Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli—Yaliyomo

      • Daudi awekwa kuwa mfalme wa nchi yote ya Israeli (1-5)

      • Yerusalemu latekwa (6-16)

        • Sayuni, Jiji la Daudi (7)

      • Daudi awashinda Wafilisti (17-25)

2 Samweli 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Tuna uhusiano wa damu nawe.”

Marejeo

  • +2Sa 2:1, 11; 1Nya 12:23
  • +1Nya 11:1-3

2 Samweli 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uliyekuwa ukiwatoa nje na kuwaingiza ndani Waisraeli.”

Marejeo

  • +1Sa 18:13; 25:28
  • +Mwa 49:10; 1Sa 16:1; 25:30; 2Sa 6:21; 7:8; 1Nya 28:4; Zb 78:71

2 Samweli 5:3

Marejeo

  • +2Fa 11:17
  • +1Sa 16:13; 2Sa 2:4; Mdo 13:22

2 Samweli 5:4

Marejeo

  • +1Nya 29:26, 27

2 Samweli 5:5

Marejeo

  • +Mwa 14:18

2 Samweli 5:6

Marejeo

  • +Kut 23:23; Yos 15:63; Amu 1:8, 21
  • +1Nya 11:4-6

2 Samweli 5:7

Marejeo

  • +1Fa 2:10; Ne 12:37

2 Samweli 5:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaoichukia nafsi ya Daudi.”

2 Samweli 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “naye akaiita.”

  • *

    Au “Milo.” Neno la Kiebrania linalomaanisha “jaza.”

Marejeo

  • +1Fa 9:15, 24; 11:27; 2Nya 32:5
  • +1Nya 11:7-9

2 Samweli 5:10

Marejeo

  • +1Sa 16:13; 2Sa 3:1
  • +1Sa 17:45

2 Samweli 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la mfalme.”

Marejeo

  • +1Fa 5:1, 8
  • +2Nya 2:3
  • +2Sa 7:2; 1Nya 14:1, 2

2 Samweli 5:12

Marejeo

  • +2Sa 7:16; Zb 41:11; 89:21
  • +Zb 89:27
  • +1Fa 10:9; 2Nya 2:11

2 Samweli 5:13

Marejeo

  • +2Sa 15:16
  • +1Nya 3:5-9; 14:3-7

2 Samweli 5:14

Marejeo

  • +Lu 3:23, 31
  • +2Sa 12:24

2 Samweli 5:17

Marejeo

  • +2Sa 5:3
  • +Zb 2:2
  • +1Sa 22:1, 5; 24:22; 2Sa 23:14; 1Nya 14:8

2 Samweli 5:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nchi Tambarare ya Chini ya.”

Marejeo

  • +Yos 15:8, 12; 1Nya 11:15; 14:9

2 Samweli 5:19

Marejeo

  • +Hes 27:21
  • +1Nya 14:10-12

2 Samweli 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Bwana Anayepasua na Kupita.”

Marejeo

  • +2Sa 22:41
  • +Isa 28:21

2 Samweli 5:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nchi Tambarare ya Chini ya.”

Marejeo

  • +Yos 15:8, 12; 1Nya 11:15; 14:13-17

2 Samweli 5:25

Marejeo

  • +Law 26:7
  • +Yos 18:21, 24
  • +Yos 16:10

Jumla

2 Sam. 5:12Sa 2:1, 11; 1Nya 12:23
2 Sam. 5:11Nya 11:1-3
2 Sam. 5:21Sa 18:13; 25:28
2 Sam. 5:2Mwa 49:10; 1Sa 16:1; 25:30; 2Sa 6:21; 7:8; 1Nya 28:4; Zb 78:71
2 Sam. 5:32Fa 11:17
2 Sam. 5:31Sa 16:13; 2Sa 2:4; Mdo 13:22
2 Sam. 5:41Nya 29:26, 27
2 Sam. 5:5Mwa 14:18
2 Sam. 5:6Kut 23:23; Yos 15:63; Amu 1:8, 21
2 Sam. 5:61Nya 11:4-6
2 Sam. 5:71Fa 2:10; Ne 12:37
2 Sam. 5:91Fa 9:15, 24; 11:27; 2Nya 32:5
2 Sam. 5:91Nya 11:7-9
2 Sam. 5:101Sa 16:13; 2Sa 3:1
2 Sam. 5:101Sa 17:45
2 Sam. 5:111Fa 5:1, 8
2 Sam. 5:112Nya 2:3
2 Sam. 5:112Sa 7:2; 1Nya 14:1, 2
2 Sam. 5:122Sa 7:16; Zb 41:11; 89:21
2 Sam. 5:12Zb 89:27
2 Sam. 5:121Fa 10:9; 2Nya 2:11
2 Sam. 5:132Sa 15:16
2 Sam. 5:131Nya 3:5-9; 14:3-7
2 Sam. 5:14Lu 3:23, 31
2 Sam. 5:142Sa 12:24
2 Sam. 5:172Sa 5:3
2 Sam. 5:17Zb 2:2
2 Sam. 5:171Sa 22:1, 5; 24:22; 2Sa 23:14; 1Nya 14:8
2 Sam. 5:18Yos 15:8, 12; 1Nya 11:15; 14:9
2 Sam. 5:19Hes 27:21
2 Sam. 5:191Nya 14:10-12
2 Sam. 5:202Sa 22:41
2 Sam. 5:20Isa 28:21
2 Sam. 5:22Yos 15:8, 12; 1Nya 11:15; 14:13-17
2 Sam. 5:25Law 26:7
2 Sam. 5:25Yos 18:21, 24
2 Sam. 5:25Yos 16:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
2 Samweli 5:1-25

Kitabu cha Pili cha Samweli

5 Baada ya muda makabila yote ya Israeli yakaja kwa Daudi huko Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.*+ 2 Zamani, Sauli alipokuwa mfalme wetu, ni wewe uliyewaongoza Waisraeli vitani.*+ Na Yehova alikuambia hivi: ‘Utawachunga watu wangu Waisraeli, nawe utakuwa kiongozi wa Israeli.’”+ 3 Basi wazee wote wa Israeli wakaja kwa mfalme huko Hebroni, na Mfalme Daudi akafanya agano nao+ huko Hebroni mbele za Yehova. Kisha wakamtia mafuta Daudi awe mfalme wa Israeli.+

4 Daudi alikuwa na umri wa miaka 30 alipowekwa kuwa mfalme, naye alitawala kwa miaka 40.+ 5 Huko Hebroni alitawala Yuda kwa miaka 7 na miezi 6, na huko Yerusalemu+ alitawala Israeli yote na Yuda kwa miaka 33. 6 Mfalme na wanaume wake wakaenda Yerusalemu kuwashambulia Wayebusi+ waliokuwa wakiishi nchini. Walimdhihaki Daudi wakisema: “Hutaingia humu kamwe! Hata vipofu na vilema watakufukuza.” Hivi ndivyo walivyofikiri: ‘Daudi hataingia humu kamwe.’+ 7 Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, ambayo sasa ni Jiji la Daudi.+ 8 Basi siku hiyo Daudi akasema: “Wale wanaowashambulia Wayebusi wanapaswa kupitia kwenye mfereji wa maji ili wawaue ‘vilema na vipofu,’ wanaomchukia Daudi!”* Ndiyo sababu watu wanasema: “Vipofu na vilema hawataingia nyumbani.” 9 Kisha Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo, nayo ikaitwa* Jiji la Daudi; na Daudi akaanza kujenga pande zote kuanzia kwenye Kilima*+ kuja ndani.+ 10 Kwa hiyo Daudi akawa mkuu zaidi na zaidi,+ na Yehova Mungu wa majeshi alikuwa pamoja naye.+

11 Mfalme Hiramu+ wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, na kupeleka mbao za mierezi,+ maseremala, na waashi wa kujenga kuta, nao wakaanza kumjengea Daudi nyumba.*+ 12 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemwimarisha kabisa kuwa mfalme wa Israeli+ na kwamba alikuwa ameukweza ufalme wake+ kwa ajili ya watu Wake Waisraeli.+

13 Baada ya kutoka Hebroni, Daudi alichukua masuria+ na wake zaidi huko Yerusalemu, nao wakamzalia Daudi wana na mabinti zaidi.+ 14 Haya ndiyo majina ya watoto wake waliozaliwa Yerusalemu: Shamua, Shobabu, Nathani,+ Sulemani,+ 15 Ibhari, Elishua, Nefegi, Yafia, 16 Elishama, Eliada, na Elifeleti.

17 Wafilisti waliposikia kwamba Daudi alikuwa ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Waisraeli wote,+ Wafilisti wote wakapanda kuja kumtafuta Daudi.+ Daudi aliposikia jambo hilo, akashuka kuingia ndani ya ngome.+ 18 Kisha Wafilisti wakaja na kuenea katika Bonde la* Refaimu.+ 19 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nipande kwenda kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, nami hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+ 20 Basi Daudi akaenda Baal-perasimu na kuwaua huko. Ndipo akasema: “Yehova amewapasua na kuwapita+ maadui wangu mbele yangu, kama ufa uliopasuliwa na maji.” Ndiyo sababu alipaita mahali hapo Baal-perasimu.*+ 21 Wafilisti wakaacha sanamu zao hapo, na Daudi na wanaume wake wakazichukua na kwenda nazo.

22 Baadaye Wafilisti wakaja tena na kuenea katika Bonde la* Refaimu.+ 23 Daudi akamwomba Yehova ushauri, lakini Akasema: “Usipande moja kwa moja. Badala yake, zunguka nyuma yao, uwashambulie mbele ya vichaka vya mibaka. 24 Na utakaposikia sauti ya watu wakipiga mwendo juu ya vichaka vya mibaka, tenda bila kusita, kwa sababu mimi Yehova nitakuwa nimetangulia mbele yako kuliua jeshi la Wafilisti.” 25 Basi Daudi akafanya kama Yehova alivyomwamuru, akawaua Wafilisti+ kuanzia Geba+ mpaka Gezeri.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki