Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Sulemani anatolea watu hotuba (1-11)

      • Sala ya Sulemani ya kuzindua hekalu (12-42)

2 Mambo ya Nyakati 6:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:21; 1 Fal. 8:12, 13; Zab 97:2

2 Mambo ya Nyakati 6:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 132:13, 14

2 Mambo ya Nyakati 6:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:14-21

2 Mambo ya Nyakati 6:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 19

2 Mambo ya Nyakati 6:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:5, 6

2 Mambo ya Nyakati 6:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 48:1
  • +2 Sa. 7:8; 1Nya 28:4

2 Mambo ya Nyakati 6:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:2; 1 Fal. 5:3

2 Mambo ya Nyakati 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwana wako, ule mwenye atatoka katika viuno vyako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:4

2 Mambo ya Nyakati 6:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 28:5; 29:23
  • +1Nya 17:11

2 Mambo ya Nyakati 6:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:20; 1 Fal. 8:9

2 Mambo ya Nyakati 6:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:22

2 Mambo ya Nyakati 6:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Mukono mumoja ulikuwa sawa na santimetre 44.5 (inchi 17.5). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:36
  • +1 Fal. 8:54

2 Mambo ya Nyakati 6:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:9; 1 Fal. 8:23-26

2 Mambo ya Nyakati 6:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:6
  • +2 Sa. 7:12, 13; 1Nya 22:10

2 Mambo ya Nyakati 6:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 132:12
  • +1 Fal. 2:4

2 Mambo ya Nyakati 6:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 7:48
  • +2Nya 2:6; Isa 40:12; Mdo 17:24
  • +1 Fal. 8:27-30; Isa 66:1

2 Mambo ya Nyakati 6:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 26:2

2 Mambo ya Nyakati 6:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 6:10
  • +2 Fal. 19:20; 2Nya 30:27
  • +2Nya 7:12-14; Mik 7:18

2 Mambo ya Nyakati 6:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na huyu analeta laana juu yake.” Ni kusema, kiapo chenye kinaleta laana kama mutu anaapa kwa uongo ao anakosa kutimiza kiapo hicho.

  • *

    Tnn., “laana hiyo.”

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Tnn., “laana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:31, 32

2 Mambo ya Nyakati 6:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwenye haki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 34:11
  • +Isa 3:10, 11; Eze 18:20

2 Mambo ya Nyakati 6:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:14, 17; Yosh. 7:8, 11; Amu 2:14
  • +Da. 9:3, 19
  • +Ezr 9:5
  • +1 Fal. 8:33, 34

2 Mambo ya Nyakati 6:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 57:15
  • +Zab 106:47

2 Mambo ya Nyakati 6:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uliwatesa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:19; Kum 28:23
  • +Eze 14:13
  • +1 Fal. 8:35, 36

2 Mambo ya Nyakati 6:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 30:20, 21; 54:13
  • +1 Fal. 18:1

2 Mambo ya Nyakati 6:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “panzi.”

  • *

    Tnn., “katika inchi ya milango yake mikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ru 1:1; 2 Fal. 6:25
  • +Law. 26:14, 16; Kum 28:21, 22
  • +Amo 4:9; Hag 2:17
  • +Kum 28:38; Yoe 1:4
  • +2Nya 12:2; 32:1
  • +1 Fal. 8:37-40

2 Mambo ya Nyakati 6:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 20:5, 6
  • +2Nya 33:13
  • +Mez. 14:10
  • +Da. 6:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2010, uku. 11

    15/3/2008, uku. 12-13

    1/1/2004, uku. 32

2 Mambo ya Nyakati 6:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 63:15
  • +Zab 130:4
  • +1 Sa. 16:7; 1Nya 28:9; Yer 11:20; 17:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2010, uku. 11

    15/3/2008, uku. 12-13

    1/1/2004, uku. 32

2 Mambo ya Nyakati 6:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sifa yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:48; Ru 1:16; 2 Fal. 5:15; Isa 56:6, 7; Mdo 8:27
  • +1 Fal. 8:41-43

2 Mambo ya Nyakati 6:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:27; 46:10

2 Mambo ya Nyakati 6:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 31:2; Yosh. 8:1; Amu 1:1, 2; 1 Sa. 15:3
  • +2Nya 14:11; 20:5, 6
  • +1 Fal. 8:44, 45

2 Mambo ya Nyakati 6:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 37:36

2 Mambo ya Nyakati 6:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 130:3; Mhu. 7:20; Rom. 3:23
  • +Law. 26:34; 1 Fal. 8:46-50; Da. 9:7

2 Mambo ya Nyakati 6:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:40; Ezr 9:6; Ne 1:6; Zab 106:6; Da. 9:5

2 Mambo ya Nyakati 6:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 7:3
  • +Kum 30:1-3; Da. 9:2, 3
  • +Da. 6:10

2 Mambo ya Nyakati 6:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:36, 37

2 Mambo ya Nyakati 6:40

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yenye kuhusu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 7:15; 16:9; Zab 65:2; Isa 37:17

2 Mambo ya Nyakati 6:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 28:2
  • +Zab 65:4; 132:8-10

2 Mambo ya Nyakati 6:42

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “usigeuzie mbali uso wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:34; Zab 18:50
  • +Mdo 13:34

Maandiko ingine

2 Nya. 6:1Kut 20:21; 1 Fal. 8:12, 13; Zab 97:2
2 Nya. 6:2Zab 132:13, 14
2 Nya. 6:31 Fal. 8:14-21
2 Nya. 6:5Kum 12:5, 6
2 Nya. 6:6Zab 48:1
2 Nya. 6:62 Sa. 7:8; 1Nya 28:4
2 Nya. 6:72 Sa. 7:2; 1 Fal. 5:3
2 Nya. 6:91Nya 17:4
2 Nya. 6:101Nya 28:5; 29:23
2 Nya. 6:101Nya 17:11
2 Nya. 6:11Kut 40:20; 1 Fal. 8:9
2 Nya. 6:121 Fal. 8:22
2 Nya. 6:131 Fal. 6:36
2 Nya. 6:131 Fal. 8:54
2 Nya. 6:14Kum 7:9; 1 Fal. 8:23-26
2 Nya. 6:151 Fal. 3:6
2 Nya. 6:152 Sa. 7:12, 13; 1Nya 22:10
2 Nya. 6:16Zab 132:12
2 Nya. 6:161 Fal. 2:4
2 Nya. 6:18Mdo 7:48
2 Nya. 6:182Nya 2:6; Isa 40:12; Mdo 17:24
2 Nya. 6:181 Fal. 8:27-30; Isa 66:1
2 Nya. 6:20Kum 26:2
2 Nya. 6:21Da. 6:10
2 Nya. 6:212 Fal. 19:20; 2Nya 30:27
2 Nya. 6:212Nya 7:12-14; Mik 7:18
2 Nya. 6:221 Fal. 8:31, 32
2 Nya. 6:23Yob 34:11
2 Nya. 6:23Isa 3:10, 11; Eze 18:20
2 Nya. 6:24Law. 26:14, 17; Yosh. 7:8, 11; Amu 2:14
2 Nya. 6:24Da. 9:3, 19
2 Nya. 6:24Ezr 9:5
2 Nya. 6:241 Fal. 8:33, 34
2 Nya. 6:25Isa 57:15
2 Nya. 6:25Zab 106:47
2 Nya. 6:26Law. 26:19; Kum 28:23
2 Nya. 6:26Eze 14:13
2 Nya. 6:261 Fal. 8:35, 36
2 Nya. 6:27Isa 30:20, 21; 54:13
2 Nya. 6:271 Fal. 18:1
2 Nya. 6:28Ru 1:1; 2 Fal. 6:25
2 Nya. 6:28Law. 26:14, 16; Kum 28:21, 22
2 Nya. 6:28Amo 4:9; Hag 2:17
2 Nya. 6:28Kum 28:38; Yoe 1:4
2 Nya. 6:282Nya 12:2; 32:1
2 Nya. 6:281 Fal. 8:37-40
2 Nya. 6:292Nya 20:5, 6
2 Nya. 6:292Nya 33:13
2 Nya. 6:29Mez. 14:10
2 Nya. 6:29Da. 6:10
2 Nya. 6:30Isa 63:15
2 Nya. 6:30Zab 130:4
2 Nya. 6:301 Sa. 16:7; 1Nya 28:9; Yer 11:20; 17:10
2 Nya. 6:32Kut 12:48; Ru 1:16; 2 Fal. 5:15; Isa 56:6, 7; Mdo 8:27
2 Nya. 6:321 Fal. 8:41-43
2 Nya. 6:33Zab 22:27; 46:10
2 Nya. 6:34Hes 31:2; Yosh. 8:1; Amu 1:1, 2; 1 Sa. 15:3
2 Nya. 6:342Nya 14:11; 20:5, 6
2 Nya. 6:341 Fal. 8:44, 45
2 Nya. 6:35Isa 37:36
2 Nya. 6:36Zab 130:3; Mhu. 7:20; Rom. 3:23
2 Nya. 6:36Law. 26:34; 1 Fal. 8:46-50; Da. 9:7
2 Nya. 6:37Law. 26:40; Ezr 9:6; Ne 1:6; Zab 106:6; Da. 9:5
2 Nya. 6:381 Sa. 7:3
2 Nya. 6:38Kum 30:1-3; Da. 9:2, 3
2 Nya. 6:38Da. 6:10
2 Nya. 6:39Yer 51:36, 37
2 Nya. 6:402Nya 7:15; 16:9; Zab 65:2; Isa 37:17
2 Nya. 6:411Nya 28:2
2 Nya. 6:41Zab 65:4; 132:8-10
2 Nya. 6:421 Fal. 1:34; Zab 18:50
2 Nya. 6:42Mdo 13:34
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 6:1-42

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

6 Wakati huo Sulemani akasema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza nzito.+ 2 Sasa nimekujengea nyumba yenye kuinuliwa, mahali kwenye kulifanywa imara ili ukae ndani milele.”+

3 Kisha mufalme akageuka na akaanza kubariki kutaniko lote la Israeli wakati kutaniko lote la Israeli lilikuwa limesimama.+ 4 Akasema: “Yehova Mungu wa Israeli asifiwe, yeye mwenye kwa kinywa chake mwenyewe alimuahidi baba yangu Daudi na kwa mikono yake mwenyewe ametimiza, kwa kusema, 5 ‘Kuanzia siku yenye nilitosha watu wangu katika inchi ya Misri, sikuchagua muji katika makabila yote ya Israeli ili kujenga ndani nyumba kusudi jina langu likae ndani,+ na sikuchagua mwanaume akuwe kiongozi juu ya watu wangu Israeli. 6 Lakini nimechagua Yerusalemu+ ili jina langu likae ndani, na nimemuchagua Daudi akuwe juu ya watu wangu Israeli.’+ 7 Na ilikuwa tamaa ya moyo wa baba yangu Daudi kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+ 8 Lakini Yehova akamuambia baba yangu Daudi, ‘Ilikuwa tamaa ya moyo wako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, na ulifanya muzuri kutamani jambo hilo katika moyo wako. 9 Hata hivyo, hautajenga nyumba hiyo, lakini mwana wako mwenye utazaa* ndiye atajenga nyumba hiyo kwa ajili ya jina langu.’+ 10 Yehova ametimiza ahadi yenye alitoa, kwa maana nimechukua nafasi ya baba yangu Daudi na ninakaa kwenye kiti cha ufalme cha Israeli,+ kama vile Yehova aliahidi.+ Nimejenga pia nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli, 11 na nimeweka mule lile Sanduku lenye ndani yake muko agano+ lenye Yehova alifanya pamoja na watu wa Israeli.”

12 Kisha akasimama mbele ya mazabahu ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli, na akanyoosha mikono yake.+ 13 (Kwa maana Sulemani alikuwa amejenga jukwaa la shaba na kuliweka katikati ya kiwanja.+ Lilikuwa na urefu wa mikono* tano [5], upana wa mikono tano, na urefu kuenda juu wa mikono tatu [3]; na akasimama juu yake.) Na akapiga magoti mbele ya kutaniko lote la Israeli na akanyoosha mikono yake kuelekea mbinguni,+ 14 na akasema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe mbinguni ao duniani, mwenye anashika agano na kuonyesha upendo mushikamanifu kwa watumishi wako wenye wanatembea mbele yako kwa moyo wao wote.+ 15 Umetimiza ahadi yenye ulimutolea mutumishi wako Daudi baba yangu.+ Ulitoa ahadi hiyo kwa kinywa chako mwenyewe, na siku hii umeitimiza kwa mukono wako mwenyewe.+ 16 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, timiza ahadi yenye ulimutolea mutumishi wako Daudi baba yangu wakati ulisema: ‘Hakutakosa hata kidogo mwanaume wa uzao wako mbele yangu ili kukaa kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, kama wana wako wanakuwa waangalifu kuhusu njia yao kwa kutembea katika sheria yangu,+ kama vile umetembea mbele yangu.’+ 17 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, acha ahadi yenye ulimutolea mutumishi wako Daudi ikuwe yenye kutegemeka.

18 “Lakini je, kweli Mungu atakaa pamoja na wanadamu katika dunia?+ Angalia! Mbingu, ndiyo, mbingu za mbingu, haziwezi kukuenea;+ namna gani basi nyumba hii yenye nimejenga!+ 19 Sasa kaza uangalifu kwenye sala ya mutumishi wako na ombi lake la kuomba rehema, Ee Yehova Mungu wangu, na usikilize kilio cha kuomba musaada na sala yenye mutumishi wako anasali mbele yako. 20 Macho yako yafunguliwe kuelekea nyumba hii muchana na usiku, kuelekea mahali kwenye ulisema kwamba utaweka jina lako,+ ili kusikiliza sala yenye mutumishi wako anasali kuelekea mahali hapa. 21 Na usikilize maombi ya mutumishi wako ya kuomba musaada na maombi ya watu wako Israeli wakati wanasali kuelekea mahali hapa,+ na usikie ukiwa katika makao yako, kutoka mbinguni;+ ndiyo, usikie na usamehe.+

22 “Kama mwanadamu anamutendea mwanadamu mwenzake zambi na anaapishwa* na anakubali kubeba matokeo ya kiapo hicho,* na wakati iko* chini ya kiapo* anakuja mbele ya mazabahu yako katika nyumba hii,+ 23 basi usikie kutoka mbinguni na utende na uhukumu watumishi wako kwa kulipa muovu na kuleta mambo yenye alifanya juu ya kichwa chake mwenyewe+ na kwa kumutangaza mwenye haki kuwa hana kosa* na kwa kumupatia zawabu kulingana na haki yake.+

24 “Na kama watu wako Israeli wanashindwa mbele ya adui kwa sababu waliendelea kukutendea zambi,+ na wanarudia na wanatukuza jina lako+ na kusali+ na kukuomba ili wapate kukubaliwa mbele yako katika nyumba hii,+ 25 basi usikie kutoka mbinguni+ na usamehe zambi ya watu wako Israeli na uwarudishe katika inchi yenye uliwapatia wao na mababu zao.+

26 “Wakati mbingu zinafungwa na hakuna mvua+ kwa sababu waliendelea kukutendea zambi,+ na wanasali kuelekea mahali hapa na wanatukuza jina lako na wanageuka na kuacha zambi yao kwa sababu uliwanyenyekeza,*+ 27 basi usikie kutoka mbinguni na usamehe zambi ya watumishi wako, ya watu wako Israeli, kwa maana utawafundisha juu ya njia ya muzuri yenye wanapaswa kutembea ndani;+ na ulete mvua+ juu ya inchi yako yenye ulipatia watu wako kuwa uriti.

28 “Kama njaa inatokea katika inchi,+ ao ugonjwa wa kuambukiza,+ ugonjwa wenye kukausha mimea, kuvu,+ nzige wenye kupatikana kwa wingi, ao nzige wenye kula sana*+ ao kama maadui wao wanawazunguka kwa ajili ya vita katika muji wowote wa inchi*+ ao kama kunatokea aina ingine yoyote ya pigo ao ya ugonjwa,+ 29 sala yoyote,+ ombi lolote la kuomba rehema+ lenye linaweza kutolewa na mutu yeyote ao na watu wako wote Israeli (kwa maana kila mumoja anajua pigo lake mwenyewe na maumivu yake mwenyewe)+ wakati wananyoosha mikono yao kuelekea nyumba hii,+ 30 basi usikie kutoka mbinguni, makao yako,+ na usamehe;+ na upatie zawabu kila mumoja kulingana na njia zake zote, kwa maana unajua moyo wake (wewe peke yako unajua kwa kweli moyo wa mwanadamu),+ 31 ili wakuogope kwa kutembea katika njia zako sikuzote zenye wanaishi katika inchi yenye ulipatia mababu zetu.

32 “Pia kuhusu mugeni mwenye haiko sehemu ya watu wako Israeli na mwenye anakuja kutoka inchi ya mbali kwa sababu ya jina lako* kubwa+ na mukono wako wenye nguvu na mukono wako wenye kunyooshwa, na anakuja na kusali kuelekea nyumba hii,+ 33 basi usikilize kutoka mbinguni, makao yako, na ufanye mambo yote yenye mugeni huyo anakuomba, ili vikundi vyote vya watu katika dunia vijue jina lako+ na vikuogope, kama vile watu wako Israeli wanafanya, na ili wajue kwamba jina lako limeitwa juu ya nyumba hii yenye nimejenga.

34 “Kama watu wako wanaenda katika vita ili kupigana na maadui wao katika njia yenye unawatuma+ na wanasali+ kwako kuelekea muji huu wenye umechagua na kuelekea nyumba yenye nimejenga kwa ajili ya jina lako,+ 35 basi usikie kutoka mbinguni sala yao na ombi lao la kuomba rehema na ufanye hukumu kwa ajili yao.+

36 “Kama wanakutendea zambi (kwa maana hakuna mwanadamu mwenye hafanyake zambi),+ na unawakasirikia sana na kuwaacha katika mikono ya adui, na wenye waliwakamata wanawapeleka wakiwa wametekwa katika inchi fulani, mbali ao karibu,+ 37 na wanarudiwa na fahamu zao katika inchi kwenye walipelekwa wakiwa wametekwa, na wanarudia kwako na kukuomba uwaonyeshe rehema katika inchi kwenye walitekwa, wakisema, ‘Tumetenda zambi na tumefanya makosa; tumetenda kwa uovu,’+ 38 na wanarudia kwako kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi* yao yote katika inchi ya utekwa wao+ kwenye walipelekwa wakiwa wametekwa, na wanasali kuelekea inchi yao yenye ulipatia mababu zao na muji wenye umechagua+ na nyumba yenye nimejenga kwa ajili ya jina lako, 39 basi usikie kutoka mbinguni, makao yako, sala yao na ombi lao la kuomba rehema, na ufanye hukumu kwa ajili yao+ na usamehe watu wako wenye wamekutendea zambi.

40 “Sasa, Ee Mungu wangu, tafazali, macho yako yafunguliwe na masikio yako yasikilize kwa uangalifu sala yenye inatolewa* mahali hapa.+ 41 Na sasa panda, Ee Yehova Mungu, uingie mahali pako pa kupumuzikia,+ wewe pamoja na Sanduku la nguvu zako. Makuhani wako, Ee Yehova Mungu, wavalishwe wokovu, na washikamanifu wako wafurahi katika wema wako.+ 42 Ee Yehova Mungu, usikatae* mutiwa-mafuta wako.+ Ukumbuke upendo wako mushikamanifu kwa Daudi mutumishi wako.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine