Zaburi
Ya Daudi.
א [Aleph]
ב [Beth]
ג [Gimel]
6 Atafanya haki yako ingae kama mwangaza wa asubui sana,
Na haki yako kama jua la katikati ya muchana.
ד [Daleth]
Usikasirishwe na mutu
Mwenye anafanikiwa katika kutimiza mipango yake ya mubaya.+
ה [He]
ו [Waw]
10 Kunabakia wakati kidogo tu, waovu hawatakuwa tena;+
Utaangalia mahali walikuwa,
Nao hawatakuwa pale.+
ז [Zayin]
12 Mutu muovu anapanga mupango mubaya juu ya mwenye haki;+
Anamusagia meno yake.
13 Lakini Yehova atamucheka,
Kwa maana Anajua kwamba siku yake itakuja.+
ח [Heth]
14 Waovu wanachomoa panga zao na kukunja* pinde zao
Ili kumuangusha chini mwenye kukandamizwa na maskini,
Ili kuchinja wale wenye njia yao imenyooka.
15 Lakini upanga wao utatoboa moyo wao wenyewe;+
Pinde zao zitavunjwa.
ט [Teth]
17 Kwa maana mikono ya waovu itavunjwa,
Lakini Yehova atategemeza wenye haki.
י [Yod]
18 Yehova anajua mambo yenye watu wenye hawana lawama wanapambana nayo,*
Na uriti wao utadumu milele.+
19 Hawatapatishwa haya wakati wa musiba;
Wakati wa njaa watakuwa na chakula kingi.
כ [Kaph]
20 Lakini waovu wataangamia;+
Maadui wa Yehova wataisha kama vile malisho yenye utukufu;
Wataisha kama moshi.
ל [Lamed]
22 Wale wenye kubarikiwa Naye watariti dunia,
Lakini wale wenye kulaaniwa Naye wataharibiwa.+
מ [Mem]
נ [Nun]
26 Sikuzote anakopesha bila kuomba faida,+
Na watoto wake watapata baraka.
ס [Samekh]
27 Geuka na uache mambo ya mubaya na utende mambo ya muzuri,+
Na utaishi milele.
ע [Ayin]
פ [Pe]
צ [Tsade]
32 Muovu anamuangalia mwenye haki,
Akitafuta kumuua.
33 Lakini Yehova hatamuacha katika mukono wa mutu huyo+
Wala hatamupata na hatia wakati atahukumiwa.+
ק [Qoph]
34 Tumainia Yehova na ufuate njia yake,
Naye atakuinua ili uriti dunia.
Wakati waovu wataharibiwa,+ utaona jambo hilo.+
ר [Resh]
35 Nimemuona mutu mwenye hana huruma, muovu
Akienea kama muti wenye majani mengi katika udongo wake wa asili.+
36 Lakini alikufa kwa kushitukia na hakukuwa tena;+
Niliendelea kumutafuta, na hangeweza kupatikana.+
ש [Shin]
37 Angalia mutu mwenye hana lawama,*
Na uendelee kumuangalia munyoofu,+
Kwa maana wakati wenye kuja wa mutu huyo utakuwa wenye amani.+
38 Lakini wakosaji wote wataharibiwa;
Wakati wenye kuja wa watu waovu utakomeshwa.+
ת [Taw]
40 Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+
Atawaokoa kutoka kwa waovu na kuwakomboa,
Kwa sababu wanamukimbilia yeye.+