Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati KITABU CHA PILI CHA MAMBO YA NYAKATI HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Sulemani anaomba hekima (1-12) Utajiri wa Sulemani (13-17) 2 Matayarisho ya kujenga hekalu (1-18) 3 Sulemani anaanza kujenga hekalu (1-7) Patakatifu Zaidi (8-14) Nguzo mbili za shaba (15-17) 4 Mazabahu, Bahari, na beseni (1-6) Vinara vya taa, meza, na viwanja (7-11a) Vyombo vyote vya hekalu vinamalizika (11b-22) 5 Matayarisho ya kuzindua hekalu (1-14) Sanduku linaletwa katika hekalu (2-10) 6 Sulemani anatolea watu hotuba (1-11) Sala ya Sulemani ya kuzindua hekalu (12-42) 7 Hekalu linajaa utukufu wa Yehova (1-3) Sherehe za kuzindua hekalu (4-10) Yehova anamutokea Sulemani (11-22) 8 Miradi mingine ya ujenzi ya Sulemani (1-11) Ibada kwenye hekalu inapangwa (12-16) Mashua za Sulemani (17, 18) 9 Malkia wa Sheba anamutembelea Sulemani (1-12) Utajiri wa Sulemani (13-28) Kifo cha Sulemani (29-31) 10 Uasi wa Israeli kumuelekea Rehoboamu (1-19) 11 Utawala wa Rehoboamu (1-12) Walawi washikamanifu wanahamia Yuda (13-17) Familia ya Rehoboamu (18-23) 12 Shambulizi la Shishaki juu ya Yerusalemu (1-12) Mwisho wa utawala wa Rehoboamu (13-16) 13 Abiya, mufalme wa Yuda (1-22) Abiya anamushinda Yeroboamu (3-20) 14 Kifo cha Abiya (1) Asa, mufalme wa Yuda (2-8) Asa anashinda Waetiopia milioni moja (9-15) 15 Mabadiliko yenye yalifanywa na Asa (1-19) 16 Mapatano ya Asa pamoja na Siria (1-6) Hanani anamukemea Asa (7-10) Kifo cha Asa (11-14) 17 Yehoshafati, mufalme wa Yuda (1-6) Kampanye ya kufundisha (7-9) Nguvu za kijeshi za Yehoshafati (10-19) 18 Mapatano ya Yehoshafati pamoja na Ahabu (1-11) Unabii wa Mikaya wa kushindwa (12-27) Ahabu anauawa kule Ramoti-gileadi (28-34) 19 Yehu anamukemea Yehoshafati (1-3) Mabadiliko yenye yalifanywa na Yehoshafati (4-11) 20 Mataifa jirani yanaogopesha Yuda (1-4) Yehoshafati anasali ili apate musaada (5-13) Jibu kutoka kwa Yehova (14-19) Yuda wanaokolewa kwa njia ya muujiza (20-30) Mwisho wa utawala wa Yehoshafati (31-37) 21 Yehoramu, mufalme wa Yuda (1-11) Ujumbe wenye kuandikwa kutoka kwa Eliya (12-15) Mwisho mubaya wa Yehoramu (16-20) 22 Ahazia, mufalme wa Yuda (1-9) Atalia anajiweka kwenye kiti cha ufalme (10-12) 23 Yehoyada anaingilia kati; Yehoashi anafanywa kuwa mufalme (1-11) Atalia anauawa (12-15) Mabadiliko yenye Yehoyada alifanya (16-21) 24 Utawala wa Yehoashi (1-3) Yehoashi anatengeneza hekalu (4-14) Uasi-imani wa Yehoashi (15-22) Yehoashi anauawa (23-27) 25 Amazia, mufalme wa Yuda (1-4) Vita pamoja na Edomu (5-13) Amazia anaabudu sanamu (14-16) Vita pamoja na Mufalme Yehoashi wa Israeli (17-24) Kifo cha Amazia (25-28) 26 Uzia, mufalme wa Yuda (1-5) Mambo makubwa ya kijeshi yenye Uzia alitimiza (6-15) Uzia mwenye majivuno anafanywa kuwa mwenye ukoma (16-21) Kifo cha Uzia (22, 23) 27 Yotamu, mufalme wa Yuda (1-9) 28 Ahazi, mufalme wa Yuda (1-4) Anashindwa mbele ya Siria na Israeli (5-8) Odedi anaonya Israeli (9-15) Yuda wananyenyekezwa (16-19) Ahazi anaabudu sanamu; kifo chake (20-27) 29 Hezekia, mufalme wa Yuda (1, 2) Mabadiliko yenye yalifanywa na Hezekia (3-11) Hekalu linatakaswa (12-19) Utumishi wa hekalu unarudishwa (20-36) 30 Hezekia anafanya Pasaka (1-27) 31 Hezekia anangoa uasi-imani (1) Makuhani na Walawi wanategemezwa kwa njia yenye kufaa (2-21) 32 Senakeribu anaogopesha Yerusalemu (1-8) Senakeribu anamupinga Yehova (9-19) Malaika anaua jeshi la Ashuru (20-23) Ugonjwa wa Hezekia na majivuno yake (24-26) Mambo yenye Hezekia alitimiza na kifo chake (27-33) 33 Manase, mufalme wa Yuda (1-9) Manase anatubu ubaya wake (10-17) Kifo cha Manase (18-20) Amoni, mufalme wa Yuda (21-25) 34 Yosia, mufalme wa Yuda (1, 2) Mabadiliko yenye Yosia alifanya (3-13) Kitabu cha Sheria kinapatikana (14-21) Hulda anatoa unabii wa musiba (22-28) Yosia anasomea watu kitabu (29-33) 35 Yosia anapanga Pasaka kubwa (1-19) Farao Neko anamuua Yosia (20-27) 36 Yehoahazi, mufalme wa Yuda (1-3) Yehoyakimu, mufalme wa Yuda (4-8) Yehoyakini, mufalme wa Yuda (9, 10) Sedekia, mufalme wa Yuda (11-14) Uharibifu wa Yerusalemu (15-21) Agizo la Koreshi la kujenga upya hekalu (22, 23)