Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Toleo la kuteketezwa (1-17)

Mambo ya Walawi 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:34

Mambo ya Walawi 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wa Israeli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 22:18-20

Mambo ya Walawi 1:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:19, 21; Mal 1:14
  • +2 Kor. 9:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 29-30

Mambo ya Walawi 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 10:11
  • +Ebr 9:13, 14

Mambo ya Walawi 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:8

Mambo ya Walawi 1:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:12

Mambo ya Walawi 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mafuta yenye kuzunguka figo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:23

Mambo ya Walawi 1:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kumutuliza.” Tnn., “ya kumupumuzisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 8:20, 21; Hes 15:2, 3

Mambo ya Walawi 1:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 4:4
  • +Law. 12:6; 22:18-20

Mambo ya Walawi 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:16-18; Law. 8:18-21; 9:12-14

Mambo ya Walawi 1:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mafuta yake yenye kuzunguka figo.”

Mambo ya Walawi 1:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kumutuliza.” Tnn., “ya kumupumuzisha.”

Mambo ya Walawi 1:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 5:7; 12:8; Lu 2:24

Mambo ya Walawi 1:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “majivu yenye mafuta,” ni kusema, majivu yenye kujaa mafuta ya zabihu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 27:3; Law. 4:11, 12; 6:10

Mambo ya Walawi 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kumutuliza.” Tnn., “ya kumupumuzisha.”

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 1:1Kut 40:34
Mambo ya walawi 1:2Law. 22:18-20
Mambo ya walawi 1:3Kum 15:19, 21; Mal 1:14
Mambo ya walawi 1:32 Kor. 9:7
Mambo ya walawi 1:5Ebr 10:11
Mambo ya walawi 1:5Ebr 9:13, 14
Mambo ya walawi 1:6Law. 7:8
Mambo ya walawi 1:7Law. 6:12
Mambo ya walawi 1:81 Fal. 18:23
Mambo ya walawi 1:9Mwa 8:20, 21; Hes 15:2, 3
Mambo ya walawi 1:10Mwa 4:4
Mambo ya walawi 1:10Law. 12:6; 22:18-20
Mambo ya walawi 1:11Kut 29:16-18; Law. 8:18-21; 9:12-14
Mambo ya walawi 1:14Law. 5:7; 12:8; Lu 2:24
Mambo ya walawi 1:16Kut 27:3; Law. 4:11, 12; 6:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 1:1-17

Mambo ya Walawi

1 Na Yehova akamuita Musa na kusema naye kutoka katika hema ya mukutano,+ na kumuambia: 2 “Sema na Waisraeli* na uwaambie, ‘Ikiwa mutu yeyote kati yenu anataka kumutolea Yehova toleo kutoka kati ya wanyama wa kufugwa, munapaswa kumutolea toleo lenu kutoka katika mifugo na kundi.+

3 “‘Kama toleo lake ni toleo la kuteketezwa kutoka katika mifugo, anapaswa kutoa munyama dume mwenye hana kasoro.+ Anapaswa kumutoa kwa kupenda kwake mwenyewe+ mbele ya Yehova kwenye muingilio wa hema ya mukutano. 4 Ataweka mukono wake juu ya kichwa cha toleo hilo la kuteketezwa, na litakubaliwa kwa ajili yake ili kufunika zambi kwa ajili yake.

5 “‘Kisha ngombe-dume huyo mudogo atachinjwa mbele ya Yehova, na wana wa Haruni, makuhani,+ wataleta damu ya munyama huyo na kuinyunyiza* kwenye pande zote za mazabahu,+ yenye kuwa kwenye muingilio wa hema ya mukutano. 6 Toleo la kuteketezwa linapaswa kuondolewa ngozi na kukatwa vipande-vipande.+ 7 Wana wa Haruni, makuhani, wanapaswa kuweka moto kwenye mazabahu+ na kupanga kuni kwenye moto huo. 8 Wana wa Haruni, makuhani, watapanga vile vipande vya toleo+ pamoja na kichwa na mafuta* juu ya kuni zenye kuwa kwenye moto wa mazabahu. 9 Matumbotumbo na miguu yake itasafishwa na maji, na kuhani atachoma vitu hivyo vyote ili vitoe moshi juu ya mazabahu vikiwa toleo la kuteketezwa, toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto lenye harufu ya kumupendeza* Yehova.+

10 “‘Kama munyama mwenye anatoa kwa ajili ya toleo la kuteketezwa anatoka katika kundi,+ kati ya wana-kondoo dume ao mbuzi, anapaswa kutoa dume mwenye hana kasoro.+ 11 Atachinjwa kwenye upande wa kaskazini wa mazabahu mbele ya Yehova, na wana wa Haruni, makuhani, watanyunyiza* damu yake kwenye pande zote za mazabahu.+ 12 Atamukata vipande-vipande, na kuhani atapanga vipande vyake pamoja na kichwa chake na mafuta yake* juu ya kuni zenye kuwa kwenye moto wa mazabahu. 13 Atasafisha matumbotumbo na miguu yake kwa maji, na kuhani atavileta vyote na kuvichoma ili vitoe moshi juu ya mazabahu. Ni toleo la kuteketezwa, toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto lenye harufu ya kumupendeza* Yehova.

14 “‘Lakini, kama anatoa ndege kuwa toleo la kuteketezwa kwa ajili ya Yehova, atatoa toleo lake kutoka kati ya njiwa-tetere ao njiwa wadogo.+ 15 Kuhani atamutoa juu ya mazabahu na atamuvunja shingo na kuacha kichwa kikininginia na atamuchoma ili atoe moshi kwenye mazabahu, lakini damu yake itamwangwa pembeni ya mazabahu. 16 Atatosha kifuko cha chakula chenye kuwa katika koo yake pamoja na manyoya yake na kutupa vitu hivyo karibu na mazabahu, upande wa mashariki, mahali pa kuweka majivu.*+ 17 Atamupasua kwenye mabawa yake bila kumukata vipande mbili. Kisha kuhani atamuchoma ili atoe moshi kwenye mazabahu juu ya kuni zenye kuwa juu ya moto. Ni toleo la kuteketezwa, toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto lenye harufu ya kumupendeza* Yehova.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine