Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kulithamini neno la Mungu lenye thamani

        • ‘Vijana wanaweza kuisafishaje njia yao?’ (9)

        • “Ninavipenda sana vikumbusho vyako” (24)

        • “Neno lako ni tumaini langu” (74, 81, 114)

        • “Jinsi ninavyoipenda sana sheria yako!” (97)

        • “Ufahamu mwingi kuliko walimu wangu wote” (99)

        • “Neno lako ni taa ya mguu wangu” (105)

        • ‘Kiini cha neno lako ni kweli’ (160)

        • Wanaoipenda sheria ya Mungu wana amani (165)

Zaburi 119:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaoshika utimilifu.”

Marejeo

  • +2Fa 20:3; Yak 1:25

Zaburi 119:2

Marejeo

  • +Zb 19:7
  • +2Nya 31:20, 21

Zaburi 119:3

Marejeo

  • +Isa 38:3

Zaburi 119:4

Marejeo

  • +Kum 5:33; Yer 7:23; Yak 2:10

Zaburi 119:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Laiti njia zangu zingekuwa zimeimarishwa kabisa.”

Marejeo

  • +Zb 51:10

Zaburi 119:6

Marejeo

  • +Zb 119:80

Zaburi 119:9

Marejeo

  • +Met 6:20, 22

Zaburi 119:10

Marejeo

  • +Zb 25:5

Zaburi 119:11

Marejeo

  • +Zb 112:1
  • +Zb 19:13; 37:31

Zaburi 119:14

Marejeo

  • +Yer 15:16
  • +Zb 19:8, 10; 119:72

Zaburi 119:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitajifunza.”

Marejeo

  • +Zb 119:93, 100
  • +Zb 25:10

Zaburi 119:16

Marejeo

  • +Yak 1:23-25

Zaburi 119:17

Marejeo

  • +Isa 38:20

Zaburi 119:19

Marejeo

  • +1Nya 29:15

Zaburi 119:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yangu inapondeka.”

Zaburi 119:21

Marejeo

  • +Kum 28:15

Zaburi 119:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Vingirisha mbali nami.”

Zaburi 119:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ninajifunza.”

Zaburi 119:24

Marejeo

  • +Zb 119:14, 168
  • +Kum 17:18-20; Zb 119:105; 2Ti 3:16, 17

Zaburi 119:25

Marejeo

  • +Zb 22:15
  • +Zb 119:154; 143:11

Zaburi 119:26

Marejeo

  • +Zb 86:11

Zaburi 119:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “njia.”

  • *

    Au “kujifunza.”

Marejeo

  • +Zb 145:5

Zaburi 119:29

Marejeo

  • +Zb 141:4; Met 30:8

Zaburi 119:30

Marejeo

  • +Yos 24:15

Zaburi 119:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “niaibishwe.”

Marejeo

  • +Zb 19:7
  • +Zb 25:20; 119:80

Zaburi 119:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nitakimbia katika.”

  • *

    Au labda, “huufanya moyo wangu uwe na ujasiri.”

Zaburi 119:33

Marejeo

  • +Isa 48:17; Yoh 6:45; Yak 1:5
  • +Zb 119:112

Zaburi 119:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitembeze.”

Marejeo

  • +Zb 23:3

Zaburi 119:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa faida za.”

Marejeo

  • +Lu 12:15; 1Ti 6:10; Ebr 13:5

Zaburi 119:37

Marejeo

  • +Hes 15:39; Met 4:25; 23:4, 5

Zaburi 119:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neno lako.”

  • *

    Au labda, “Ambayo hutolewa kwa wale wanaokuogopa.”

Zaburi 119:39

Marejeo

  • +Zb 19:9; 119:75

Zaburi 119:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neno lako.”

Marejeo

  • +Zb 51:1; 90:14
  • +Zb 119:76

Zaburi 119:43

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ninangojea.”

Zaburi 119:44

Marejeo

  • +Zb 119:33

Zaburi 119:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mahali penye nafasi kubwa.”

Marejeo

  • +Zb 118:5

Zaburi 119:46

Marejeo

  • +Ro 1:16

Zaburi 119:47

Marejeo

  • +Ayu 23:12; Zb 119:174; Ro 7:22

Zaburi 119:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitajifunza.”

Marejeo

  • +Zb 119:127
  • +Zb 119:23, 71

Zaburi 119:49

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kumbuka ahadi yako uliyompa.”

  • *

    Au “Ambalo ulinifanya nisubiri.”

Zaburi 119:50

Marejeo

  • +Zb 94:19; Ro 15:4

Zaburi 119:51

Marejeo

  • +Zb 119:157

Zaburi 119:52

Marejeo

  • +Hes 16:5; Kum 1:35, 36; 4:3
  • +Ro 15:4

Zaburi 119:53

Marejeo

  • +Zb 119:158; 139:21; Met 28:4

Zaburi 119:54

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Katika nyumba ninamoishi kama mgeni.”

Zaburi 119:55

Marejeo

  • +Zb 63:6; Isa 26:9

Zaburi 119:57

Marejeo

  • +Zb 16:5
  • +Kut 19:8

Zaburi 119:58

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ninautuliza (ninatafuta tabasamu ya) uso wako.”

  • *

    Au “neno lako.”

Marejeo

  • +Zb 51:17
  • +Zb 57:1

Zaburi 119:59

Marejeo

  • +Zb 119:101; Efe 5:15

Zaburi 119:60

Marejeo

  • +2Nya 29:1, 3

Zaburi 119:61

Marejeo

  • +1Sa 26:8, 9; 2Nya 29:1, 2

Zaburi 119:62

Marejeo

  • +Zb 42:8

Zaburi 119:63

Marejeo

  • +Met 13:20

Zaburi 119:64

Marejeo

  • +Zb 33:5; 104:13

Zaburi 119:66

Marejeo

  • +1Fa 3:9; Zb 94:10; Da 2:21; Flp 1:9

Zaburi 119:67

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nilikuwa nikitenda dhambi bila kukusudia.”

Marejeo

  • +Zb 119:11

Zaburi 119:68

Marejeo

  • +Zb 86:5; Mk 10:18
  • +Isa 48:17

Zaburi 119:70

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hauna hisia, ni kama mafuta.”

Marejeo

  • +Isa 6:10
  • +Zb 40:8; Ro 7:22

Zaburi 119:71

Marejeo

  • +1Ko 11:32; Ebr 12:9-11

Zaburi 119:72

Marejeo

  • +Kum 17:18, 19
  • +Zb 19:7, 10; Met 3:13-15

Zaburi 119:73

Marejeo

  • +1Nya 22:12; Ayu 32:8

Zaburi 119:74

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ninalingojea neno lako.”

Marejeo

  • +Zb 119:147

Zaburi 119:75

Marejeo

  • +Zb 119:160
  • +Kum 32:4; Ebr 12:11

Zaburi 119:76

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neno lako ulilonipa.”

Marejeo

  • +Kut 34:6; Zb 86:5

Zaburi 119:77

Marejeo

  • +Zb 51:1; 103:13; 119:116; Da 9:18; Lu 1:50
  • +Ro 7:22

Zaburi 119:78

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “kwa kusema uwongo.”

  • *

    Au “nitajifunza.”

Marejeo

  • +Zb 119:45

Zaburi 119:80

Marejeo

  • +1Fa 8:58
  • +Zb 119:5, 6; 1Yo 2:28

Zaburi 119:81

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ninalingojea neno lako.”

Marejeo

  • +Mik 7:7

Zaburi 119:82

Marejeo

  • +Zb 69:3
  • +Zb 86:17; 102:2

Zaburi 119:83

Marejeo

  • +Zb 119:61, 176

Zaburi 119:84

Marejeo

  • +Zb 7:6; Ufu 6:9, 10

Zaburi 119:86

Marejeo

  • +Zb 142:6

Zaburi 119:89

Marejeo

  • +Zb 89:2; 119:152

Zaburi 119:90

Marejeo

  • +Kum 7:9
  • +Zb 104:5; Mhu 1:4

Zaburi 119:91

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, kazi zake zote za uumbaji.

Zaburi 119:92

Marejeo

  • +Met 6:23; Mt 4:4

Zaburi 119:93

Marejeo

  • +Law 18:5; Kum 30:16; Yoh 6:63; Ro 10:5

Zaburi 119:94

Marejeo

  • +Zb 86:2; Isa 41:10
  • +Zb 119:15

Zaburi 119:96

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ni pana sana.”

Zaburi 119:97

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ninajifunza kuihusu.”

Marejeo

  • +Zb 40:8
  • +Zb 1:2

Zaburi 119:98

Marejeo

  • +Zb 19:7; Met 2:6; 10:8

Zaburi 119:99

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ninajifunza.”

Marejeo

  • +Mt 11:25; Lu 2:46, 47

Zaburi 119:101

Marejeo

  • +Zb 18:23; 119:59

Zaburi 119:103

Marejeo

  • +Zb 19:7, 10; Met 24:13, 14

Zaburi 119:104

Marejeo

  • +Zb 119:100
  • +Zb 97:10; 101:3; Met 8:13; 13:5; Ro 12:9

Zaburi 119:105

Marejeo

  • +Zb 43:3; Met 6:23; Isa 51:4; Ro 15:4; 2Ti 3:16, 17; 2Pe 1:19

Zaburi 119:107

Marejeo

  • +Zb 34:19
  • +Zb 119:88; 143:11

Zaburi 119:108

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “matoleo ya hiari ya kinywa changu.”

Marejeo

  • +Zb 50:23; Ho. 14:2; Ebr 13:15
  • +Kum 33:10; Isa 48:17

Zaburi 119:109

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yangu imo mikononi mwangu daima.”

Marejeo

  • +Zb 119:61

Zaburi 119:110

Marejeo

  • +Zb 119:87

Zaburi 119:111

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “urithi wangu wa milele.”

Marejeo

  • +Zb 19:8; 119:129; Yer 15:16

Zaburi 119:112

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nimeuelekeza moyo wangu.”

Zaburi 119:113

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “moyo uliogawanyika.”

Marejeo

  • +1Fa 18:21; Ufu 3:16
  • +Zb 40:8; 119:97

Zaburi 119:114

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ninalingojea neno lako.”

Marejeo

  • +Zb 32:7; 91:2
  • +Zb 130:5

Zaburi 119:115

Marejeo

  • +Zb 26:5

Zaburi 119:116

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kulingana na neno lako.”

  • *

    Au “liaibishwe.”

Marejeo

  • +Isa 41:10
  • +Zb 25:2; Ro 10:11

Zaburi 119:117

Marejeo

  • +Isa 41:13
  • +Yos 1:8; Zb 119:48

Zaburi 119:118

Marejeo

  • +1Nya 28:9; Zb 95:10

Zaburi 119:119

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kiebrania linalotafsiriwa “takataka” katika mstari huu linarejelea uchafu unaotoka katika fedha au dhahabu inapoyeyushwa.

Marejeo

  • +Met 2:22; 25:4, 5; Eze 22:18

Zaburi 119:123

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neno lako la.”

Marejeo

  • +Zb 69:3; 143:7
  • +Zb 119:81

Zaburi 119:124

Marejeo

  • +Zb 69:16
  • +Zb 143:10

Zaburi 119:125

Marejeo

  • +Zb 119:34; 2Ti 2:7; Yak 1:5

Zaburi 119:126

Marejeo

  • +Zb 9:19; Yer 18:23

Zaburi 119:127

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “iliyosafishwa.”

Marejeo

  • +Zb 19:9, 10; 119:72; Met 3:13, 14

Zaburi 119:128

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maagizo.”

Marejeo

  • +Zb 19:8
  • +Zb 119:104

Zaburi 119:130

Marejeo

  • +Zb 119:105; Met 6:23; 2Ko 4:6; 2Pe 1:19
  • +Zb 19:7; Met 1:1, 4; 2Ti 3:15

Zaburi 119:131

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuhemahema.”

Marejeo

  • +Zb 42:1; 1Pe 2:2

Zaburi 119:132

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Kulingana na uamuzi wako kuwaelekea.”

Marejeo

  • +1Sa 1:10, 11; 2Sa 16:11, 12; Isa 38:9, 20
  • +Ebr 6:10

Zaburi 119:133

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Zifanye hatua zangu ziwe imara.”

Marejeo

  • +Zb 19:13; Ro 6:12

Zaburi 119:134

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nikomboe.”

Zaburi 119:135

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utabasamu kunielekea.”

Marejeo

  • +Hes 6:25; Zb 4:6

Zaburi 119:136

Marejeo

  • +Eze 9:4; 2Pe 2:7, 8

Zaburi 119:137

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Ufu 16:5, 7

Zaburi 119:139

Marejeo

  • +2Fa 10:16; Zb 69:9; Yoh 2:17

Zaburi 119:140

Marejeo

  • +Zb 12:6; 119:160
  • +Zb 119:97

Zaburi 119:141

Marejeo

  • +Zb 22:6, 7

Zaburi 119:142

Marejeo

  • +Zb 36:6
  • +Kut 34:6; Zb 119:160; Yoh 17:17

Zaburi 119:144

Marejeo

  • +Zb 119:34

Zaburi 119:147

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “alfajiri.”

  • *

    Au “Ninayangojea maneno yako.”

Marejeo

  • +Zb 5:3; 88:13; Mk 1:35

Zaburi 119:148

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nijifunze.”

Marejeo

  • +Zb 63:6; Lu 6:12

Zaburi 119:149

Marejeo

  • +Zb 51:1; Isa 63:7

Zaburi 119:150

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwenendo mpotovu.”

Zaburi 119:151

Marejeo

  • +Kum 4:7; Zb 46:1; 145:18
  • +Zb 19:9; Yoh 17:17

Zaburi 119:152

Marejeo

  • +Zb 119:144; Mhu 3:14

Zaburi 119:153

Marejeo

  • +Zb 9:13

Zaburi 119:154

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Iendeshe kesi yangu.”

  • *

    Au “neno lako.”

Marejeo

  • +1Sa 24:15; Zb 43:1

Zaburi 119:155

Marejeo

  • +2Fa 17:15, 18; Zb 73:27; Met 15:29

Zaburi 119:156

Marejeo

  • +1Nya 21:13; Zb 86:15; Isa 55:7; 2Ko 1:3; Yak 5:11

Zaburi 119:157

Marejeo

  • +Zb 25:19

Zaburi 119:158

Marejeo

  • +Zb 139:21

Zaburi 119:159

Marejeo

  • +Zb 119:40, 88; Omb 3:22

Zaburi 119:160

Marejeo

  • +2Sa 7:28; Zb 12:6; Yoh 17:17

Zaburi 119:161

Marejeo

  • +Zb 119:23
  • +2Fa 22:19

Zaburi 119:162

Marejeo

  • +Yer 15:16

Zaburi 119:163

Marejeo

  • +Zb 101:7; 119:29, 104
  • +Zb 1:2

Zaburi 119:165

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hakuna cha kuwakwaza.”

Marejeo

  • +Zb 1:2, 3; Met 3:1, 2; Isa 32:17; 48:18

Zaburi 119:167

Marejeo

  • +Zb 1:2; 40:8; Ro 7:22

Zaburi 119:168

Marejeo

  • +Zb 139:3; Met 5:21; 15:11; Ebr 4:13

Zaburi 119:169

Marejeo

  • +Zb 18:6
  • +1Nya 22:12; Met 2:3, 5

Zaburi 119:170

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kulingana na neno lako.”

Zaburi 119:171

Marejeo

  • +Zb 63:5; 71:17; 145:7

Zaburi 119:172

Marejeo

  • +Zb 40:9

Zaburi 119:173

Marejeo

  • +Zb 60:5
  • +Kum 30:19; Yos 24:15, 22

Zaburi 119:174

Marejeo

  • +Zb 1:2

Zaburi 119:175

Marejeo

  • +Zb 9:13, 14; Isa 38:19

Zaburi 119:176

Marejeo

  • +Zb 95:7; Lu 15:4; 1Pe 2:25
  • +Mhu 12:13

Jumla

Zab. 119:12Fa 20:3; Yak 1:25
Zab. 119:2Zb 19:7
Zab. 119:22Nya 31:20, 21
Zab. 119:3Isa 38:3
Zab. 119:4Kum 5:33; Yer 7:23; Yak 2:10
Zab. 119:5Zb 51:10
Zab. 119:6Zb 119:80
Zab. 119:9Met 6:20, 22
Zab. 119:10Zb 25:5
Zab. 119:11Zb 112:1
Zab. 119:11Zb 19:13; 37:31
Zab. 119:14Yer 15:16
Zab. 119:14Zb 19:8, 10; 119:72
Zab. 119:15Zb 119:93, 100
Zab. 119:15Zb 25:10
Zab. 119:16Yak 1:23-25
Zab. 119:17Isa 38:20
Zab. 119:191Nya 29:15
Zab. 119:21Kum 28:15
Zab. 119:24Zb 119:14, 168
Zab. 119:24Kum 17:18-20; Zb 119:105; 2Ti 3:16, 17
Zab. 119:25Zb 22:15
Zab. 119:25Zb 119:154; 143:11
Zab. 119:26Zb 86:11
Zab. 119:27Zb 145:5
Zab. 119:29Zb 141:4; Met 30:8
Zab. 119:30Yos 24:15
Zab. 119:31Zb 19:7
Zab. 119:31Zb 25:20; 119:80
Zab. 119:33Isa 48:17; Yoh 6:45; Yak 1:5
Zab. 119:33Zb 119:112
Zab. 119:35Zb 23:3
Zab. 119:36Lu 12:15; 1Ti 6:10; Ebr 13:5
Zab. 119:37Hes 15:39; Met 4:25; 23:4, 5
Zab. 119:39Zb 19:9; 119:75
Zab. 119:41Zb 51:1; 90:14
Zab. 119:41Zb 119:76
Zab. 119:44Zb 119:33
Zab. 119:45Zb 118:5
Zab. 119:46Ro 1:16
Zab. 119:47Ayu 23:12; Zb 119:174; Ro 7:22
Zab. 119:48Zb 119:127
Zab. 119:48Zb 119:23, 71
Zab. 119:50Zb 94:19; Ro 15:4
Zab. 119:51Zb 119:157
Zab. 119:52Hes 16:5; Kum 1:35, 36; 4:3
Zab. 119:52Ro 15:4
Zab. 119:53Zb 119:158; 139:21; Met 28:4
Zab. 119:55Zb 63:6; Isa 26:9
Zab. 119:57Zb 16:5
Zab. 119:57Kut 19:8
Zab. 119:58Zb 51:17
Zab. 119:58Zb 57:1
Zab. 119:59Zb 119:101; Efe 5:15
Zab. 119:602Nya 29:1, 3
Zab. 119:611Sa 26:8, 9; 2Nya 29:1, 2
Zab. 119:62Zb 42:8
Zab. 119:63Met 13:20
Zab. 119:64Zb 33:5; 104:13
Zab. 119:661Fa 3:9; Zb 94:10; Da 2:21; Flp 1:9
Zab. 119:67Zb 119:11
Zab. 119:68Zb 86:5; Mk 10:18
Zab. 119:68Isa 48:17
Zab. 119:70Isa 6:10
Zab. 119:70Zb 40:8; Ro 7:22
Zab. 119:711Ko 11:32; Ebr 12:9-11
Zab. 119:72Kum 17:18, 19
Zab. 119:72Zb 19:7, 10; Met 3:13-15
Zab. 119:731Nya 22:12; Ayu 32:8
Zab. 119:74Zb 119:147
Zab. 119:75Zb 119:160
Zab. 119:75Kum 32:4; Ebr 12:11
Zab. 119:76Kut 34:6; Zb 86:5
Zab. 119:77Zb 51:1; 103:13; 119:116; Da 9:18; Lu 1:50
Zab. 119:77Ro 7:22
Zab. 119:78Zb 119:45
Zab. 119:801Fa 8:58
Zab. 119:80Zb 119:5, 6; 1Yo 2:28
Zab. 119:81Mik 7:7
Zab. 119:82Zb 69:3
Zab. 119:82Zb 86:17; 102:2
Zab. 119:83Zb 119:61, 176
Zab. 119:84Zb 7:6; Ufu 6:9, 10
Zab. 119:86Zb 142:6
Zab. 119:89Zb 89:2; 119:152
Zab. 119:90Kum 7:9
Zab. 119:90Zb 104:5; Mhu 1:4
Zab. 119:92Met 6:23; Mt 4:4
Zab. 119:93Law 18:5; Kum 30:16; Yoh 6:63; Ro 10:5
Zab. 119:94Zb 86:2; Isa 41:10
Zab. 119:94Zb 119:15
Zab. 119:97Zb 40:8
Zab. 119:97Zb 1:2
Zab. 119:98Zb 19:7; Met 2:6; 10:8
Zab. 119:99Mt 11:25; Lu 2:46, 47
Zab. 119:101Zb 18:23; 119:59
Zab. 119:103Zb 19:7, 10; Met 24:13, 14
Zab. 119:104Zb 119:100
Zab. 119:104Zb 97:10; 101:3; Met 8:13; 13:5; Ro 12:9
Zab. 119:105Zb 43:3; Met 6:23; Isa 51:4; Ro 15:4; 2Ti 3:16, 17; 2Pe 1:19
Zab. 119:107Zb 34:19
Zab. 119:107Zb 119:88; 143:11
Zab. 119:108Zb 50:23; Ho. 14:2; Ebr 13:15
Zab. 119:108Kum 33:10; Isa 48:17
Zab. 119:109Zb 119:61
Zab. 119:110Zb 119:87
Zab. 119:111Zb 19:8; 119:129; Yer 15:16
Zab. 119:1131Fa 18:21; Ufu 3:16
Zab. 119:113Zb 40:8; 119:97
Zab. 119:114Zb 32:7; 91:2
Zab. 119:114Zb 130:5
Zab. 119:115Zb 26:5
Zab. 119:116Isa 41:10
Zab. 119:116Zb 25:2; Ro 10:11
Zab. 119:117Isa 41:13
Zab. 119:117Yos 1:8; Zb 119:48
Zab. 119:1181Nya 28:9; Zb 95:10
Zab. 119:119Met 2:22; 25:4, 5; Eze 22:18
Zab. 119:123Zb 69:3; 143:7
Zab. 119:123Zb 119:81
Zab. 119:124Zb 69:16
Zab. 119:124Zb 143:10
Zab. 119:125Zb 119:34; 2Ti 2:7; Yak 1:5
Zab. 119:126Zb 9:19; Yer 18:23
Zab. 119:127Zb 19:9, 10; 119:72; Met 3:13, 14
Zab. 119:128Zb 19:8
Zab. 119:128Zb 119:104
Zab. 119:130Zb 119:105; Met 6:23; 2Ko 4:6; 2Pe 1:19
Zab. 119:130Zb 19:7; Met 1:1, 4; 2Ti 3:15
Zab. 119:131Zb 42:1; 1Pe 2:2
Zab. 119:1321Sa 1:10, 11; 2Sa 16:11, 12; Isa 38:9, 20
Zab. 119:132Ebr 6:10
Zab. 119:133Zb 19:13; Ro 6:12
Zab. 119:135Hes 6:25; Zb 4:6
Zab. 119:136Eze 9:4; 2Pe 2:7, 8
Zab. 119:137Kum 32:4
Zab. 119:137Ufu 16:5, 7
Zab. 119:1392Fa 10:16; Zb 69:9; Yoh 2:17
Zab. 119:140Zb 12:6; 119:160
Zab. 119:140Zb 119:97
Zab. 119:141Zb 22:6, 7
Zab. 119:142Zb 36:6
Zab. 119:142Kut 34:6; Zb 119:160; Yoh 17:17
Zab. 119:144Zb 119:34
Zab. 119:147Zb 5:3; 88:13; Mk 1:35
Zab. 119:148Zb 63:6; Lu 6:12
Zab. 119:149Zb 51:1; Isa 63:7
Zab. 119:151Kum 4:7; Zb 46:1; 145:18
Zab. 119:151Zb 19:9; Yoh 17:17
Zab. 119:152Zb 119:144; Mhu 3:14
Zab. 119:153Zb 9:13
Zab. 119:1541Sa 24:15; Zb 43:1
Zab. 119:1552Fa 17:15, 18; Zb 73:27; Met 15:29
Zab. 119:1561Nya 21:13; Zb 86:15; Isa 55:7; 2Ko 1:3; Yak 5:11
Zab. 119:157Zb 25:19
Zab. 119:158Zb 139:21
Zab. 119:159Zb 119:40, 88; Omb 3:22
Zab. 119:1602Sa 7:28; Zb 12:6; Yoh 17:17
Zab. 119:161Zb 119:23
Zab. 119:1612Fa 22:19
Zab. 119:162Yer 15:16
Zab. 119:163Zb 101:7; 119:29, 104
Zab. 119:163Zb 1:2
Zab. 119:165Zb 1:2, 3; Met 3:1, 2; Isa 32:17; 48:18
Zab. 119:167Zb 1:2; 40:8; Ro 7:22
Zab. 119:168Zb 139:3; Met 5:21; 15:11; Ebr 4:13
Zab. 119:169Zb 18:6
Zab. 119:1691Nya 22:12; Met 2:3, 5
Zab. 119:171Zb 63:5; 71:17; 145:7
Zab. 119:172Zb 40:9
Zab. 119:173Zb 60:5
Zab. 119:173Kum 30:19; Yos 24:15, 22
Zab. 119:174Zb 1:2
Zab. 119:175Zb 9:13, 14; Isa 38:19
Zab. 119:176Zb 95:7; Lu 15:4; 1Pe 2:25
Zab. 119:176Mhu 12:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • 111
  • 112
  • 113
  • 114
  • 115
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • 136
  • 137
  • 138
  • 139
  • 140
  • 141
  • 142
  • 143
  • 144
  • 145
  • 146
  • 147
  • 148
  • 149
  • 150
  • 151
  • 152
  • 153
  • 154
  • 155
  • 156
  • 157
  • 158
  • 159
  • 160
  • 161
  • 162
  • 163
  • 164
  • 165
  • 166
  • 167
  • 168
  • 169
  • 170
  • 171
  • 172
  • 173
  • 174
  • 175
  • 176
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 119:1-176

Zaburi

א [Aleph]

119 Wenye furaha ni wale wasio na lawama* katika njia yao,

Wanaotembea katika sheria ya Yehova.+

 2 Wenye furaha ni wale wanaoshika vikumbusho vyake,+

Wanaomtafuta kwa moyo wao wote.+

 3 Hawatendi uovu wowote;

Wanatembea katika njia zake.+

 4 Umeamuru

Kwamba maagizo yako yafuatwe kwa uangalifu.+

 5 Laiti ningeweza kubaki imara*+

Ili niyashike masharti yako!

 6 Ndipo sitaaibishwa+

Ninapokazia uangalifu amri zako zote.

 7 Nitakusifu kwa moyo mnyoofu

Ninapojifunza hukumu zako za uadilifu.

 8 Nitayashika masharti yako.

Kamwe usiniache kabisa.

ב [Beth]

 9 Kijana anaweza kuisafishaje njia yake?

Kwa kujilinda kulingana na neno lako.+

10 Ninakutafuta kwa moyo wangu wote.

Usiache nikengeuke kutoka katika amri zako.+

11 Ninaweka neno lako moyoni mwangu kama hazina+

Ili nisikutendee dhambi.+

12 Na usifiwe, Ee Yehova;

Nifundishe masharti yako.

13 Kwa midomo yangu ninatangaza

Hukumu zote ulizonena.

14 Ninashangilia kwa sababu ya vikumbusho vyako+

Kuliko vitu vingine vyote vyenye thamani.+

15 Nitatafakari* maagizo yako+

Na kuzikazia macho njia zako.+

16 Ninazipenda sana sheria zako.

Sitalisahau neno lako.+

ג [Gimel]

17 Nitendee kwa fadhili mimi mtumishi wako,

Ili niishi na kulishika neno lako.+

18 Yafumbue macho yangu ili nione wazi

Mambo yanayostaajabisha katika sheria yako.

19 Mimi ni mgeni tu nchini.+

Usinifiche amri zako.

20 Ninapondeka* kwa kutamani sana

Hukumu zako nyakati zote.

21 Unawakemea wenye kimbelembele,

Watu waliolaaniwa wanaokengeuka kutoka katika amri zako.+

22 Niondolee* dhihaka na dharau,

Kwa maana nimeshika vikumbusho vyako.

23 Hata wakuu wanapoketi pamoja na kusema mambo mabaya kunihusu,

Mimi mtumishi wako ninatafakari* masharti yako.

24 Ninavipenda sana vikumbusho vyako;+

Navyo ni washauri wangu.+

ד [Daleth]

25 Ninalala kifudifudi mavumbini.+

Nihifadhi hai kulingana na neno lako.+

26 Nilikwambia kuhusu njia zangu, nawe ukanijibu;

Nifundishe masharti yako.+

27 Nifanye nielewe maana* ya maagizo yako,

Ili niweze kutafakari* kazi zako zinazostaajabisha.+

28 Nimekosa usingizi kwa sababu ya huzuni.

Nitie nguvu kulingana na neno lako.

29 Niondolee njia ya udanganyifu,+

Na unionyeshe kibali kwa kunipa sheria yako.

30 Nimechagua njia ya uaminifu.+

Ninatambua kwamba hukumu zako zinafaa.

31 Ninashikamana na vikumbusho vyako.+

Ee Yehova, usiache nikatishwe tamaa.*+

32 Nitaifuata kwa bidii* njia ya amri zako

Kwa sababu wewe huufanya moyo wangu uwe na nafasi kwa ajili yake.*

ה [He]

33 Nifundishe, Ee Yehova,+ njia ya masharti yako,

Nami nitaifuata mpaka mwisho.+

34 Nipe uelewaji,

Ili niweze kushika sheria yako

Na kuitii kwa moyo wangu wote.

35 Niongoze* katika njia ya amri zako,+

Kwa maana ninapendezwa nayo.

36 Uelekeze moyo wangu kwenye vikumbusho vyako,

Wala si kwa tamaa ya* kichoyo.+

37 Yageuzie mbali macho yangu yasitazame mambo yasiyofaa;+

Nihifadhi hai katika njia yako.

38 Nitimizie mimi mtumishi wako ahadi yako,*

Ili uogopwe.*

39 Niondolee aibu ninayoogopa sana,

Kwa maana hukumu zako ni njema.+

40 Tazama jinsi ninavyoyatamani sana maagizo yako!

Nihifadhi hai katika uadilifu wako.

ו [Waw]

41 Acha nijionee upendo wako mshikamanifu, Ee Yehova,+

Wokovu wako kulingana na ahadi yako;*+

42 Kisha nitamjibu yule anayenidhihaki,

Kwa maana ninalitumaini neno lako.

43 Usiondoe kabisa neno la kweli kutoka kinywani mwangu,

Kwa maana nimetumaini* hukumu yako.

44 Nitaishika sheria yako daima,

Milele na milele.+

45 Nami nitatembeatembea mahali salama,*+

Kwa maana ninayatafuta maagizo yako.

46 Nitaongea kuhusu vikumbusho vyako mbele ya wafalme,

Nami sitaaibika.+

47 Ninazipenda sana amri zako,

Naam, ninazipenda.+

48 Nitainua mikono yangu kuelekea amri zako, ambazo ninazipenda,+

Nami nitayatafakari* masharti yako.+

ז [Zayin]

49 Likumbuke neno lako ulilomwambia* mtumishi wako,

Ambalo kupitia hilo unanipa tumaini.*

50 Hilo ndilo faraja yangu katika mateso yangu,+

Kwa maana neno lako limenihifadhi hai.

51 Wenye kimbelembele wananidhihaki sana,

Lakini sikengeuki kutoka kwenye sheria yako.+

52 Ninazikumbuka hukumu zako za tangu zamani,+ Ee Yehova,

Nazo zinanifariji.+

53 Nimeshikwa na hasira kali kwa sababu ya waovu,

Wanaoiacha sheria yako.+

54 Masharti yako ni nyimbo kwangu

Popote ninapoishi.*

55 Wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako, Ee Yehova,+

Ili niweze kuishika sheria yako.

56 Nimezoea kufanya hivyo

Kwa sababu nimeyatii maagizo yako.

ח [Heth]

57 Yehova ni fungu langu;+

Nimeahidi kuyashika maneno yako.+

58 Ninakusihi* kwa moyo wangu wote;+

Nionyeshe kibali+ kulingana na ahadi yako.*

59 Nimezichunguza njia zangu,

Ili niirudishe miguu yangu kwenye vikumbusho vyako.+

60 Ninafanya haraka wala sikawii

Kuzishika amri zako.+

61 Kamba za waovu zinanizunguka,

Lakini siisahau sheria yako.+

62 Katikati ya usiku ninaamka ili kukushukuru+

Kwa sababu ya hukumu zako za uadilifu.

63 Mimi ni rafiki ya wote wanaokuogopa wewe

Na ya wale wanaoyatii maagizo yako.+

64 Upendo wako mshikamanifu, Ee Yehova, umeijaza dunia;+

Nifundishe masharti yako.

ט [Teth]

65 Umenitendea mema mimi mtumishi wako,

Ee Yehova, kulingana na neno lako.

66 Nifundishe busara na ujuzi,+

Kwa maana nimezitumaini amri zako.

67 Kabla ya kuteswa, nilikuwa nikikengeuka,*

Lakini sasa ninalishika neno lako.+

68 Wewe ni mwema+ na kazi zako ni njema.

Nifundishe masharti yako.+

69 Wenye kimbelembele hunipaka uwongo,

Lakini ninayatii maagizo yako kwa moyo wangu wote.

70 Moyo wao umekufa ganzi,*+

Lakini ninaipenda sana sheria yako.+

71 Ni vema kwamba nimeteswa,+

Ili nijifunze masharti yako.

72 Sheria uliyotangaza ni njema kwangu,+

Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+

י [Yod]

73 Mikono yako iliniumba na kunifinyanga.

Nipe uelewaji,

Ili nijifunze amri zako.+

74 Wale wanaokuogopa huniona na kushangilia,

Kwa maana neno lako ni tumaini langu.*+

75 Ninajua, Ee Yehova, kwamba hukumu zako ni za uadilifu+

Na kwamba umenitesa kwa uaminifu wako.+

76 Tafadhali, upendo wako mshikamanifu+ na unifariji,

Kulingana na ahadi yako uliyonipa* mimi mtumishi wako.

77 Nionyeshe rehema ili niendelee kuishi,+

Kwa maana ninaipenda sana sheria yako.+

78 Wenye kimbelembele na waaibishwe,

Kwa maana wananikosea bila sababu.*

Lakini nitayatafakari* maagizo yako.+

79 Acha wale wanaokuogopa warudi kwangu,

Wale wanaojua vikumbusho vyako.

80 Moyo wangu na uwe bila lawama katika kufuata masharti yako,+

Ili nisiaibishwe.+

כ [Kaph]

81 Ninautamani sana wokovu wako,+

Kwa maana neno lako ni tumaini langu.*

82 Macho yangu yanatamani sana neno lako+

Huku nikisema: “Utanifariji lini?”+

83 Kwa maana mimi ni kama kiriba cha ngozi kilichokaushwa na moshi,

Lakini siyasahau masharti yako.+

84 Mimi mtumishi wako nisubiri kwa siku ngapi?

Ni lini utakapowahukumu wale wanaonitesa?+

85 Wenye kimbelembele wananichimbia mashimo,

Wale wanaoasi sheria yako.

86 Amri zako zote zinategemeka.

Watu wananitesa bila sababu; nisaidie!+

87 Karibu waniangamize kutoka duniani,

Lakini sikuyaacha maagizo yako.

88 Nihifadhi hai kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu,

Ili nishike vikumbusho ulivyosema.

ל [Lamed]

89 Milele, Ee Yehova,

Neno lako litadumu mbinguni.+

90 Uaminifu wako umekuwepo kwa vizazi vyote.+

Umeiimarisha kabisa dunia, ili idumu.+

91 Kwa sababu ya hukumu zako zinadumu* mpaka leo,

Kwa maana zote ni watumishi wako.

92 Kama singeipenda sana sheria yako,

Ningekuwa nimeangamia katika mateso yangu.+

93 Sitayasahau kamwe maagizo yako,

Kwa sababu kupitia hayo umenihifadhi hai.+

94 Mimi ni wako; niokoe,+

Kwa sababu nimeyatafuta maagizo yako.+

95 Waovu wanasubiri kuniangamiza,

Lakini ninavikazia sana fikira vikumbusho vyako.

96 Nimeona mwisho wa ukamilifu wote,

Lakini amri yako haina mpaka.*

מ [Mem]

97 Jinsi ninavyoipenda sana sheria yako!+

Ninaitafakari* mchana kutwa.+

98 Amri yako hunifanya niwe na hekima kuliko maadui wangu,+

Kwa sababu ninayo milele.

99 Nina ufahamu mwingi kuliko walimu wangu wote,+

Kwa sababu ninavitafakari* vikumbusho vyako.

100 Ninatenda kwa uelewaji mwingi kuliko wanaume wazee,

Kwa sababu ninayatii maagizo yako.

101 Ninakataa kutembea kwenye njia yoyote ya uovu,+

Ili nishike neno lako.

102 Sigeuki kando kutoka katika hukumu zako,

Kwa maana umenifundisha.

103 Jinsi maneno yako yalivyo matamu kwenye kaakaa langu,

Kuliko asali kinywani mwangu!+

104 Kwa sababu ya maagizo yako ninatenda kwa uelewaji.+

Ndiyo sababu ninaichukia kila njia ya uwongo.+

נ [Nun]

105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,

Na nuru ya njia yangu.+

106 Nimeweka kiapo, nami nitakitimiza,

Kwamba nitazishika hukumu zako za uadilifu.

107 Nimeteseka sana.+

Ee Yehova, nihifadhi hai kulingana na neno lako.+

108 Tafadhali yafurahie matoleo yangu ya hiari ya kukusifu,*+ Ee Yehova,

Na unifundishe hukumu zako.+

109 Uhai wangu umo hatarini daima,*

Lakini sijaisahau sheria yako.+

110 Waovu wamenitegea mtego,

Lakini sijakengeuka kutoka katika maagizo yako.+

111 Ninavichukua vikumbusho vyako kuwa mali yangu ya kudumu,*

Kwa maana hivyo ni shangwe ya moyo wangu.+

112 Nimeazimia* kuyatii masharti yako

Nyakati zote, mpaka mwisho.

ס [Samekh]

113 Ninawachukia watu wenye moyo nusunusu,*+

Lakini ninaipenda sheria yako.+

114 Wewe ni mahali pangu pa kujificha na ngao yangu,+

Kwa maana neno lako ni tumaini langu.*+

115 Kaeni mbali nami, enyi waovu,+

Ili nizishike amri za Mungu wangu.

116 Nitegemeze kama ulivyoahidi,*+

Ili niendelee kuishi;

Usiache tumaini langu libadilike na kunikatisha tamaa.*+

117 Nitegemeze ili niokolewe;+

Kisha nitayakazia uangalifu daima masharti yako.+

118 Unawakataa wote wanaokengeuka kutoka katika masharti yako,+

Kwa maana ni waongo na wadanganyifu.

119 Unawatupilia mbali waovu wote walio duniani kana kwamba ni takataka.*+

Ndiyo sababu ninavipenda vikumbusho vyako.

120 Mwili wangu unatetemeka kwa sababu ya kukuhofu;

Ninaogopa hukumu zako.

ע [Ayin]

121 Nimetenda yaliyo ya haki na uadilifu.

Usiniache mikononi mwa wale wanaonikandamiza!

122 Nihakikishie hali njema mimi mtumishi wako;

Wenye kimbelembele wasinikandamize.

123 Macho yangu yamechoka nikiungojea wokovu wako+

Na ahadi yako ya* uadilifu.+

124 Nitendee mimi mtumishi wako kwa upendo mshikamanifu,+

Na unifundishe masharti yako.+

125 Mimi ni mtumishi wako; nipe uelewaji,+

Ili nijue vikumbusho vyako.

126 Wakati umefika wa Yehova kutenda,+

Kwa maana wameivunja sheria yako.

127 Ndiyo sababu ninazipenda amri zako

Kuliko dhahabu, hata dhahabu bora.*+

128 Kwa hiyo, ninayaona mafundisho* yote yanayotoka kwako kuwa yanafaa;+

Ninaichukia kila njia ya uwongo.+

פ [Pe]

129 Vikumbusho vyako ni vizuri sana.

Ndiyo sababu ninavishika.

130 Kufunuliwa kwa maneno yako huleta nuru,+

Na humpa uelewaji mtu asiye na uzoefu.+

131 Ninakifumbua wazi kinywa changu na kutweta,*

Kwa sababu ninazitamani sana amri zako.+

132 Nigeukie na kunionyesha kibali,+

Kama unavyowatendea* wale wanaolipenda jina lako.+

133 Ziongoze hatua zangu kwa usalama* kupitia neno lako;

Jambo lolote ovu lisinitawale.+

134 Niokoe* kutoka kwa wanadamu wanaokandamiza,

Nami nitayatii maagizo yako.

135 Ufanye uso wako uniangazie* mimi mtumishi wako,+

Na unifundishe masharti yako.

136 Macho yangu yanatiririkwa na machozi

Kwa sababu watu hawatii sheria yako.+

צ [Tsade]

137 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+

Na hukumu zako ni za haki.+

138 Vikumbusho unavyotoa ni vya uadilifu

Navyo vinategemeka kabisa.

139 Bidii yangu inanila,+

Kwa sababu maadui wangu wameyasahau maneno yako.

140 Neno lako ni safi kabisa,+

Nami mtumishi wako ninalipenda.+

141 Mimi ni duni na mwenye kudharauliwa;+

Hata hivyo, sijayasahau maagizo yako.

142 Uadilifu wako ni uadilifu wa milele,+

Na sheria yako ni kweli.+

143 Hata nikipatwa na taabu na shida,

Nitaendelea kuzipenda sana amri zako.

144 Uadilifu wa vikumbusho vyako ni wa milele.

Nipe uelewaji,+ ili niendelee kuishi.

ק [Qoph]

145 Ninakuita kwa moyo wangu wote. Nijibu, Ee Yehova.

Nitayashika masharti yako.

146 Ninakulilia wewe; niokoe!

Nitashika vikumbusho vyako.

147 Nimeamka kabla ya mapambazuko* ili nililie msaada,+

Kwa maana maneno yako ni tumaini langu.*

148 Macho yangu hufunguka kabla ya makesha ya usiku,

Ili nitafakari* neno lako.+

149 Isikie sauti yangu kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu.+

Ee Yehova, nihifadhi hai kulingana na haki yako.

150 Watu wenye mwenendo wa aibu* hunikaribia;

Wako mbali sana na sheria yako.

151 Wewe uko karibu nami, Ee Yehova,+

Na amri zako zote ni kweli.+

152 Zamani za kale nilijifunza kuhusu vikumbusho vyako,

Ambavyo umeviweka vidumu milele.+

ר [Resh]

153 Yatazame mateso yangu na uniokoe,+

Kwa maana sijaisahau sheria yako.

154 Nitetee* na uniokoe;+

Nihifadhi hai kulingana na ahadi yako.*

155 Wokovu uko mbali sana na waovu,

Kwa maana hawajayatafuta masharti yako.+

156 Rehema zako ni nyingi, Ee Yehova.+

Nihifadhi hai kulingana na haki yako.

157 Wanaonitesa na pia maadui wangu ni wengi;+

Lakini sijakengeuka kutoka katika vikumbusho vyako.

158 Ninawatazama wenye hila kwa chuki kali,

Kwa sababu hawalishiki neno lako.+

159 Tazama jinsi ninavyoyapenda sana maagizo yako!

Ee Yehova, nihifadhi hai kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu.+

160 Kiini hasa cha neno lako ni kweli,+

Na hukumu zako zote za uadilifu zinadumu milele.

ש [Sin] au [Shin]

161 Wakuu wananitesa+ bila sababu,

Lakini moyo wangu unayahofu maneno yako.+

162 Ninashangilia kwa sababu ya neno lako+

Kama mtu anayepata nyara nyingi.

163 Nauchukia uwongo—nauchukia sana+—

Ninaipenda sheria yako.+

164 Mara saba kwa siku ninakusifu wewe

Kwa sababu ya hukumu zako za uadilifu.

165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi;+

Hakuna chochote kinachoweza kuwakwaza.*

166 Ninayatazamia matendo yako ya wokovu, Ee Yehova,

Nami ninazishika amri zako.

167 Ninavishika vikumbusho vyako,

Nami navipenda sana.+

168 Ninayatii maagizo yako na vikumbusho vyako,

Kwa maana unajua mambo yote ninayotenda.+

ת [Taw]

169 Kilio changu cha kuomba msaada na kikufikie wewe, Ee Yehova.+

Nifanye nielewe, kulingana na neno lako.+

170 Ombi langu la kutaka kibali na lifike mbele zako.

Niokoe, kama ulivyoahidi.*

171 Midomo yangu na ifurikwe na sifa,+

Kwa maana wewe hunifundisha masharti yako.

172 Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako,+

Kwa maana amri zako zote ni za uadilifu.

173 Mkono wako na uwe tayari kunisaidia,+

Kwa sababu nimechagua kutii maagizo yako.+

174 Ninautamani sana wokovu wako, Ee Yehova,

Nami ninaipenda sana sheria yako.+

175 Acha niishi ili nikusifu;+

Hukumu zako na ziwe msaada wangu.

176 Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea.+ Nitafute mimi mtumishi wako,

Kwa maana sijazisahau amri zako.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki