Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 145
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Kumusifu Mungu, Mufalme mukubwa

        • ‘Nitatangaza ukubwa wa Mungu’ (6)

        • “Yehova ni mwema kwa wote” (9)

        • “Washikamanifu wako watakusifu” (10)

        • Ufalme wa Mungu ni wa milele (13)

        • Mukono wa Mungu unatosheleza wote (16)

Zaburi 145:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 33:22; Ufu 11:17
  • +1Nya 29:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 10-11

Zaburi 145:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:164
  • +Zab 146:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 10-11

Zaburi 145:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hauwezi kueleweka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 150:2; Rom. 1:20; Ufu 15:3
  • +Yob 26:14; Zab 139:6; Rom. 11:33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 11-13

Zaburi 145:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:26, 27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 13-14

Zaburi 145:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitatafakari.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 8:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2008, uku. 14

    15/1/2004, uku. 13-14

Zaburi 145:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nguvu zako.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2008, uku. 14

    15/1/2004, uku. 13-14

Zaburi 145:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:66; Zab 13:6; 31:19; Isa 63:7; Yer 31:12
  • +Zab 51:14; Ufu 15:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 279

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 14-15

Zaburi 145:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 30:9; Efe 2:4
  • +Kut 34:6; Ne 9:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 14-16

Zaburi 145:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:8; Nah 1:7; Mt 5:44, 45; Mdo 14:17; Yak 1:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 272-273

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 14-15

Zaburi 145:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:1
  • +Zab 30:4; Ebr 13:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 16

Zaburi 145:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 10:8, 9
  • +Kum 3:24; 1Nya 29:11; Ufu 15:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 16

Zaburi 145:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 98:1
  • +Zab 103:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 16-17

Zaburi 145:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 146:10; 1 Tim. 1:17

Zaburi 145:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:23, 24; 94:18
  • +Zab 146:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 17

Zaburi 145:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:30; Zab 136:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 18-19

Zaburi 145:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 104:27, 28; 107:9; 132:14, 15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 18-19

Zaburi 145:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 18:25; Kum 32:4
  • +Zab 18:25; Ufu 15:3, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 19

Zaburi 145:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa unyoofu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:18; Yak 4:8
  • +Zab 17:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 20

Zaburi 145:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:9
  • +Zab 37:39, 40; 50:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 20

Zaburi 145:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 31:23; 97:10
  • +Mez. 2:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 20

    15/12/2002, uku. 14-16

Zaburi 145:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Miili yote isifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:1; 51:15
  • +Zab 117:1; 150:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2004, uku. 20

Maandiko ingine

Zb. 145:1Isa 33:22; Ufu 11:17
Zb. 145:11Nya 29:10
Zb. 145:2Zab 119:164
Zb. 145:2Zab 146:2
Zb. 145:3Zab 150:2; Rom. 1:20; Ufu 15:3
Zb. 145:3Yob 26:14; Zab 139:6; Rom. 11:33
Zb. 145:4Kut 12:26, 27
Zb. 145:5Zab 8:1
Zb. 145:71 Fal. 8:66; Zab 13:6; 31:19; Isa 63:7; Yer 31:12
Zb. 145:7Zab 51:14; Ufu 15:3
Zb. 145:82Nya 30:9; Efe 2:4
Zb. 145:8Kut 34:6; Ne 9:17
Zb. 145:9Zab 25:8; Nah 1:7; Mt 5:44, 45; Mdo 14:17; Yak 1:17
Zb. 145:10Zab 19:1
Zb. 145:10Zab 30:4; Ebr 13:15
Zb. 145:11Lu 10:8, 9
Zb. 145:11Kum 3:24; 1Nya 29:11; Ufu 15:3
Zb. 145:12Zab 98:1
Zb. 145:12Zab 103:19
Zb. 145:13Zab 146:10; 1 Tim. 1:17
Zb. 145:14Zab 37:23, 24; 94:18
Zb. 145:14Zab 146:8
Zb. 145:15Mwa 1:30; Zab 136:25
Zb. 145:16Zab 104:27, 28; 107:9; 132:14, 15
Zb. 145:17Mwa 18:25; Kum 32:4
Zb. 145:17Zab 18:25; Ufu 15:3, 4
Zb. 145:18Zab 34:18; Yak 4:8
Zb. 145:18Zab 17:1
Zb. 145:19Zab 34:9
Zb. 145:19Zab 37:39, 40; 50:15
Zb. 145:20Zab 31:23; 97:10
Zb. 145:20Mez. 2:22
Zb. 145:21Zab 34:1; 51:15
Zb. 145:21Zab 117:1; 150:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 145:1-21

Zaburi

Sifa ya Daudi.

א [Aleph]

145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mufalme,+

Nitasifu jina lako milele na milele.+

ב [Beth]

 2 Nitakusifu muchana wote;+

Nitasifu jina lako milele na milele.+

ג [Gimel]

 3 Yehova ni mukubwa na anastahili kusifiwa sana;+

Ukubwa wake hauchunguzike.*+

ד [Daleth]

 4 Kizazi kwa kizazi kitasifu kazi zako;

Watasimulia kuhusu matendo yako yenye nguvu.+

ה [He]

 5 Watasema kuhusu utukufu mukubwa wa ukubwa wako+

Na mimi nitafikiri sana* juu ya kazi zako za ajabu.

ו [Waw]

 6 Watasema kuhusu matendo yako yenye kuogopesha sana,*

Na mimi nitatangaza ukubwa wako.

ז [Zayin]

 7 Watachangamuka wakati watakumbuka wema wako mwingi,+

Na watapiga vigelegele vya shangwe kwa sababu ya haki yako.+

ח [Heth]

 8 Yehova ni mwenye huruma* na rehema,+

Hakasirike haraka na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu.+

ט [Teth]

 9 Yehova ni mwema kwa wote,+

Na rehema yake inaonekana katika kazi zake zote.

י [Yod]

10 Kazi zako zote zitakutukuza, Ee Yehova,+

Na washikamanifu wako watakusifu.+

כ [Kaph]

11 Watatangaza utukufu wa ufalme wako+

Na kusema kuhusu nguvu zako,+

ל [Lamed]

12 Ili kujulisha wanadamu matendo yako yenye nguvu+

Na utukufu mukubwa wa ufalme wako.+

מ [Mem]

13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,

Na mamlaka yako yanadumu katika vizazi vyote.+

ס [Samekh]

14 Yehova anategemeza wale wote wenye kuanguka+

Na anasimamisha wale wote wenye kuinama chini.+

ע [Ayin]

15 Macho yote yanakuangalia yakiwa na tumaini;

Unawapatia chakula chao kwa wakati wake.+

פ [Pe]

16 Unafungua mukono wako

Na kutimiza tamaa ya kila kitu chenye uzima.+

צ [Tsade]

17 Yehova ni mwenye haki katika njia zake zote+

Na mushikamanifu katika mambo yote yenye anafanya.+

ק [Qoph]

18 Yehova iko karibu na wale wote wenye kumuitia,+

Wote wenye kumuitia katika ukweli.*+

ר [Resh]

19 Anatimiza tamaa ya wale wenye kumuogopa;+

Anasikia kilio chao cha kuomba musaada, na anawaokoa.+

ש [Shin]

20 Yehova analinda wale wote wenye kumupenda,+

Lakini ataharibu waovu wote.+

ת [Taw]

21 Kinywa changu kitatangaza sifa ya Yehova;+

Acha kila kiumbe chenye uzima kisifu* jina lake takatifu milele na milele.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine