakataa* kutii wala kukubali nizamu.”’+

24 “‘“Hata hivyo, kama munanitii kabisa,” ni vile Yehova anasema, “na hamuingize muzigo wowote kupitia milango mikubwa ya muji huu katika siku ya Sabato, na munatakasa siku ya Sabato kwa kukosa kufanya kazi yoyote katika siku hiyo,+ 25 basi wafalme na wakubwa wenye wanakaa kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ wataingia pia kupitia milango mikubwa ya muji huu, wakipanda gari na farasi, wao pamoja na wakubwa wao, watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu;+ na muji huu utaikaliwa sikuzote. 26 Na watu watakuja kutoka katika miji ya Yuda, kutoka maeneo yenye kuzunguka Yerusalemu, kutoka katika inchi ya Benyamini,+ kutoka katika inchi tambarare ya chini,+ kutoka eneo lenye milima, na kutoka Negebu,* wakileta matoleo mazima ya kuteketezwa,+ zabihu,+ matoleo ya nafaka,+ ubani, na zabihu za shukrani ndani ya nyumba ya Yehova.+

27 “‘“Lakini kama hamunitii kwa kutakasa siku ya Sabato na kukosa kubeba mizigo na kuileta kupitia milango mikubwa ya Yerusalemu katika siku ya Sabato, nitawasha moto milango yake mikubwa, na hakika moto huo utateketeza minara yenye ngome ya Yerusalemu+ na hautazimishwa.”’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine