Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Paulo na Sila katika Tesalonike (1-9)

      • Paulo na Sila katika Beroya (10-15)

      • Paulo katika Atene (16-22a)

      • Hotuba ya Paulo kwenye Areopago (22b-34)

Matendo 17:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 2:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 133

Matendo 17:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:19, 20; 13:13, 14; 14:1; 18:4
  • +Mdo 18:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 18-19

    1/12/2008, uku. 30

    Kutoa Ushahidi, uku. 134-135

    Shule ya Huduma, uku. 251-252

Matendo 17:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:7; 34:20; 69:21; 118:22; Isa 50:6; 53:3, 5
  • +Zab 16:10; Lu 24:45, 46

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 19

    1/12/2008, uku. 30

    Kutoa Ushahidi, uku. 134-135

Matendo 17:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:22, 40

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 19

    Kutoa Ushahidi, uku. 135

Matendo 17:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:45

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 19

    Kutoa Ushahidi,

    uku. 135-136, 139

Matendo 17:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wameleta muvurugo katika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:19-21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012,

    uku. 19-20

    Kutoa Ushahidi, uku. 135-136

    “Kila Andiko,” uku. 200, 340-341

Matendo 17:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 23:1, 2; Yoh 19:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 20

    Kutoa Ushahidi, uku. 135-136

    “Kila Andiko,” uku. 231

Matendo 17:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 200

Matendo 17:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 20

    Kutoa Ushahidi, uku. 136

Matendo 17:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 136-137

Matendo 17:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2011, uku. 25

    15/4/2007, uku. 14-15

    Kutoa Ushahidi, uku. 137-138

    Amuka!,

    3/2008, uku. 8-9

    8/2007, uku. 10-11

Matendo 17:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 14:2, 19

Matendo 17:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:23

Matendo 17:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:1, 2; 1 Tes. 3:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2004, uku. 19

Matendo 17:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 140

Matendo 17:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 140-141

Matendo 17:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Mupiga-domo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 5:28, 29; 11:25; 1 Kor. 15:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 141-142

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2003, uku. 22

    1/8/2001, uku. 8

Matendo 17:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1948

Matendo 17:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wanatembelea.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    3/2011, uku. 18

Matendo 17:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “munapenda sana mambo ya dini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 17:33, 34
  • +Mdo 17:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 30

    1/9/2007, uku. 14

    Kutoa Ushahidi, uku. 142-143

    Shule ya Huduma, uku. 252

Matendo 17:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2012, uku. 18

    15/7/2010, uku. 30

    15/7/2002, uku. 32

    Amuka!,

    3/2011, uku. 18

    Kutoa Ushahidi, uku. 143

Matendo 17:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 146:6
  • +1 Fal. 8:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 30

    1/7/2008, uku. 10

    Kutoa Ushahidi, uku. 143-144

Matendo 17:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 50:12
  • +Isa 42:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 30

    1/7/2008, uku. 10

    Kutoa Ushahidi, uku. 144

Matendo 17:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 5:2
  • +Mwa 1:28
  • +Kum 2:5, 19; 32:8; Zab 74:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 30

    1/7/2008, uku. 10

    Kutoa Ushahidi, uku. 144-145

Matendo 17:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:29; Zab 145:18; Rom. 1:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 30

    1/7/2008, uku. 10

    Kutoa Ushahidi, uku. 145

Matendo 17:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uzao.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    3/2011, uku. 18

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 30-31

    15/6/2004, uku. 14

    Kutoa Ushahidi, uku. 145-146

Matendo 17:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uzao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:27
  • +Kum 5:8; Isa 37:19; 40:18-20; 46:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 30-31

    15/1/2004, uku. 32

    Kutoa Ushahidi, uku. 146

Matendo 17:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 4:17, 18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 31

    Kutoa Ushahidi, uku. 146

Matendo 17:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 96:13; 98:9; Yoh 5:22; Mdo 10:42
  • +Yoh 11:25; Mdo 2:24; 13:32, 33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 31

    15/1/2008, uku. 20

    Kutoa Ushahidi, uku. 147

Matendo 17:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 1:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 31

    Kutoa Ushahidi, uku. 147

Matendo 17:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 31

Maandiko ingine

Mdo. 17:11 Tes. 2:1
Mdo. 17:2Mdo 9:19, 20; 13:13, 14; 14:1; 18:4
Mdo. 17:2Mdo 18:19
Mdo. 17:3Zab 22:7; 34:20; 69:21; 118:22; Isa 50:6; 53:3, 5
Mdo. 17:3Zab 16:10; Lu 24:45, 46
Mdo. 17:4Mdo 15:22, 40
Mdo. 17:5Mdo 13:45
Mdo. 17:6Mdo 16:19-21
Mdo. 17:7Lu 23:1, 2; Yoh 19:12
Mdo. 17:13Mdo 14:2, 19
Mdo. 17:14Mt 10:23
Mdo. 17:15Mdo 16:1, 2; 1 Tes. 3:2
Mdo. 17:18Yoh 5:28, 29; 11:25; 1 Kor. 15:12
Mdo. 17:22Mdo 17:33, 34
Mdo. 17:22Mdo 17:16
Mdo. 17:24Zab 146:6
Mdo. 17:241 Fal. 8:27
Mdo. 17:25Zab 50:12
Mdo. 17:25Isa 42:5
Mdo. 17:26Mwa 5:2
Mdo. 17:26Mwa 1:28
Mdo. 17:26Kum 2:5, 19; 32:8; Zab 74:17
Mdo. 17:27Kum 4:29; Zab 145:18; Rom. 1:20
Mdo. 17:29Mwa 1:27
Mdo. 17:29Kum 5:8; Isa 37:19; 40:18-20; 46:5
Mdo. 17:30Efe 4:17, 18
Mdo. 17:31Zab 96:13; 98:9; Yoh 5:22; Mdo 10:42
Mdo. 17:31Yoh 11:25; Mdo 2:24; 13:32, 33
Mdo. 17:321 Kor. 1:23
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 17:1-34

Matendo ya Mitume

17 Sasa wakasafiri kupitia Amfipoli na Apolonia na wakafika Tesalonike,+ kwenye kulikuwa sinagogi la Wayahudi. 2 Basi kulingana na desturi ya Paulo+ akaingia kwenye walikuwa, na kwa muda wa sabato tatu (3) akafikiri nao kwa kutumia Maandiko,+ 3 alikuwa anafasiria na kuhakikisha kwa kutumia mambo yenye kuandikwa kwamba ilikuwa lazima Kristo ateseke+ na afufuliwe kutoka kwa wafu,+ akisema: “Huyu ndiye Kristo, Yesu huyu mwenye ninawatangazia ninyi.” 4 Kwa sababu hiyo, wamoja kati yao wakakuwa waamini na wakajiunga na Paulo na Sila,+ na ni vile Wagiriki wengi sana wenye kumuabudu Mungu walifanya, pamoja na wanamuke fulani wenye vyeo.

5 Lakini Wayahudi wakakuwa na wivu,+ wakakusanya wanaume fulani waovu wenye walikuwa wanawayawaya katika soko, na wakafanyiza kikundi na kutokeza fujo katika muji. Wakashambulia nyumba ya Yasoni na walikuwa wanamutafuta Paulo na Sila waletwe inje kwenye kile kikundi. 6 Wakati waliwakosa, wakamukokota Yasoni na wamoja kati ya ndugu mupaka kwa watawala wa muji, wakisema kwa sauti kubwa: “Watu hawa wenye wamepindua* dunia yenye kuikaliwa na watu wako hapa pia,+ 7 na Yasoni amewakaribisha kama wageni wake. Watu hao wote wanatenda kinyume na maagizo ya Kaisari, wakisema kuko mufalme mwingine, Yesu.”+ 8 Wakati watu wengi na watawala wa muji walisikia mambo hayo, wakashituka; 9 na kisha Yasoni na wale wengine kuwapatia feza za kutosha ili wawaache huru, wakawaacha waende.

10 Mara moja wakati ilikuwa usiku, ndugu wakatuma Paulo na Sila waende Beroya. Wakati walifika, wakaingia katika sinagogi la Wayahudi. 11 Sasa watu hawa walikuwa wasikivu kuliko wale wa Tesalonike, kwa maana walikubali neno kwa hamu kubwa ya akili, na walikuwa wanachunguza Maandiko kwa uangalifu kila siku ili kuona kama mambo hayo yalikuwa vile. 12 Kwa hiyo, wengi wao wakakuwa waamini, na vilevile wanamuke fulani Wagiriki wenye kuheshimiwa, na pia wanaume fulani. 13 Lakini wakati Wayahudi wa Tesalonike walisikia kwamba Paulo alikuwa anatangaza pia neno la Mungu kule Beroya, wakaenda kule ili kuchochea na kutia watu wengi katika musukosuko.+ 14 Mara moja ndugu wakamusindikiza Paulo mupaka kwenye bahari,+ lakini Sila na Timoteo wakabakia kule. 15 Hata hivyo, wale wenye walimusindikiza Paulo wakaenda naye mupaka Atene, na wakarudia kisha kupokea maagizo kwamba Sila na Timoteo+ wamufuate Paulo mbio kadiri inawezekana.

16 Sasa wakati Paulo alikuwa anawangojea kule Atene, roho yake ikahuzunika ndani yake wakati aliona kama muji huo ulikuwa umejaa sanamu. 17 Basi akaanza kufikiri katika sinagogi pamoja na Wayahudi na watu wengine wenye walikuwa wanamuabudu Mungu na kila siku katika soko pamoja na watu wenye alikuwa anakuta pale. 18 Lakini wamoja kati ya Waepikurea na wanafilozofia Wastoa wakaanza kubishana naye, na wamoja walikuwa wanasema: “Musema-mingi* huyu anataka kusema nini?” Na wengine: “Anaonekana kuwa mutangazaji wa miungu ya kigeni.” Ilikuwa vile kwa sababu alikuwa anahubiri habari njema ya Yesu na ufufuo.+ 19 Kwa hiyo wakamukamata na kumupeleka kwenye Areopago, wakisema: “Je, unaweza kutuambia ni fundisho gani hili la mupya lenye unazungumuzia? 20 Kwa maana unaleta mambo mageni katika masikio yetu, na tunataka kujua mambo hayo yanamaanisha nini.” 21 Kwa kweli, Waatene wote na wageni wenye walikuwa wanakaa* kule walitumia wakati wao wa kujifurahisha bila kufanya kitu kingine isipokuwa kuambiana ao kusikiliza jambo fulani la mupya. 22 Sasa Paulo akasimama katikati ya Areopago+ na kusema:

“Wanaume wa Atene, ninaona kwamba katika mambo yote munaonekana kuwa munaogopa sana miungu* kuliko watu wengine.+ 23 Kwa mufano, wakati nilikuwa ninapita na kuangalia kwa uangalifu vitu vyenu vya ibada, niliona hata mazabahu yenye kuandikwa, ‘Kwa Mungu Mwenye Hajulikane.’ Kwa hiyo, kile munaabudu bila kukijua, ni kile ninawatangazia ninyi. 24 Mungu mwenye alifanya ulimwengu na vitu vyote vyenye kuwa ndani, akiwa, kama vile iko,* Bwana wa mbingu na dunia,+ hakae katika mahekalu yenye yalitengenezwa kwa mikono;+ 25 wala haiko mikono ya mwanadamu ndiyo inamutumikia kama kwamba yeye iko* na lazima ya kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe anapatia watu wote uzima na pumuzi+ na vitu vyote. 26 Na kutoka kwa mutu mumoja,+ alifanya kila taifa la watu ili wakae juu ya uso wa dunia yote,+ na akaamuru nyakati zenye ziliwekwa na akaweka mipaka ya makao ya watu,+ 27 ili wamutafute Mungu, kama watapapasa-papasa wakimutafuta na kwa kweli wamupate,+ ijapokuwa, kweli, haiko mbali sana na kila mumoja wetu. 28 Kwa maana kupitia kwake tuko na uzima na tunatembea na tuko, kama vile hata wamoja kati ya watunga-mashairi wenu wenyewe wamesema, ‘Kwa maana sisi pia tuko watoto* wake.’

29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi tuko watoto* wa Mungu,+ hatupaswe kufikiri kwamba Mungu ni kama zahabu ao feza ao jiwe, kama kitu chenye kilichongwa kwa ufundi na utungaji wa mwanadamu.+ 30 Ni kweli, Mungu ameachilia nyakati hizo za kukosa kujua;+ lakini sasa anatangazia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu. 31 Kwa sababu ameweka siku yenye anakusudia kuhukumu+ kwa haki dunia yenye kuikaliwa na watu kupitia mwanaume mwenye ameweka, na ametoa uhakikisho kwa watu wote kwa kuwa amemufufua kutoka kwa wafu.”+

32 Sasa wakati walisikia juu ya ufufuo wa wafu, wamoja kati yao wakaanza kumuchekelea,+ na wengine wakasema: “Tutakusikiliza juu ya jambo hili wakati mwingine.” 33 Basi Paulo akawaacha, 34 lakini wanaume fulani wakajiunga naye na wakakuwa waamini. Kati yao kulikuwa Dionisio, mwenye alikuwa muamuzi wa tribinali ya Areopago, na mwanamuke mwenye aliitwa Damari, na wengine pamoja nao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine