Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Wanaomtumaini Yehova watafanikiwa

        • Usikasirishwe na waovu (1)

        • “Pata furaha tele katika Yehova” (4)

        • “Mkabidhi Yehova njia yako” (5)

        • “Wapole wataimiliki dunia” (11)

        • Waadilifu hawatakosa chakula (25)

        • Waadilifu wataishi milele duniani (29)

Zaburi 37:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Usiwake hasira.”

Marejeo

  • +Zb 73:3; Met 23:17

Zaburi 37:2

Marejeo

  • +Zb 73:12, 19

Zaburi 37:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nchini.”

Marejeo

  • +Isa 1:17; Ebr 13:16
  • +Met 28:20

Zaburi 37:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Pata shangwe nyingi sana.”

Zaburi 37:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mvingirishie.”

Marejeo

  • +Zb 55:22; Met 16:3
  • +Mt 6:33; Flp 4:6; 1Pe 5:6, 7

Zaburi 37:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “subira.”

Marejeo

  • +Zb 62:1; Omb 3:26
  • +Ayu 21:7; Zb 73:3; Yer 12:1

Zaburi 37:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Usikasirike, kwa maana hasira itakuongoza tu kwenye madhara.”

Marejeo

  • +Met 14:29; Efe 4:26

Zaburi 37:9

Marejeo

  • +Zb 55:23
  • +Zb 25:12, 13; 37:29; Mt 5:5; 2Pe 2:9

Zaburi 37:10

Marejeo

  • +Ayu 24:24
  • +1Sa 25:39; Zb 52:4, 5

Zaburi 37:11

Marejeo

  • +Isa 45:18; Mt 5:5; Ufu 21:3
  • +Zb 72:7; 119:165; Isa 48:18

Zaburi 37:12

Marejeo

  • +1Sa 18:21, 25

Zaburi 37:13

Marejeo

  • +1Sa 26:9, 10

Zaburi 37:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuzitia nyuzi.”

Zaburi 37:15

Marejeo

  • +2Sa 17:23; Est 7:10; Zb 7:15

Zaburi 37:16

Marejeo

  • +Met 16:8; 30:8, 9; 1Ti 6:6

Zaburi 37:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “siku za wasio na lawama.”

Marejeo

  • +Zb 16:11

Zaburi 37:20

Marejeo

  • +Met 10:7

Zaburi 37:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hufadhili.”

Marejeo

  • +Kum 15:11; Ayu 31:16, 22; Zb 112:9; Met 19:17

Zaburi 37:22

Marejeo

  • +Zb 37:9

Zaburi 37:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huimarisha.”

Marejeo

  • +Met 16:9
  • +Met 11:20

Zaburi 37:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anamtegemeza kwa mkono Wake.”

Marejeo

  • +Zb 34:19; Met 24:16
  • +Zb 91:11, 12

Zaburi 37:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “chakula.”

Marejeo

  • +Zb 94:14; Mt 6:33; Ebr 13:5
  • +Kum 24:19; Zb 145:15; Met 10:3

Zaburi 37:26

Marejeo

  • +Kum 15:7, 8; Zb 112:5

Zaburi 37:27

Marejeo

  • +Zb 34:14; Isa 1:17

Zaburi 37:28

Marejeo

  • +2Sa 22:26
  • +Zb 97:10; Met 2:7, 8
  • +Met 2:22

Zaburi 37:29

Marejeo

  • +Kum 30:20; Zb 37:9; Met 2:21; Mt 5:5
  • +Mt 25:46; Ufu 21:3, 4

Zaburi 37:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huzungumza hekima kwa sauti ya chini.”

Marejeo

  • +Mt 12:35; Efe 4:29; Kol 4:6

Zaburi 37:31

Marejeo

  • +Kum 6:6; Zb 40:8
  • +Zb 121:3

Zaburi 37:33

Marejeo

  • +2Pe 2:9
  • +Zb 109:31

Zaburi 37:34

Marejeo

  • +Zb 37:22
  • +Zb 52:5, 6

Zaburi 37:35

Marejeo

  • +Est 5:11; Ayu 21:7

Zaburi 37:36

Marejeo

  • +Kut 15:9, 10
  • +Zb 37:10

Zaburi 37:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtu anayeshika utimilifu.”

Marejeo

  • +Ayu 1:1
  • +Ayu 42:12, 16

Zaburi 37:38

Marejeo

  • +Zb 1:4; Met 10:7; 2Pe 2:9

Zaburi 37:39

Marejeo

  • +Isa 12:2
  • +Zb 9:9; Isa 33:2

Zaburi 37:40

Marejeo

  • +Isa 46:4; 1Ko 10:13
  • +Zb 22:4; Da 3:17; 6:23

Jumla

Zab. 37:1Zb 73:3; Met 23:17
Zab. 37:2Zb 73:12, 19
Zab. 37:3Isa 1:17; Ebr 13:16
Zab. 37:3Met 28:20
Zab. 37:5Zb 55:22; Met 16:3
Zab. 37:5Mt 6:33; Flp 4:6; 1Pe 5:6, 7
Zab. 37:7Zb 62:1; Omb 3:26
Zab. 37:7Ayu 21:7; Zb 73:3; Yer 12:1
Zab. 37:8Met 14:29; Efe 4:26
Zab. 37:9Zb 55:23
Zab. 37:9Zb 25:12, 13; 37:29; Mt 5:5; 2Pe 2:9
Zab. 37:10Ayu 24:24
Zab. 37:101Sa 25:39; Zb 52:4, 5
Zab. 37:11Isa 45:18; Mt 5:5; Ufu 21:3
Zab. 37:11Zb 72:7; 119:165; Isa 48:18
Zab. 37:121Sa 18:21, 25
Zab. 37:131Sa 26:9, 10
Zab. 37:152Sa 17:23; Est 7:10; Zb 7:15
Zab. 37:16Met 16:8; 30:8, 9; 1Ti 6:6
Zab. 37:18Zb 16:11
Zab. 37:20Met 10:7
Zab. 37:21Kum 15:11; Ayu 31:16, 22; Zb 112:9; Met 19:17
Zab. 37:22Zb 37:9
Zab. 37:23Met 16:9
Zab. 37:23Met 11:20
Zab. 37:24Zb 34:19; Met 24:16
Zab. 37:24Zb 91:11, 12
Zab. 37:25Zb 94:14; Mt 6:33; Ebr 13:5
Zab. 37:25Kum 24:19; Zb 145:15; Met 10:3
Zab. 37:26Kum 15:7, 8; Zb 112:5
Zab. 37:27Zb 34:14; Isa 1:17
Zab. 37:282Sa 22:26
Zab. 37:28Zb 97:10; Met 2:7, 8
Zab. 37:28Met 2:22
Zab. 37:29Kum 30:20; Zb 37:9; Met 2:21; Mt 5:5
Zab. 37:29Mt 25:46; Ufu 21:3, 4
Zab. 37:30Mt 12:35; Efe 4:29; Kol 4:6
Zab. 37:31Kum 6:6; Zb 40:8
Zab. 37:31Zb 121:3
Zab. 37:332Pe 2:9
Zab. 37:33Zb 109:31
Zab. 37:34Zb 37:22
Zab. 37:34Zb 52:5, 6
Zab. 37:35Est 5:11; Ayu 21:7
Zab. 37:36Kut 15:9, 10
Zab. 37:36Zb 37:10
Zab. 37:37Ayu 1:1
Zab. 37:37Ayu 42:12, 16
Zab. 37:38Zb 1:4; Met 10:7; 2Pe 2:9
Zab. 37:39Isa 12:2
Zab. 37:39Zb 9:9; Isa 33:2
Zab. 37:40Isa 46:4; 1Ko 10:13
Zab. 37:40Zb 22:4; Da 3:17; 6:23
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 37:1-40

Zaburi

Wa Daudi.

א [Aleph]

37 Usikasirike* kwa sababu ya waovu

Wala usiwaonee wivu watenda dhambi.+

 2 Watanyauka haraka kama majani+

Na kusinyaa kama majani yaliyochipuka ya kijani kibichi.

ב [Beth]

 3 Mtumaini Yehova na utende mema;+

Kaa duniani,* na utende kwa uaminifu.+

 4 Pata furaha tele* katika Yehova,

Naye atatosheleza tamaa za moyo wako.

ג [Gimel]

 5 Mkabidhi* Yehova njia yako;+

Mtegemee yeye, naye atatenda kwa niaba yako.+

 6 Ataufanya uadilifu wako ung’ae kama mapambazuko,

Na haki yako kama jua la adhuhuri.

ד [Daleth]

 7 Nyamaza mbele za Yehova+

Na umngojee kwa matumaini.*

Usikasirishwe na mtu

Anayefanikiwa kutekeleza njama zake.+

ה [He]

 8 Acha hasira na uache ghadhabu;+

Usikasirike na kuanza kutenda uovu.*

 9 Kwa maana waovu wataangamizwa,+

Lakini wale wanaomtumaini Yehova wataimiliki dunia.+

ו [Waw]

10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+

Utapaangalia mahali walipokuwa,

Nao hawatakuwepo.+

11 Lakini wapole wataimiliki dunia,+

Nao watafurahia kwelikweli wingi wa amani.+

ז [Zayin]

12 Mtu mwovu hupanga njama dhidi ya mwadilifu;+

Humsagia meno yake.

13 Lakini Yehova atamcheka,

Kwa maana Anajua kwamba siku yake itakuja.+

ח [Heth]

14 Waovu huchomoa panga zao na kuzikunja* pinde zao

Ili kumwangusha chini aliyekandamizwa na pia maskini,

Ili kuwachinja wale ambao njia yao imenyooka.

15 Lakini upanga wao utauchoma moyo wao wenyewe;+

Pinde zao zitavunjwa.

ט [Teth]

16 Kidogo alicho nacho mwadilifu ni bora

Kuliko wingi wa vitu walivyo navyo watu wengi waovu.+

17 Kwa maana mikono ya waovu itavunjwa,

Lakini Yehova atawategemeza waadilifu.

י [Yod]

18 Yehova anajua mambo wanayokabili watu wasio na lawama,*

Na urithi wao utadumu milele.+

19 Hawataaibishwa wakati wa msiba;

Wakati wa njaa kali watakuwa na chakula tele.

כ [Kaph]

20 Lakini waovu wataangamia;+

Maadui wa Yehova watatoweka kama malisho bora kabisa;

Watatoweka kama moshi.

ל [Lamed]

21 Mwovu hukopa lakini halipi,

Lakini mwadilifu ni mkarimu* naye hutoa.+

22 Wale Anaowabariki wataimiliki dunia,

Lakini wale Anaowalaani wataangamizwa.+

מ [Mem]

23 Yehova huongoza* hatua za mtu+

Njia ya mtu huyo inapompendeza Yeye.+

24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+

Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+

נ [Nun]

25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,

Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+

Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+

26 Sikuzote anakopesha bila faida,+

Na watoto wake watapata baraka.

ס [Samekh]

27 Acha uovu, utende mema,+

Nawe utaishi milele.

28 Kwa maana Yehova anapenda haki,

Naye hatawaacha washikamanifu wake.+

ע [Ayin]

Watalindwa sikuzote;+

Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+

29 Waadilifu wataimiliki dunia,+

Nao wataishi humo milele.+

פ [Pe]

30 Kinywa cha mwadilifu hufundisha hekima,*

Na ulimi wake huongea kuhusu haki.+

31 Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake;+

Hatua zake hazitayumbayumba.+

צ [Tsade]

32 Mwovu humtazama mwadilifu,

Akitafuta kumuua.

33 Lakini Yehova hatamwacha mikononi mwa mtu huyo+

Wala hatampata na hatia anapohukumiwa.+

ק [Qoph]

34 Mtumaini Yehova na ufuate njia yake,

Naye atakukweza uimiliki dunia.

Waovu watakapoangamizwa,+ utaona jambo hilo.+

ר [Resh]

35 Nimemwona mtu mkatili, mwovu

Akisambaa kama mti wenye majani mengi katika udongo wake wa asili.+

36 Lakini alikufa ghafla naye akatoweka;+

Niliendelea kumtafuta, lakini sikuweza kumpata.+

ש [Shin]

37 Mwangalie mtu asiye na lawama,*

Na uendelee kumwangalia mnyoofu,+

Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa na amani.+

38 Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa;

Wakati ujao wa watu waovu utakomeshwa.+

ת [Taw]

39 Wokovu wa watu waadilifu unatoka kwa Yehova;+

Yeye ndiye ngome yao wakati wa taabu.+

40 Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+

Atawanusuru kutoka kwa waovu na kuwaokoa,

Kwa sababu wanamkimbilia yeye.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki