Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Wanyama safi na wanyama wenye hawako safi (1-47)

Mambo ya Walawi 11:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:4-6; Eze 4:14

Mambo ya Walawi 11:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Mambo ya Walawi 11:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:7, 8

Mambo ya Walawi 11:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 30:26

Mambo ya Walawi 11:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Mambo ya Walawi 11:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 65:4; 66:3, 17

Mambo ya Walawi 11:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:14

Mambo ya Walawi 11:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Pezi ni kiungo cha samaki chenye kinamusaidia kuogelea.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:9, 10

Mambo ya Walawi 11:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Pezi ni kiungo cha samaki chenye kinamusaidia kuogelea.

Mambo ya Walawi 11:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:3

Mambo ya Walawi 11:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Pezi ni kiungo cha samaki chenye kinamusaidia kuogelea.

Mambo ya Walawi 11:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 39:27, 30
  • +Kum 14:12-19

Mambo ya Walawi 11:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Kila kidudu.”

Mambo ya Walawi 11:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 3:4; Mk 1:6

Mambo ya Walawi 11:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 14:46, 47; 15:8; 17:15; 22:4-6

Mambo ya Walawi 11:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 14:2, 8; 15:2, 5; Hes 19:10

Mambo ya Walawi 11:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:7, 8

Mambo ya Walawi 11:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 17:15, 16
  • +Law. 5:2

Mambo ya Walawi 11:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 66:17

Mambo ya Walawi 11:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kigeu-geu.”

Mambo ya Walawi 11:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:19
  • +Law. 11:24; 22:4, 5

Mambo ya Walawi 11:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 15:12

Mambo ya Walawi 11:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:23, 24; Hes 19:11, 16

Mambo ya Walawi 11:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 17:15; 22:3, 8; Kum 14:21; Eze 4:14; 44:31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2005, uku. 27

Mambo ya Walawi 11:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:21

Mambo ya Walawi 11:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:3

Mambo ya Walawi 11:43

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Musifanye nafsi zenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:25

Mambo ya Walawi 11:44

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuchafua nafsi zenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:2
  • +Kut 19:6; Law. 19:2; Kum 14:2; 1 Tes. 4:7
  • +1 Pe. 1:15, 16; Ufu 4:8

Mambo ya Walawi 11:45

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:7; 29:46; Ho 11:1
  • +Kut 22:31; Hes 15:40; Kum 7:6
  • +Law. 20:7, 26; Yosh. 24:19; 1 Sa. 2:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 23

Mambo ya Walawi 11:46

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yenye uzima yenye.”

  • *

    Ao “nafsi yenye.”

Mambo ya Walawi 11:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:25; Eze 44:23

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 11:2Kum 14:4-6; Eze 4:14
Mambo ya walawi 11:4Kum 14:7, 8
Mambo ya walawi 11:5Mez. 30:26
Mambo ya walawi 11:7Isa 65:4; 66:3, 17
Mambo ya walawi 11:8Mdo 10:14
Mambo ya walawi 11:9Kum 14:9, 10
Mambo ya walawi 11:11Kum 14:3
Mambo ya walawi 11:13Yob 39:27, 30
Mambo ya walawi 11:13Kum 14:12-19
Mambo ya walawi 11:22Mt 3:4; Mk 1:6
Mambo ya walawi 11:24Law. 14:46, 47; 15:8; 17:15; 22:4-6
Mambo ya walawi 11:25Law. 14:2, 8; 15:2, 5; Hes 19:10
Mambo ya walawi 11:26Kum 14:7, 8
Mambo ya walawi 11:28Law. 17:15, 16
Mambo ya walawi 11:28Law. 5:2
Mambo ya walawi 11:29Isa 66:17
Mambo ya walawi 11:31Kum 14:19
Mambo ya walawi 11:31Law. 11:24; 22:4, 5
Mambo ya walawi 11:33Law. 15:12
Mambo ya walawi 11:39Law. 11:23, 24; Hes 19:11, 16
Mambo ya walawi 11:40Law. 17:15; 22:3, 8; Kum 14:21; Eze 4:14; 44:31
Mambo ya walawi 11:41Law. 11:21
Mambo ya walawi 11:42Kum 14:3
Mambo ya walawi 11:43Law. 20:25
Mambo ya walawi 11:44Kut 20:2
Mambo ya walawi 11:44Kut 19:6; Law. 19:2; Kum 14:2; 1 Tes. 4:7
Mambo ya walawi 11:441 Pe. 1:15, 16; Ufu 4:8
Mambo ya walawi 11:45Kut 6:7; 29:46; Ho 11:1
Mambo ya walawi 11:45Kut 22:31; Hes 15:40; Kum 7:6
Mambo ya walawi 11:45Law. 20:7, 26; Yosh. 24:19; 1 Sa. 2:2
Mambo ya walawi 11:47Law. 20:25; Eze 44:23
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 11:1-47

Mambo ya Walawi

11 Kisha Yehova akaambia Musa na Haruni: 2 “Ambia Waisraeli, ‘Hivi ndivyo viumbe vya dunia vyenye munaweza kula:+ 3 Kila munyama mwenye kwato* yenye kupasuka katikati na mwenye mupasuko kamili katika kwato zake na mwenye anacheua anaweza kukuliwa.

4 “‘Lakini hamupaswe kula wanyama hawa wenye wanacheua ao wenye kwato yenye kupasuka katikati: ngamia kwa sababu anacheua lakini hana kwato* yenye kupasuka katikati. Yeye haiko safi kwenu.+ 5 Pia wibari,+ kwa sababu anacheua lakini kwato* yake haipasuke katikati. Yeye haiko safi kwenu. 6 Pia sungura, kwa sababu anacheua lakini kwato* yake haipasuke katikati. Yeye haiko safi kwenu. 7 Pia nguruwe,+ kwa sababu iko* na kwato* yenye kupasuka katikati na mupasuko kamili katika kwato lakini hacheue. Yeye haiko safi kwenu. 8 Hamupaswe kula sehemu yoyote ya nyama yao wala kugusa mizoga yao. Hao hawako safi kwenu.+

9 “‘Hawa ndio munaweza kula katikati ya kila kitu chenye kuwa ndani ya maji: Kiumbe chochote chenye kuwa ndani ya maji chenye kuwa na mapezi* na magamba, ikuwe ndani ya bahari ao ndani ya mito, hicho munaweza kula.+ 10 Lakini kitu chochote ndani ya bahari na ndani ya mito chenye hakina mapezi* na magamba, kati ya viumbe vyote vyenye kupatikana kwa wingi na kila kiumbe kingine chenye uzima chenye kuwa ndani ya maji, ni chukizo kwenu. 11 Ndiyo, vitakuwa vyenye kuchukiza sana kwenu, na hamupaswe kula sehemu yoyote ya nyama yavyo,+ na munapaswa kuchukia sana mizoga yavyo. 12 Kila kitu ndani ya maji chenye hakina mapezi* na magamba ni chukizo kwenu.

13 “‘Hivi ndivyo viumbe vyenye kuruka vyenye munapaswa kuchukia sana; havipaswe kukuliwa, kwa sababu ni chukizo: tai,+ furukombe, tumbusi mweusi,+ 14 mwewe mwekundu na kila aina ya mwewe mweusi, 15 kila aina ya kunguru, 16 mbuni, bundi, shakwe, kila aina ya kipanga, 17 bundi mudogo, munandi, bundi mwenye masikio ya murefu, 18 bata-maji, mwari, tumbusi, 19 korongo, kila aina ya kulastara, hudihudi, na popo. 20 Kila kiumbe chenye mabawa* chenye kupatikana kwa wingi na chenye kutambaa kwa miguu yote ine (4) ni chukizo kwenu.

21 “‘Kati ya viumbe vyenye kupatikana kwa wingi vyenye vinatambaa kwa miguu yote ine (4), munaweza kula tu vile vyenye miguu mbili yenye kuunganishwa yenye ni mirefu kuliko miguu yao ingine ili kuruka juu ya udongo. 22 Kati ya hivyo munaweza kula: kila aina ya nzige wenye kuhama-hama, nzige wengine wenye kukuliwa,+ senene, na panzi. 23 Viumbe vingine vyote vyenye mabawa vyenye kupatikana kwa wingi na vyenye kuwa na miguu ine (4) ni chukizo kwenu. 24 Kupitia viumbe hivyo mutajichafua. Kila mutu mwenye anagusa mizoga ya viumbe hivyo hatakuwa safi mupaka mangaribi.+ 25 Kila mutu mwenye anabeba mizoga ya viumbe hivyo anapaswa kufua nguo zake;+ hatakuwa safi mupaka mangaribi.

26 “‘Kila munyama mwenye kwato* yenye kupasuka katikati lakini mwenye hana mupasuko kamili na hacheue haiko safi kwenu. Kila mutu mwenye anagusa wanyama hao hatakuwa safi.+ 27 Kila kiumbe chenye uzima chenye kutembea kwa miguu yenye makucha kati ya viumbe vyenye kutembea kwa miguu ine (4) hakiko safi kwenu. Kila mutu mwenye anagusa mizoga ya viumbe hivyo hatakuwa safi mupaka mangaribi. 28 Mutu yeyote mwenye atabeba mizoga ya viumbe hivyo anapaswa kufua nguo zake,+ na hatakuwa safi mupaka mangaribi.+ Viumbe hivyo haviko safi kwenu.

29 “‘Hivi ndivyo viumbe vya dunia vyenye kupatikana kwa wingi vyenye haviko safi kwenu: fuko, panya,+ kila aina ya mujusi, 30 mujusi kafiri, mujusi mukubwa, mujusi mwenye kuishi ndani ya maji, mujusi mwenye kuishi ndani ya muchanga, na kinyonga.* 31 Viumbe hivyo vyenye kupatikana kwa wingi haviko safi kwenu.+ Kila mutu mwenye anagusa mizoga yavyo hatakuwa safi mupaka mangaribi.+

32 “‘Sasa kila kitu chenye viumbe hivyo vinaangukia wakati vinakufa hakitakuwa safi, ikuwe chombo cha mbao, nguo, ngozi, ao kipande cha nguo ya gunia. Kila chombo chenye kinatumiwa kinapaswa kuzamishwa ndani ya maji, na hakitakuwa safi mupaka mangaribi; kisha kitakuwa safi. 33 Kama vinaangukia ndani ya chombo cha udongo, munapaswa kukivunja-vunja, na kila kitu chenye kilikuwa ndani ya chombo hicho hakitakuwa safi.+ 34 Chakula chochote chenye kinamwangikiwa na maji yenye kutoka katika chombo hicho hakitakuwa safi, na kila kinywaji chenye kuwa ndani ya chombo hicho hakitakuwa safi. 35 Kila kitu chenye mizoga ya viumbe hivyo inaangukia hakitakuwa safi. Ikuwe jiko la mukubwa ao jiko la kidogo, linapaswa kuvunjwa-vunjwa. Vitu hivyo haviko safi, na sikuzote havitakuwa safi kwenu. 36 Ni chemchemi na tangi la kuwekea maji tu ndivyo vitaendelea kuwa safi, lakini kila mutu mwenye anagusa mizoga ya viumbe hivyo hatakuwa safi. 37 Kama mizoga ya viumbe hivyo inaanguka juu ya mbegu ya mumea yenye itapandwa, mbegu hiyo iko safi. 38 Lakini kama maji yanatiwa juu ya mbegu na kama sehemu ya mizoga ya viumbe hivyo inaanguka juu ya mbegu hiyo, mbegu hiyo haiko safi kwenu.

39 “‘Sasa kama munyama mwenye munatumia kwa ajili ya chakula anakufa, mutu yeyote mwenye anagusa muzoga wa munyama huyo hatakuwa safi mupaka mangaribi.+ 40 Kila mutu mwenye anakula sehemu yoyote ya muzoga wa munyama huyo anapaswa kufua nguo zake, na hatakuwa safi mupaka mangaribi.+ Kila mutu mwenye anabeba muzoga wa munyama huyo anapaswa kufua nguo zake, na hatakuwa safi mupaka mangaribi. 41 Kila kiumbe chenye kupatikana kwa wingi ni chukizo.+ Hakipaswe kukuliwa. 42 Hamupaswe kula kila kiumbe chenye kutambaa kwa tumbo, kila kiumbe chenye kutembea kwa miguu yote ine (4), ao viumbe vyote vyenye kupatikana kwa wingi vyenye viko na miguu mingi, kwa sababu viumbe hivyo ni chukizo.+ 43 Musijifanye* kuwa chukizo kupitia kila kiumbe chenye kupatikana kwa wingi, na musijichafue na kuwa watu wenye hawako safi kutokana na viumbe hivyo.+ 44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu,+ na munapaswa kujitakasa na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mutakatifu.+ Kwa hiyo hamupaswe kujichafua* kupitia kila kiumbe chenye kupatikana kwa wingi chenye kutembea juu ya dunia. 45 Kwa maana mimi ni Yehova, mwenye kuwaongoza kutoka katika inchi ya Misri ili nijionyeshe kuwa Mungu wenu,+ na munapaswa kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mutakatifu.+

46 “‘Hii ni sheria kuhusu wanyama, viumbe vyenye kuruka, kila kiumbe chenye uzima chenye* kutambaa ndani ya maji, na kuhusu kila kiumbe chenye* kupatikana kwa wingi juu ya dunia, 47 ili kufanya tofauti kati ya kitu chenye hakiko safi na kitu chenye kiko safi na kati ya viumbe vyenye uzima vyenye vinaweza kukuliwa na vyenye haviwezi kukuliwa.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine