Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • “Acha nimusifu Yehova”

        • Mungu anatia zambi zetu mbali sana (12)

        • Mungu anaonyesha rehema kama baba (13)

        • Mungu anakumbuka kwamba tuko mavumbi (14)

        • Kiti cha ufalme cha Yehova na ufalme wake (19)

        • Malaika wanashika neno la Mungu (20)

Zaburi 103:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu imusifu.”

Zaburi 103:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu imusifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 8:2; Zab 105:5

Zaburi 103:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 12:13; Isa 43:25
  • +Kut 15:26; Zab 41:3; 147:3; Isa 33:24; Yak 5:15; Ufu 21:4

Zaburi 103:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kaburi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 56:13
  • +Mik 7:18

Zaburi 103:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 23:5; 65:4
  • +Zab 51:12; Isa 40:31

Zaburi 103:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 9:8
  • +Zab 12:5; Mez. 22:22, 23; Yak 5:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2004, uku. 15

Zaburi 103:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:4; Hes 12:8
  • +Zab 147:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2004, uku. 15

Zaburi 103:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye neema.”

  • *

    Ao “fazili nyingi zenye upendo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 55:7; Yak 5:11
  • +Kut 34:6; Yoe 2:13; Yon 4:2

Zaburi 103:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 30:5
  • +Isa 57:16

Zaburi 103:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:31
  • +Ezr 9:13; Zab 130:3; Isa 55:7

Zaburi 103:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 103:17; Isa 55:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    8/2016, uku. 5

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 13

Zaburi 103:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 16:21, 22; Isa 43:25; Yer 31:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    8/2016, uku. 5

    Mkaribie Yehova, uku. 262-263

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 13

    1/7/2003, uku. 17

Zaburi 103:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:38; Isa 49:15; Mal 3:17; Yak 5:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    8/2016, uku. 5

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 13

Zaburi 103:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:39
  • +Mwa 2:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 261

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 13

    Amuka!,

    2/2008, uku. 10

Zaburi 103:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 90:5, 6; 1 Pe. 1:24
  • +Yob 14:1, 2

Zaburi 103:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na mahali pake hapalijue tena.”

Zaburi 103:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tangu milele mupaka milele.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 1:50
  • +Kut 20:6

Zaburi 103:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5; Kum 7:9; Zab 25:10

Zaburi 103:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 20:6; Isa 66:1
  • +Zab 47:2; 145:13; Da. 4:25

Zaburi 103:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye uwezo katika nguvu.”

  • *

    Tnn., “kwa kusikia sauti ya (mulio wa) neno lake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 7:10
  • +2 Fal. 19:35; Lu 1:19

Zaburi 103:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:19; Zab 148:2; Lu 2:13, 14
  • +Mt 13:41; Ebr 1:7

Zaburi 103:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Mahali pote pa mamlaka yake makubwa zaidi.”

Maandiko ingine

Zb. 103:2Kum 8:2; Zab 105:5
Zb. 103:32 Sa. 12:13; Isa 43:25
Zb. 103:3Kut 15:26; Zab 41:3; 147:3; Isa 33:24; Yak 5:15; Ufu 21:4
Zb. 103:4Zab 56:13
Zb. 103:4Mik 7:18
Zb. 103:5Zab 23:5; 65:4
Zb. 103:5Zab 51:12; Isa 40:31
Zb. 103:6Zab 9:8
Zb. 103:6Zab 12:5; Mez. 22:22, 23; Yak 5:4
Zb. 103:7Kut 24:4; Hes 12:8
Zb. 103:7Zab 147:19
Zb. 103:8Isa 55:7; Yak 5:11
Zb. 103:8Kut 34:6; Yoe 2:13; Yon 4:2
Zb. 103:9Zab 30:5
Zb. 103:9Isa 57:16
Zb. 103:10Ne 9:31
Zb. 103:10Ezr 9:13; Zab 130:3; Isa 55:7
Zb. 103:11Zab 103:17; Isa 55:9
Zb. 103:12Law. 16:21, 22; Isa 43:25; Yer 31:34
Zb. 103:13Zab 78:38; Isa 49:15; Mal 3:17; Yak 5:15
Zb. 103:14Zab 78:39
Zb. 103:14Mwa 2:7
Zb. 103:15Zab 90:5, 6; 1 Pe. 1:24
Zb. 103:15Yob 14:1, 2
Zb. 103:17Lu 1:50
Zb. 103:17Kut 20:6
Zb. 103:18Kut 19:5; Kum 7:9; Zab 25:10
Zb. 103:192Nya 20:6; Isa 66:1
Zb. 103:19Zab 47:2; 145:13; Da. 4:25
Zb. 103:20Da. 7:10
Zb. 103:202 Fal. 19:35; Lu 1:19
Zb. 103:211 Fal. 22:19; Zab 148:2; Lu 2:13, 14
Zb. 103:21Mt 13:41; Ebr 1:7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 103:1-22

Zaburi

Ya Daudi.

103 Acha nimusifu* Yehova;

Acha kila kitu chenye kuwa ndani yangu kisifu jina lake takatifu.

 2 Acha nimusifu* Yehova;

Nisisahau hata kidogo mambo yote yenye amefanya.+

 3 Anasamehe makosa yako yote+

Na anaponyesha magonjwa yako yote;+

 4 Anaokoa uzima wako kutoka katika shimo*+

Na anakuvalisha taji la upendo wake mushikamanifu na rehema.+

 5 Anakushibisha kwa vitu vya muzuri+ maisha yako yote,

Na hivyo ujana wako unafanywa upya kama ule wa tai.+

 6 Yehova anatenda kwa uadilifu*+ na haki

Kwa ajili ya wote wenye kukandamizwa.+

 7 Alimujulisha Musa njia zake,+

Na wana wa Israeli matendo yake.+

 8 Yehova ni mwenye rehema na huruma,*+

Hakasirike haraka na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu.*+

 9 Hatatafuta makosa sikuzote,+

Wala hataendelea kuwa na kinyongo milele.+

10 Hajatutendea kulingana na zambi zetu,+

Wala hajatulipa malipo yenye makosa yetu yanastahili.+

11 Kwa maana kama vile mbingu ziko juu kuliko dunia,

Ni vile upendo wake mushikamanifu uko mwingi kuelekea wale wenye kumuogopa.+

12 Kama vile mahali jua linatokea kuko mbali sana na mahali jua linashukia,

Ni vile ametia zambi zetu mbali sana na sisi.+

13 Kama vile baba anaonyesha wana wake rehema,

Ni vile Yehova ameonyesha rehema wale wenye kumuogopa.+

14 Kwa maana anajua muzuri namna tumeumbwa,+

Anakumbuka kwamba tuko mavumbi.+

15 Kuhusu mwanadamu mwenye anaweza kufa, siku zake ziko kama za majani;+

Anachanuka kama ua la shamba.+

16 Lakini wakati upepo unavuma, haliko tena,

Kama vile halijapata kuwa pale.*

17 Lakini upendo mushikamanifu wa Yehova ni wa umilele wote*

Kuelekea wale wenye kumuogopa,+

Na haki yake kuelekea watoto wa watoto wao,+

18 Kuelekea wale wenye kushika agano lake+

Na wale wenye kuwa waangalifu ili kushika maagizo yake.

19 Yehova amefanya kiti chake cha ufalme kikuwe imara kabisa mbinguni;+

Na ufalme wake unatawala juu ya kila kitu.+

20 Mumusifu Yehova, ninyi malaika wake wote,+ wenye nguvu nyingi sana,*

Wenye kushika neno lake,+ kwa kutii sauti yake.*

21 Mumusifu Yehova, majeshi yake yote,+

Watumishi wake wenye kufanya mapenzi yake.+

22 Mumusifu Yehova, kazi zake zote,

Mahali pote penye anatawala.*

Nafsi yangu yote imusifu Yehova.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine