Zaburi
Ya Daudi.
א [Aleph]
25 Ninageukia kwako,* Ee Yehova.
ב [Beth]
Usiruhusu maadui wangu washangilie juu ya magumu yangu.+
ג [Gimel]
3 Hakika hakuna mutu yeyote mwenye kukutumainia mwenye atapatishwa haya,+
Lakini haya inangojea wale wenye kutenda kwa udanganyifu bila sababu.+
ד [Daleth]
ה [He]
5 Unitembeze katika kweli yako na unifundishe,+
Kwa maana wewe ni Mungu wangu wa wokovu.
ו [Waw]
Ninakutumainia muchana wote.
ז [Zayin]
ח [Heth]
7 Usikumbuke zambi zenye nilifanya wakati nilikuwa kijana na makosa yangu.
ט [Teth]
8 Yehova ni mwema na munyoofu.+
Ndiyo sababu anafundisha watenda-zambi namna ya kuishi.+
י [Yod]
כ [Kaph]
10 Njia za Yehova ni upendo mushikamanifu na uaminifu
Kwa ajili ya wale wenye kushika agano lake+ na vikumbusho vyake.+
ל [Lamed]
11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+
Unisamehe kosa langu, hata kama ni kubwa.
מ [Mem]
12 Ni nani mwenye kumuogopa Yehova?+
Atamufundisha kuhusu njia yenye anapaswa kuchagua.+
נ [Nun]
ס [Samekh]
ע [Ayin]
פ [Pe]
16 Unielekezee uso wako na unionyeshe wema,
Kwa maana niko peke yangu na sina uwezo.
צ [Tsade]
17 Taabu za moyo wangu zimeongezeka;+
Unitoshe katika uchungu wangu.
ר [Resh]
19 Angalia namna maadui wangu ni wengi
Na namna wananichukia sana.
ש [Shin]
20 Linda uzima wangu* na uniokoe.+
Usiruhusu nipatishwe haya, kwa maana nimekukimbilia wewe.
ת [Taw]
22 Ee Mungu, okoa* Israeli katika taabu zake zote.