Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Hukumu ya Yehova dhidi ya wanaoabudu sanamu (1-16)

        • Mungu wa Bahati Njema na Mungu wa Majaliwa (11)

        • “Watumishi wangu watakula” (13)

      • Mbingu mpya na dunia mpya (17-25)

        • Kujenga nyumba; kupanda mashamba ya mizabibu (21)

        • Hakuna atakayefanya kazi ngumu bure (23)

Isaya 65:1

Marejeo

  • +Isa 55:6, 7
  • +Ro 10:20, 21

Isaya 65:2

Marejeo

  • +Kum 31:27; Ne 9:29; Zek 7:11
  • +Isa 59:7, 8; Yer 35:15
  • +Yer 5:23

Isaya 65:3

Marejeo

  • +2Fa 17:16, 17; Yer 32:29
  • +Isa 1:29; 66:17

Isaya 65:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “katika vibanda vya kukesha.”

  • *

    Au “visivyo safi.”

Marejeo

  • +Hes 19:16
  • +Law 11:7, 8; Isa 66:17
  • +Kum 14:3

Isaya 65:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Kwa maana nitakupa utakatifu wangu.”

Isaya 65:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika vifua vyao.”

Marejeo

  • +Zb 50:3, 21; Yer 16:18; Eze 11:21

Isaya 65:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika vifua vyao.”

Marejeo

  • +Kut 20:4, 5; Law 26:39
  • +1Fa 22:41, 43; 2Fa 12:3

Isaya 65:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kina baraka.”

Marejeo

  • +Yer 30:11; Amo 9:8

Isaya 65:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu.”

Marejeo

  • +Isa 60:21; Eze 37:21; Oba 17
  • +Isa 61:7; Sef 3:20

Isaya 65:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nchi Tambarare ya Chini ya.”

Marejeo

  • +Isa 33:9
  • +Yos 7:24; Ho. 2:15

Isaya 65:11

Marejeo

  • +Isa 1:4
  • +2Nya 28:24; 34:25

Isaya 65:12

Marejeo

  • +Law 26:25; Eze 6:13
  • +Eze 9:6
  • +2Nya 36:15, 16
  • +Isa 66:3

Isaya 65:13

Marejeo

  • +Zb 37:19, 25; Amo 8:11
  • +Isa 49:10
  • +Isa 66:14
  • +Isa 66:5

Isaya 65:15

Marejeo

  • +Isa 62:2; Yer 33:16

Isaya 65:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uaminifu.” Tnn., “Amina.”

  • *

    Au “uaminifu.” Tnn., “Amina.”

  • *

    Au “matatizo ya zamani yatasahauliwa.”

Marejeo

  • +Kum 6:13
  • +Isa 12:1; Yer 31:12; Sef 3:14, 15

Isaya 65:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hayatakumbukwa.”

Marejeo

  • +Ezr 5:2; Isa 51:16; 66:22; 2Pe 3:13
  • +Ufu 21:1, 4

Isaya 65:18

Marejeo

  • +Isa 51:11

Isaya 65:19

Marejeo

  • +Isa 62:4; Yer 32:41
  • +Isa 25:8; Yer 31:12

Isaya 65:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Na mtu yeyote asiyetimiza miaka mia moja ataonwa kuwa amelaaniwa.”

Isaya 65:21

Marejeo

  • +Yer 31:4
  • +Isa 62:8; Amo 9:14

Isaya 65:22

Marejeo

  • +Zb 92:12-14

Isaya 65:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kazi ngumu.”

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Marejeo

  • +Law 26:3-5; Kum 28:4
  • +Isa 61:9
  • +Isa 66:22

Isaya 65:25

Marejeo

  • +Isa 35:9; Ho. 2:18
  • +Isa 2:3, 4; 11:6-9; Mik 4:2

Jumla

Isa. 65:1Isa 55:6, 7
Isa. 65:1Ro 10:20, 21
Isa. 65:2Kum 31:27; Ne 9:29; Zek 7:11
Isa. 65:2Isa 59:7, 8; Yer 35:15
Isa. 65:2Yer 5:23
Isa. 65:32Fa 17:16, 17; Yer 32:29
Isa. 65:3Isa 1:29; 66:17
Isa. 65:4Hes 19:16
Isa. 65:4Law 11:7, 8; Isa 66:17
Isa. 65:4Kum 14:3
Isa. 65:6Zb 50:3, 21; Yer 16:18; Eze 11:21
Isa. 65:7Kut 20:4, 5; Law 26:39
Isa. 65:71Fa 22:41, 43; 2Fa 12:3
Isa. 65:8Yer 30:11; Amo 9:8
Isa. 65:9Isa 60:21; Eze 37:21; Oba 17
Isa. 65:9Isa 61:7; Sef 3:20
Isa. 65:10Isa 33:9
Isa. 65:10Yos 7:24; Ho. 2:15
Isa. 65:11Isa 1:4
Isa. 65:112Nya 28:24; 34:25
Isa. 65:12Law 26:25; Eze 6:13
Isa. 65:12Eze 9:6
Isa. 65:122Nya 36:15, 16
Isa. 65:12Isa 66:3
Isa. 65:13Zb 37:19, 25; Amo 8:11
Isa. 65:13Isa 49:10
Isa. 65:13Isa 66:14
Isa. 65:13Isa 66:5
Isa. 65:15Isa 62:2; Yer 33:16
Isa. 65:16Kum 6:13
Isa. 65:16Isa 12:1; Yer 31:12; Sef 3:14, 15
Isa. 65:17Ezr 5:2; Isa 51:16; 66:22; 2Pe 3:13
Isa. 65:17Ufu 21:1, 4
Isa. 65:18Isa 51:11
Isa. 65:19Isa 62:4; Yer 32:41
Isa. 65:19Isa 25:8; Yer 31:12
Isa. 65:21Yer 31:4
Isa. 65:21Isa 62:8; Amo 9:14
Isa. 65:22Zb 92:12-14
Isa. 65:23Law 26:3-5; Kum 28:4
Isa. 65:23Isa 61:9
Isa. 65:23Isa 66:22
Isa. 65:25Isa 35:9; Ho. 2:18
Isa. 65:25Isa 2:3, 4; 11:6-9; Mik 4:2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 65:1-25

Isaya

65 “Nimeruhusu wale ambao hawakuuliza kunihusu wanitafute;

Nimeruhusu wale ambao hawakunitafuta wanipate.+

Nililiambia taifa ambalo halikuwa linaliitia jina langu, ‘Nipo hapa, nipo hapa!’+

 2 Mchana kutwa nimewanyooshea mikono yangu watu wakaidi,+

Wale wanaotembea katika njia isiyo nzuri,+

Wanaofuata mawazo yao wenyewe;+

 3 Watu wanaonikasirisha daima mbele za uso wangu,+

Wanaotoa dhabihu katika bustani+ na kufukiza moshi wa dhabihu kwenye matofali.

 4 Wanaketi kati ya makaburi,+

Nao wanakaa usiku kucha mafichoni,*

Wakila nyama ya nguruwe,+

Na mchuzi wa vitu vichafu* umo katika vyombo vyao.+

 5 Wanasema, ‘Kaa peke yako; usinikaribie,

Kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe.’*

Hawa ni moshi katika mianzi ya pua yangu, moto unaowaka mchana kutwa.

 6 Tazama! Imeandikwa mbele zangu;

Sitasimama tuli,

Lakini nitawalipa,+

Nitawalipa kikamili*

 7 Kwa ajili ya makosa yao na kwa ajili ya makosa ya mababu zao pia,”+ asema Yehova.

“Kwa sababu wamefukiza moshi wa dhabihu juu ya milima

Nao wamenishutumu juu ya vilima,+

Kwanza nitawapimia malipo yao kamili.”*

 8 Yehova anasema hivi:

“Kama divai mpya inapopatikana katika kishada cha zabibu

Kisha mtu anasema, ‘Usikiharibu, kwa sababu kuna kitu kizuri* ndani yake,’

Ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu;

Sitawaangamiza wote.+

 9 Nitatoa uzao* katika Yakobo

Na katika Yuda mrithi wa milima yangu;+

Watu wangu niliowachagua wataumiliki,

Na watumishi wangu watakaa huko.+

10 Sharoni+ itakuwa malisho ya kondoo

Na Bonde la* Akori+ mahali pa kupumzika pa ng’ombe,

Kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta.

11 Lakini ninyi ni kati ya wale wanaomwacha Yehova,+

Wanaousahau mlima wangu mtakatifu,+

Wanaoandaa meza kwa ajili ya mungu wa Bahati Njema,

Na wale wanaovijaza vikombe divai iliyochanganywa kwa ajili ya mungu wa Majaliwa.

12 Basi nitawaamulia muuawe kwa upanga,+

Nanyi nyote mtainama chini ili mchinjwe,+

Kwa sababu niliita, lakini hamkuitika,

Nilizungumza lakini hamkusikiliza;+

Mliendelea kutenda maovu machoni pangu,

Nanyi mkachagua mambo yaliyonichukiza.”+

13 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

“Tazama! Watumishi wangu watakula, lakini ninyi mtakuwa na njaa.+

Tazama! Watumishi wangu watakunywa,+ lakini ninyi mtakuwa na kiu.

Tazama! Watumishi wangu watashangilia,+ lakini ninyi mtaona aibu.+

14 Tazama! Watumishi wangu watapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya hali nzuri ya moyo,

Lakini ninyi mtalia kwa sababu ya maumivu ya moyo

Nanyi mtaomboleza kwa sababu ya roho iliyovunjika.

15 Mtaacha jina ambalo watu wangu niliowachagua watalitumia kama laana,

Na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atamuua kila mmoja wenu,

Lakini atawaita watumishi wake mwenyewe kwa jina lingine;+

16 Ili kila mtu anayejitafutia baraka duniani

Abarikiwe na Mungu wa kweli,*

Na yeyote anayeapa kiapo duniani

Aape kwa Mungu wa kweli;*+

Kwa maana taabu za zamani zitasahauliwa;*

Zitafichwa kutoka machoni pangu.+

17 Kwa maana, tazama! ninaumba mbingu mpya na dunia mpya;+

Na mambo ya zamani hayataingia tena akilini,*

Wala hayataingia tena moyoni.+

18 Basi furahini na kushangilia milele kwa sababu ya vitu ninavyoumba.

Kwa maana tazama! ninaumba Yerusalemu kuwa sababu ya shangwe

Na watu wake kuwa sababu ya furaha.+

19 Nami nitashangilia kwa sababu ya Yerusalemu na kufurahi kwa sababu ya watu wangu;+

Sauti ya kulia na ya maombolezo kwa sababu ya taabu haitasikika tena ndani yake.”+

20 “Hakutakuwemo tena ndani yake mtoto mchanga anayeishi siku chache tu,

Wala mzee asiyetimiza siku zake.

Kwa maana mtu anayekufa akiwa na miaka mia moja ataonwa kuwa mvulana tu,

Na mtenda dhambi atalaaniwa, hata ingawa ana umri wa miaka mia moja.*

21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake,+

Nao watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+

22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,

Wala hawatapanda na watu wengine wale.

Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+

Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.

23 Hawatafanya kazi* ya bure,+

Wala hawatazaa watoto ili wataabike,

Kwa sababu wao ni uzao wa* watu waliobarikiwa na Yehova,+

Na wazao wao pamoja nao.+

24 Hata kabla hawajaita, nitajibu;

Wakiwa bado wanasema, nitasikia.

25 Mbwamwitu na mwanakondoo watalisha pamoja,

Simba atakula majani kama ng’ombe dume,+

Na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi.

Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ asema Yehova.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki