Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Barua ya Yeremia kwa wahamishwa wa Babiloni (1-23)

        • Israeli watarudia kisha miaka makumi saba (10)

      • Ujumbe kwa Shemaya (24-32)

Yeremia 29:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwanamuke muheshimiwa.”

  • *

    Ao pengine, “wajenzi wa maboma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:8; Yer 22:24
  • +Yer 22:26
  • +2 Fal. 24:15, 16; Yer 24:1

Yeremia 29:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:8; Yer 26:24; 39:13, 14; Eze 8:11
  • +2 Fal. 24:18

Yeremia 29:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,”

    uku. 132-133

Yeremia 29:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 2:1, 2

Yeremia 29:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 14:14; 27:14

Yeremia 29:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:21; 28:15

Yeremia 29:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:20, 21; Ezr 1:1-3; Da. 9:2; Zek 1:12
  • +Kum 30:3; Ezr 2:1; Yer 24:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    6/2012, uku. 13-14

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2011, uku. 26-27

    Yeremia, uku. 162

    “Kila Andiko,” uku. 86-87

Yeremia 29:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Sef 3:15
  • +Yer 31:17

Yeremia 29:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 9:3

Yeremia 29:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:40
  • +Kum 4:29; 30:1-4; 1 Fal. 8:47, 48; Yer 24:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 114-115

Yeremia 29:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 55:6
  • +Isa 49:25; Yer 30:3; Eze 39:28
  • +Zab 126:1; Ho 6:11; Amo 9:14; Sef 3:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 114-115

Yeremia 29:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 28:1

Yeremia 29:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “zenye kupasuka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 24:10
  • +Yer 24:2, 8

Yeremia 29:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:33
  • +Kum 28:25; Yer 34:17
  • +1 Fal. 9:8; 2Nya 29:8; Yer 25:9; Omb 2:15
  • +Yer 24:9

Yeremia 29:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nikiamuka asubui sana na kuwatuma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 7:13
  • +Yer 6:19

Yeremia 29:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 14:14; 29:8; Omb 2:14

Yeremia 29:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:14
  • +Yer 7:9, 10; 27:15
  • +Yer 16:17; 23:24

Yeremia 29:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 29:31, 32

Yeremia 29:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:18, 21; Yer 21:1, 2; 37:3; 52:24, 27

Yeremia 29:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vyuma vya kuwekwa kwenye shingo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 20:2

Yeremia 29:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:1
  • +Yer 43:2

Yeremia 29:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 29:5

Yeremia 29:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:18, 21

Yeremia 29:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 14:14; 28:15, 16; Eze 13:8, 9

Maandiko ingine

Yer. 29:22 Fal. 24:8; Yer 22:24
Yer. 29:2Yer 22:26
Yer. 29:22 Fal. 24:15, 16; Yer 24:1
Yer. 29:32 Fal. 22:8; Yer 26:24; 39:13, 14; Eze 8:11
Yer. 29:32 Fal. 24:18
Yer. 29:71 Tim. 2:1, 2
Yer. 29:8Yer 14:14; 27:14
Yer. 29:9Yer 23:21; 28:15
Yer. 29:102Nya 36:20, 21; Ezr 1:1-3; Da. 9:2; Zek 1:12
Yer. 29:10Kum 30:3; Ezr 2:1; Yer 24:6
Yer. 29:11Sef 3:15
Yer. 29:11Yer 31:17
Yer. 29:12Da. 9:3
Yer. 29:13Law. 26:40
Yer. 29:13Kum 4:29; 30:1-4; 1 Fal. 8:47, 48; Yer 24:7
Yer. 29:14Isa 55:6
Yer. 29:14Isa 49:25; Yer 30:3; Eze 39:28
Yer. 29:14Zab 126:1; Ho 6:11; Amo 9:14; Sef 3:20
Yer. 29:16Yer 28:1
Yer. 29:17Yer 24:10
Yer. 29:17Yer 24:2, 8
Yer. 29:18Law. 26:33
Yer. 29:18Kum 28:25; Yer 34:17
Yer. 29:181 Fal. 9:8; 2Nya 29:8; Yer 25:9; Omb 2:15
Yer. 29:18Yer 24:9
Yer. 29:19Yer 7:13
Yer. 29:19Yer 6:19
Yer. 29:21Yer 14:14; 29:8; Omb 2:14
Yer. 29:23Yer 23:14
Yer. 29:23Yer 7:9, 10; 27:15
Yer. 29:23Yer 16:17; 23:24
Yer. 29:24Yer 29:31, 32
Yer. 29:252 Fal. 25:18, 21; Yer 21:1, 2; 37:3; 52:24, 27
Yer. 29:26Yer 20:2
Yer. 29:27Yer 1:1
Yer. 29:27Yer 43:2
Yer. 29:28Yer 29:5
Yer. 29:292 Fal. 25:18, 21
Yer. 29:31Yer 14:14; 28:15, 16; Eze 13:8, 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 29:1-32

Yeremia

29 Haya ndiyo maneno ya barua yenye Yeremia nabii alituma kutoka Yerusalemu kwa wazee wenye walibakia kati ya watu wenye walihamishwa, makuhani, manabii, na watu wote, wenye Nebukadneza alikuwa amepeleka katika uhamisho kutoka Yerusalemu kuenda Babiloni, 2 kisha Mufalme Yekonia,+ malkia mama ya mufalme,*+ maofisa wa makao ya mufalme, wakubwa wa Yuda na Yerusalemu, na mafundi na mafundi wa vyuma* kuondoka Yerusalemu.+ 3 Alituma barua hiyo kupitia mukono wa Elasa mwana wa Shafani+ na Gemaria mwana wa Hilkia, wenye Mufalme Sedekia+ wa Yuda alituma kuenda Babiloni kwa Mufalme Nebukadneza wa Babiloni. Ilisema hivi:

4 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anaambia hivi watu wote wenye walihamishwa, wenye nimepeleka katika uhamisho kutoka Yerusalemu kuenda Babiloni: 5 ‘Mujenge nyumba na mukae ndani yake. Mupande bustani na mukule matunda yake. 6 Muchukue bibi na mupate watoto wanaume na watoto wanamuke; muchukue bibi kwa ajili ya watoto wenu wanaume na mutoe watoto wenu wanamuke ili waolewe, ili wao pia wapate watoto wanaume na watoto wanamuke. Mukuwe wengi kule, na musipunguke. 7 Na mutafute amani ya muji kwenye nimewapeleka katika uhamisho, na musali kwa ajili yake kwa Yehova, kwa maana katika amani yake mutakuwa na amani.+ 8 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Musiache manabii wenu na waaguzi wenu wenye kuwa kati yenu wawadanganye ninyi,+ na musisikilize ndoto zenye wanaota. 9 Kwa maana ‘wanawatolea ninyi unabii wa uongo katika jina langu. Mimi sikuwatuma,’+ ni vile Yehova anasema.”’”

10 “Kwa maana Yehova anasema hivi: ‘Wakati miaka makumi saba (70) itatimia kule Babiloni, nitawakazia ninyi uangalifu wangu,+ na nitatimiza ahadi yangu kwa kuwarudisha ninyi mahali hapa.’+

11 “‘Kwa maana ninajua muzuri mawazo yenye ninafikiria kuwaelekea ninyi,’ ni vile Yehova anasema, ‘mawazo ya amani, na hapana ya musiba,+ ili kuwapatia ninyi wakati wenye kuja wa muzuri na tumaini.+ 12 Na mutaniita na kuja na kusali kwangu, na nitawasikiliza.’+

13 “‘Mutanitafuta na kunipata,+ kwa maana mutanitafuta kwa moyo wenu wote.+ 14 Na nitawaacha munipate,’+ ni vile Yehova anasema. ‘Na nitakusanya watu wenu wenye walikamatwa mateka na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na sehemu zote kwenye niliwatawanya ninyi,’+ ni vile Yehova anasema. ‘Na nitawarudisha mahali kwenye mulikuwa wakati niliwafanya muende katika uhamisho.’+

15 “Lakini mumesema, ‘Yehova ametuinulia manabii katika Babiloni.’

16 “Kwa maana Yehova anamuambia hivi mufalme mwenye anakaa kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na watu wote wenye wanakaa katika muji huu, ndugu zenu wenye hawakuenda katika uhamisho pamoja na ninyi, 17 ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Angalia, ninatuma juu yao upanga, njaa, na ugonjwa wa kuambukiza,+ na nitawafanya kuwa kama tini zenye kuoza* zenye ni za mubaya sana na hivyo haziwezi kukuliwa.”’+

18 “‘Na nitawafuatilia kwa upanga,+ kwa njaa, na kwa ugonjwa wa kuambukiza, na nitawafanya kuwa kitu cha kuogopesha kwa falme zote za dunia,+ na laana, na kitu cha kushangaza, kitu cha kupigiwa muluzi,+ na haya kati ya mataifa yote kwenye ninawatawanya,+ 19 kwa sababu hawakusikiliza maneno yangu yenye niliwatumia kupitia watumishi wangu manabii,’ ni vile Yehova anasema, ‘nikiwatuma tena na tena.’*+

“‘Lakini hamukusikiliza,’+ ni vile Yehova anasema.

20 “Kwa hiyo, musikie neno la Yehova, ninyi wote wenye mulihamishwa, wenye nilitosha Yerusalemu na kupeleka Babiloni. 21 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi juu ya Ahabu mwana wa Kolaya na juu ya Sedekia mwana wa Maaseya, wenye wanawatolea ninyi unabii wa uongo katika jina langu:+ ‘Angalia, nitawatia katika mukono wa Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni, na atawapiga na kuwaua mbele ya macho yenu. 22 Na kile chenye kuwapata kitakuwa laana yenye itazungumuziwa na wahamishwa wote wa Yuda katika Babiloni: “Yehova akufanye kama Sedekia na kama Ahabu, wenye mufalme wa Babiloni alichoma katika moto!” 23 kwa maana wametenda kwa haya katika Israeli,+ kwa kufanya uzinifu na bibi za majirani wao na kusema maneno ya uongo katika jina langu, maneno yenye sikuwaamuru.+

“‘“Mimi ndiye ninajua, na niko shahidi,”+ ni vile Yehova anasema.’”

24 “Na utaambia hivi Shemaya+ wa Nehelamu, 25 ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Kwa sababu ulituma barua katika jina lako kwa watu wote wenye kuwa katika Yerusalemu, kwa Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kwa makuhani wote, kwa kusema, 26 ‘Yehova amekufanya kuwa kuhani pa nafasi ya Yehoyada kuhani ili ukuwe mwangalizi wa nyumba ya Yehova, usimamie mwenda-wazimu yeyote mwenye anatenda kama nabii na kumuweka katika mikatale na katika kongwa;*+ 27 basi, sababu gani haukumukemea Yeremia wa Anatoti,+ mwenye anatenda kama nabii kwa ajili yenu?+ 28 Kwa maana alitutumia hata ujumbe Babiloni, kwa kusema: “Utakuwa wakati murefu! Mujenge nyumba na mukae ndani yake. Mupande mabustani na mukule matunda yake,+⁠—​ ”’”’”

29 Wakati Sefania+ kuhani alisoma barua hiyo katika masikio ya Yeremia nabii, 30 neno la Yehova likakuja kwa Yeremia, na kusema: 31 “Tuma ujumbe kwa watu wote wenye walihamishwa, kwa kusema: ‘Yehova anasema hivi juu ya Shemaya wa Nehelamu: “Kwa sababu Shemaya aliwatolea unabii, hata kama sikumutuma, na alijaribu kuwafanya mutegemee uongo,+ 32 kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Angalia, ninageuza uangalifu wangu kuelekea Shemaya wa Nehelamu na wazao wake. Hakuna mutu yeyote kati ya watu wake mwenye ataokoka kati ya watu hawa, na hataona mema yenye nitatendea watu wangu,’ ni vile Yehova anasema, ‘kwa maana amechochea uasi juu ya Yehova.’”’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine