Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia YEREMIA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Yeremia anawekwa kuwa nabii (1-10) Maono ya muti wa lozi (11, 12) Maono ya chungu cha kupikia (13-16) Yeremia anatiwa nguvu kwa ajili ya utume wake (17-19) 2 Israeli wanamuacha Yehova na kufuata miungu mingine (1-37) Israeli ni kama muzabibu wa kigeni (21) Pindo za nguo zake ziko na alama za damu (34) 3 Uasi-imani mukubwa wa Israeli (1-5) Hatia ya uzinifu ya Israeli na Yuda (6-11) Mwito wa kutubu (12-25) 4 Kutubu kunaleta baraka (1-4) Musiba utakuja kutoka kaskazini (5-18) Uchungu wa Yeremia juu ya musiba wenye unakuja (19-31) 5 Watu wanakataa nizamu ya Yehova (1-13) Kuharibiwa lakini hapana kuangamizwa kabisa (14-19) Yehova anaomba watu watoe hesabu (20-31) 6 Kuzungukwa kwa Yerusalemu kwa ajili ya vita kunakaribia (1-9) Kasirani kali ya Yehova juu ya Yerusalemu (10-21) Wanasema “Amani!” wakati hakuna amani (14) Watavamiwa bila huruma kutoka kaskazini (22-26) Yeremia atatumika akiwa mupimaji wa metali (27-30) 7 Tumaini la uongo katika hekalu la Yehova (1-11) Hekalu litakuwa kama Shilo (12-15) Ibada ya kidesturi inahukumiwa (16-34) “Malkia wa Mbinguni” anaabudiwa (18) Kutoa watoto kuwa zabihu katika Hinomu (31) 8 Watu wanachagua njia yenye kupendwa na wengi (1-7) Kuko hekima gani bila neno la Yehova? (8-17) Yeremia anaomboleza juu ya kuvunjika kwa Yuda (18-22) “Je, hakuna zeri katika Gileadi?” (22) 9 Huzuni kubwa ya Yeremia (1-3a) Yehova anaomba Yuda watoe hesabu (3b-16) Kuombolezea Yuda (17-22) Kujisifu kwa sababu ya kumujua Yehova (23-26) 10 Tofauti kati ya miungu ya mataifa na Mungu mwenye kuishi (1-16) Uharibifu na uhamisho wenye unakuja (17, 18) Huzuni ya Yeremia (19-22) Sala ya nabii (23-25) Mwanadamu hawezi kuongoza hatua yake mwenyewe (23) 11 Yuda wanavunja agano pamoja na Mungu (1-17) Miungu mingi kama miji (13) Yeremia anafananishwa na mwana-kondoo mwenye kupelekwa kwenye machinjo (18-20) Watu wa muji wa Yeremia wanamupinga (21-23) 12 Malalamiko ya Yeremia (1-4) Jibu la Yehova (5-17) 13 Mushipi wa kitani wenye uliharibika (1-11) Mitungi ya divai itavunjwa-vunjwa (12-14) Yuda mwenye hawezi kubadilika atapelekwa katika uhamisho (15-27) “Je, Mukushi anaweza kubadilisha ngozi yake?” (23) 14 Ukame, njaa, na upanga (1-12) Manabii wa uongo wanalaumiwa (13-18) Yeremia anakubali zambi za watu (19-22) 15 Yehova hatabadilisha hukumu yake (1-9) Malalamiko ya Yeremia (10) Jibu la Yehova (11-14) Sala ya Yeremia (15-18) Anapata furaha kwa kula maneno ya Mungu (16) Yehova anamutia Yeremia nguvu (19-21) 16 Yeremia hapaswe kuoa, kuomboleza, wala kufanya karamu (1-9) Azabu, kisha kurudishwa (10-21) 17 Zambi ya Yuda imetia mizizi (1-4) Baraka za kutegemea Yehova (5-8) Moyo wenye udanganyifu (9-11) Yehova, tumaini la Israeli (12, 13) Sala ya Yeremia (14-18) Kuona Sabato kuwa takatifu (19-27) 18 Udongo katika mukono wa mufinyanzi (1-12) Yehova anageuzia Israeli mugongo wake (13-17) Mupango mubaya juu ya Yeremia; ombi lake (18-23) 19 Yeremia anaambiwa avunje chupa ya udongo (1-15) Kumutolea Baali zabihu za watoto (5) 20 Pashuri anamupiga Yeremia (1-6) Yeremia hawezi kuacha kuhubiri (7-13) Ujumbe wa Mungu kama moto wenye kuwaka (9) Yehova kama mupiganaji-vita mwenye kuogopesha (11) Malalamiko ya Yeremia (14-18) 21 Yehova anakataa ombi la Sedekia (1-7) Watu kuchagua uzima ao kifo (8-14) 22 Ujumbe wa hukumu juu ya wafalme wabaya (1-30) Juu ya Shalumu (10-12) Juu ya Yehoyakimu (13-23) Juu ya Konia (24-30) 23 Wachungaji wazuri na wabaya (1-4) Usalama chini ya “chipukizi la haki” (5-8) Manabii wa uongo wanalaumiwa (9-32) “Muzigo” wa Yehova (33-40) 24 Tini za muzuri na tini za mubaya (1-10) 25 Hukumu ya Yehova juu ya mataifa (1-38) Mataifa yatatumikia Babiloni kwa miaka makumi saba (11) Kikombe cha divai ya kasirani kali ya Mungu (15) Musiba kutoka taifa moja mupaka taifa lingine (32) Wale wenye waliuawa na Yehova (33) 26 Yeremia anaogopeshwa kwamba atauawa (1-15) Yeremia anaokolewa (16-19) Unabii wa Mika unatajwa (18) Nabii Uriya (20-24) 27 Nira ya Babiloni (1-11) Sedekia anaambiwa ajitiishe kwa Babiloni (12-22) 28 Yeremia anapingana na nabii wa uongo Hanania (1-17) 29 Barua ya Yeremia kwa wahamishwa wa Babiloni (1-23) Israeli watarudia kisha miaka makumi saba (10) Ujumbe kwa Shemaya (24-32) 30 Ahadi za kurudishwa na kuponyeshwa (1-24) 31 Wenye kubakia wa Israeli watakaa tena katika inchi (1-30) Raheli anaombolezea watoto wake (15) Agano jipya (31-40) 32 Yeremia ananunua shamba (1-15) Sala ya Yeremia (16-25) Jibu la Yehova (26-44) 33 Ahadi ya kurudishwa (1-13) Usalama chini ya “chipukizi la haki” (14-16) Agano pamoja na Daudi na makuhani (17-26) Agano juu ya muchana na usiku (20) 34 Ujumbe wa hukumu kwa Sedekia (1-7) Agano la kuachilia huru watumwa linavunjwa (8-22) 35 Warekabu wanaonyesha utii wa pekee (1-19) 36 Yeremia anasema maneno kisha yanaandikwa katika kitabu cha kukunjwa (1-7) Baruku anasoma kwa sauti katika kitabu cha kukunjwa (8-19) Yehoyakimu anateketeza kitabu cha kukunjwa (20-26) Ujumbe unaandikwa tena kwenye kitabu kipya cha kukunjwa (27-32) 37 Wakaldayo wataondoka kwa wakati kidogo tu (1-10) Yeremia anafungwa katika gereza (11-16) Sedekia anakutana na Yeremia (17-21) Yeremia anapewa mukate (21) 38 Yeremia anatupwa ndani ya tangi la maji (1-6) Ebed-meleki anamuokoa Yeremia (7-13) Yeremia anamuomba Sedekia ajitie katika mikono ya maadui (14-28) 39 Kuanguka kwa Yerusalemu (1-10) Sedekia anakimbia kisha anakamatwa (4-7) Yeremia atalindwa (11-14) Uzima wa Ebed-meleki utaokolewa (15-18) 40 Nebuzaradani anamuachilia huru Yeremia (1-6) Gedalia anawekwa juu ya inchi (7-12) Mupango mubaya juu ya Gedalia (13-16) 41 Ishmaeli anamuua Gedalia (1-10) Yohanani anamufanya Ishmaeli akimbie (11-18) 42 Watu wanamuomba Yeremia asali ili wapate muongozo (1-6) Yehova anajibu: “Musiende Misri” (7-22) 43 Watu wanakataa kutii na wanaenda Misri (1-7) Neno la Yehova kwa Yeremia katika Misri (8-13) 44 Musiba juu ya Wayahudi wenye kuwa Misri unatabiriwa (1-14) Watu wanakataa onyo la Mungu (15-30) “Malkia wa Mbinguni” anaabudiwa (17-19) 45 Ujumbe wa Yehova kwa Baruku (1-5) 46 Unabii juu ya Misri (1-26) Misri itashindwa na Nebukadneza (13, 26) Ahadi kwa Israeli (27, 28) 47 Unabii juu ya Wafilisti (1-7) 48 Unabii juu ya Moabu (1-47) 49 Unabii juu ya Amoni (1-6) Unabii juu ya Edomu (7-22) Edomu hatakuwa tena taifa (17, 18) Unabii juu ya Damasko (23-27) Unabii juu ya Kedari na Hasori (28-33) Unabii juu ya Elamu (34-39) 50 Unabii juu ya Babiloni (1-46) Mukimbie kutoka katika Babiloni (8) Israeli atarudishwa (17-19) Maji ya Babiloni yatakaushwa (38) Babiloni hataikaliwa tena (39, 40) 51 Unabii juu ya Babiloni (1-64) Babiloni itaanguka kwa kushitukia katika mikono ya Wamedi (8-12) Kitabu kinatupwa katika Efrati (59-64) 52 Sedekia anaasi Babiloni (1-3) Nebukadneza anazunguka Yerusalemu kwa ajili ya vita (4-11) Kuharibiwa kwa muji na hekalu (12-23) Watu wanapelekwa katika uhamisho Babiloni (24-30) Yehoyakini anaachiliwa huru kutoka katika gereza (31-34)