ZABURI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
-
Yehova ni Muamuzi mwenye haki
“Unihukumu, Ee Yehova” (8)
-
Yehova anasimama ili kutenda
Maneno ya Mungu yako safi (6)
-
Wokovu kwa ajili ya mufalme mutiwa-mafuta wa Mungu
Watu fulani wanategemea magari na farasi, ‘lakini sisi tunaitia jina la Yehova’ (7)
-
Mufalme mwenye utukufu anaingia katika milango mikubwa
‘Dunia ni ya Yehova’ (1)
-
Sala ya muandikaji wa zaburi inasikiwa
‘Yehova ni nguvu zangu na ngao yangu’ (7)
-
Maombolezo yanageuzwa kuwa shangwe
Wema wa Mungu unadumu maisha yote (5)
-
Sala ya kuomba musaada wakati mutu iko kati ya maadui
“Mungu ni musaidizi wangu” (4)
-
Kuko Mungu mwenye kuhukumu dunia
Sala ya kuomba waovu wapewe azabu (6-8)
-
Mungu ni munara wenye nguvu juu ya maadui
“Nitakuwa mugeni katika hema yako” (4)
-
Ulinzi kutokana na mashambulizi yenye kufichwa
“Mungu atawapiga mishale” (7)
-
Anaomba asaidiwe haraka
“Tenda haraka kwa ajili yangu” (5)
-
Mungu anahukumu kwa haki
Waovu watakunywa kikombe cha Yehova (8)
-
Sayuni, muji wa Mungu wa kweli
Wenye walizaliwa Sayuni (4-6)
-
Yehova ni Mwokozi na Muamuzi mwenye haki
Wokovu wa Yehova unajulishwa (2, 3)
-
Matendo ya uaminifu ya Yehova kuelekea watu wake
-
Mataifa yote yanaombwa kumusifu Yehova
Upendo mushikamanifu wa Mungu ni mwingi (2)
-
Kupendezwa na neno la Mungu lenye samani
‘Namna gani vijana wanaweza kufanya njia yao iendelee kuwa safi?’ (9)
“Ninapenda sana vikumbusho vyako” (24)
“Ninapenda sana sheria yako!” (97)
“Ufahamu mwingi kuliko walimu wangu wote” (99)
“Neno lako ni taa ya muguu wangu” (105)
‘Chanzo kabisa cha neno lako ni kweli’ (160)
Wenye kupenda sheria ya Mungu wako na amani (165)
-
Alishambuliwa lakini hakushindwa
Wenye kuchukia Sayuni wanapatishwa haya (5)
-
Kutulia kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya
Kukosa kutafuta mambo makubwa sana (1)
-
Kumusifu Mungu nyakati za usiku
“Muinue mikono yenu katika utakatifu” (2)